Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wadau wa Kilimo ,naomba tusaidiane kuhusu kupata masoko ya UHAKIKA ya Korosho mbichi grade A mzigo upo wa Kutosha tokea Mtwara-Tandahimba Utapendeza zaidi kupata masoko Kanda ya Ziwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habar wadau? Napenda kufuga nguruwe ila sina uzoez wowte ndo nataka niingie ktk game! Mwenye experience anisaidia, mbegu bora banda bora.
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kilimo cha mbogamboga kinafaa Dodoma maeneo ya Haneeti kwa wanaojua hayo maeneo
2 Reactions
5 Replies
701 Views
Hello farmers, Nimesikia pale Kiluvya kuna kituo cha maziwa, ningependa anayepafahamu ashee ni maeneo gani na mmiliki ni nani. Nataka kuanza kufuga kwa ajili ya maziwa kwa hiyo nataman...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache. Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za majukumu wanajamvi, Nahitaji kujua njia bora na salama za kutumia ili kuku wa nyama waweze kuwa na uzito mkubwa kuanzia kilo mbili kwa muda wa mwezi mmoja. Natanguliza shukrani.
3 Reactions
32 Replies
3K Views
MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE UTANGULIZI Kuku kama wanyama wengine hushambuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo mengine yanatibika kwa dawa na mengine hayana tiba bali kuku hupewa chanjo maalumu...
7 Reactions
45 Replies
82K Views
Jamani Wana JM.na wakulima woote. Mm kijana mwenzenu nauza mbolea ya kuku, IPO NYINGI sana Yani NYINGI sana. Ɓei yake ni 1000 lakini ukija na kiroba chako napunguza bei. Napatikana mbezi Luis...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Na shida ya mbegu hizi ,na gharama kwa kilo bei yake
0 Reactions
5 Replies
541 Views
Wasalaam.. Heri ya pasaka kwa wakristo na waislam tuendelee na al-futar ili mradi kila mmoja afanye kinachomfaa na kumpasa.. Leo nimeamka na mood ya kuendeleza mpango wangu wa mwaka (kilimo) na...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakulima kwa Mujibu wa Utabari wa Mamlaka ya hali ya hewa wametoa Taarifa kwamba ile mikoa inayopata msimu wa Mvua mara mbili kwa mwaka mvua zinatarajia kuanza wiki ya nne ya mwezi October...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau wote wa JF. Binafsi Niko kwenye maandalizi ya KILIMO Cha UYOGA. Hivyo nataka nianze kidogo kwa ajili ya familia. Nimesoma na kuangalia kwa umakini kabisa, Nataka nianze kwanza kwa...
3 Reactions
5 Replies
822 Views
Tunauza ng'ombe bora wa maziwa aina ya aryshire, freisian, jersey. Na crossbreed zake Bei zake ni rafiki kulingana na ubora wake Tunao ndama, nusu mitamba,mitamba, wanaokamuliwa, wenye mimba...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Nina miti ya parachichi iliyo ota katika shimo Moja na imekua na muda mrefu sana bila kutoa matunda imerefuka tu na kua nyembamba kiasi Je, nifanyajee?
0 Reactions
6 Replies
580 Views
Wenye exprience nipeni mwongozo boti ninayo tayari na mota pamoja na net nipeni profit and loss za hii biashara Eneo la uvuvi ni Mtwara
2 Reactions
37 Replies
8K Views
Kuna tofauti gani ya EC na SC kwenye chupa za viwatilifu na matumizi yake yakoje katika kupulizia mmea? Naomba msaada
1 Reactions
2 Replies
303 Views
Poleni na majukumu wakuu. Niende kwenye mada,hivi dakitari wa wanyama (vet) Muislam ana ruhusiwa kutibu nguruwe? Kama hapana, je pale vyuo vya kilimo huwa naona wakifuga wanyama tofauti tofauti...
11 Reactions
174 Replies
10K Views
mdogo wangu kachaguliwa SUA diploma in seed technology baada ya kumaliza form four na kupata two akaomba akapata hiyo anaeijua kiundani Kwa WiGo mpana naomba msaada? na Inatofauti ipi na crop science?
0 Reactions
4 Replies
659 Views
Habari zenu. Je, kuna mtu amewahi kujikuta katika nafasi ya kuwa na soko la kimataifa la mazao lakini akakosa mtaji wa kuwezesha mikataba ya kibiashara? Tafadhali shiriki uzoefu wako katika...
1 Reactions
0 Replies
172 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Naomba mzoefu wa kilimo cha Kakao kwa mkoa wa Tanga au Morogoro ani pm tuwasiliane. Nahitaji kupata uzoefu na kujifunza zaidi kwa MTU anayefanya...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom