Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wasalamu wadau, Ninajiandaa kwa kilimo cha alizeti. Naomba kwa anayefahamu mbegu nzuri, inayotoa alizeti na mafuta mengi anijuze. Asanteni na Mungu awabariki
0 Reactions
17 Replies
21K Views
Habarini wadau wa JF, nimeamua kuanzisha uzi huu kwasababu nimetafuta data zote kuhusu Ngamia nimekosa. Nataka nifuge Ngamia, mmoja au wawili wananitosha. Je, nina wapata wapi? Bei ya ngamia...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Naomba kwa anayejua Sumu ya kumuangamiza kicheche anijuze! Maana wananisumbua mno, wanakula mayai saana kwenye Banda la kuku wangu
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za mapumziko! Inasikitisha sana kuona sekta muhimu za kuleta maendeleo hazipewi kipaumbele Kwa maana ya kupewa rasilimali pesa kulingana na bajeti zilizopitishwa na Bunge, sekta muhimu...
1 Reactions
3 Replies
373 Views
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa...
15 Reactions
490 Replies
249K Views
Sijui soko la Sasa la pilipili like ila ningependa kujua ili nilinganishe na wakati huo pilipili ikishakuwa tayari Hivyo naombeni kujuzwa soko lake likoje yaani pilipili inauzwaje kuanzia kipimo...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
VYOMBO VYA CHAKULA KWAJILI YA KUKU CHICKEN FEEDER NDOGO ZA KILO MBILI TUNAUZA VIFAA VYA UFUGAJI KWA BEI NAFUU JUMLA NA REJAREJA Hizi ni bei zetu za vyombo kuanzia pc 10 1. Small Chicken...
1 Reactions
0 Replies
711 Views
MASHINE YA KUCHAKATA MAJANI | GRASS CHOPPING MACHINE | CHAFF CUTTER Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02 joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo Muda...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
MBUNGE CHEREHANI: WAKULIMA WA TUMBAKU USHETU WAMEZALISHA BILIONI 67 Jumla ya Shilingi bilioni 67 zimezalishwa na wakulima wa Tumbaku katika Halmashauri ya Manispaa ya Ushetu kutoka katika bero...
0 Reactions
0 Replies
285 Views
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amempongeza Mbunge wa jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kwa kuendelea kuonyesha uzalendo katika kuendeleza sekta ya Kilimo. Waziri Bashe ameeleza hayo wakati...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Habari wakuu,Kwa mtu anayehitaji huduma ya mashamba ya kununua,viwanja kwa ajili ya makazi,ufugaji,kilimo, unapata maeneo,umeme upo.hekari moja inaanzia milioni 15 na viwanja kuanzia laki 8 mpaka...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Kilimo ni UTI wa mgongo Kilimo ni maisha Kilimo ni utajiri Kilimo ni chakula. Kilimo ni pesa na utajiri. Kilimo kina faida Pana na kina maelezo mapana ukielezea kiundani ndani. Leo tutatazama...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Naishi Dar nilienda kutembea mkoani Tabora. Nikavutiwa na Kilimo Cha Tumbaku. Nimelima heka 6 ambapo natarajia kupata kilo 600 kwa Kila heka Moja. Nitauza kg 1 $ 4.00, 3.5 nk Matumizi Heka 1...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Wanajamvi Aslam, Hama baada ya salamu ndugu zangu Ile safari yangu ya kwenda mji wa Mpanda kuona fursa za kilimo imetimia. Nilipata nafasi ya kutembelea baadhi ya vijiji tofauti tofauti Kwaajili...
19 Reactions
36 Replies
9K Views
Natamani sana kuingia kwenye kilimo cha zao Kati ya haya. 1.Bamia 2.Hoho 3.Biringanya. Nahitaji nianze kwa mtaji mdogo sana. Hivyo naombeni msaada wa zao moja kati ya hayo juu, ambalo linatumia...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jumapili njema. Huu uzi umelenga kutoa fursa kwa wafugaji kuhusu ufugaji wa vunjajungu (PRAYING MANTIS) na masoko yake. Pia unajumuisha ufugaji wa wadudu wengine ambao pia hutumika kulisha...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu, tupeane maujuzi ya kuongeza idadi ya wateja wa hizi bidhaa. Kuna siku namliza gunia la 25kg(magimbi) na siku nyingine znatoka fungu mbili tu daaah Hii ni kwangu tu au na nyie...
2 Reactions
12 Replies
627 Views
Taarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili. Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya karafuu kutoka morogoro tuwasiliane bei Tsh 22,000/= kwa kilo. Grade one isiyo na vumbi.
1 Reactions
4 Replies
930 Views
Wakulima wachache wa vijijini watamudu bei ya shilingi 15 elfu kwa mfiuko wa kilo mbili! Hakuna, watatumia mbegu zao ambazo hazina tija na ni za muda mrefu kuweza kuvuna na mvua hizi fupi! Soma...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom