Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wana JF, Natafuta kampuni inayo print PVC lables au stickers. PVC lables hizi zinabandikwa kwenye mifuko au chupa za kufungi bidhaa mbali mbali. Naweka mfano wa PVC lables hapa chini, asanteni sana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wajasiliamali wenzangu naomba kujulishwa kama kuna association ya mazao hayo tajwa. Halafu kama kuna mtu mwenye uelewa wa masoko ya nje. Procedure gani za kufuata kuyapata.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakubwa heshima mbele, Naomba kujua mahali wanapokamua alizet hapa dar. Nafikiria kulima zao hili ukanda huu wa pwani lakini sijajipanga kununua mashine ya kukamua, hivyo ningenufaika kama mtu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wapedwa naomba anayejua soko la asali anijulishe nipo tabora
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu kwa wale wazoefu wa hii huduma ya mpesa na tigo pesa na mpango wa kujiajili je inagharama gan kufungua kwa zote nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu, nimekuwa nikivutiwa sana na ushauri mnaotoa juu ya mambo mbalimbali. Ushauri unaotolewa huwa unanipa moyo sana. Mimi ni muajiliwa kwa miaka 13 sasa katika sekta binasfi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
NDUGU ZANGU KUNA WATU WAPO MAKAZINI NAWANGEPENDA SANA KUJISHUGHULISHA NA SHUGHULI MBALIMBALI ILI KUJIONGEZEA KIPATO LAKINI WANAKOSA MUDA NA WASIMAMIZI. KUNA WATU WANA FEDHA LAKINI WANAKUMBANA NA...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Heshima Kwanza. Baada ya utafiti wa mudu mrefu, imefahamika kua tatiza kubwa la wakulima ambao ndio asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania, wenye kipato cha chini waishio vijijini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu mimi ni mkazi wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2. Nimewaza nianze kufanyia nini nimeshndwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Jamani wana jamii mimi nina ujuzi wa kutengeneza sabuni ainazote na shampoo,mishumaa na vingine kwa sasa nataka kujikita na sabuni na shampoo,sasa nipo busy na kazi nyingine nahitaji mtu aliye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, Naulizia wapi vinapatikana vifaa vya kuvunia asali, yaani mavazi maalum ya kuvaa wakati wa kuvina asali na vyombo vya kuwekea na kuhifadhia asali. Wapi nitapata vifaa hivyo na bei zake...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu zetu Watanzania mliopo Botswana,could you please Share your experience,kuhusu mambo ya business?hasa ni biashara zipi zinafaa kati ya nchi hizi mbili!naomba mawazo yenu wadau
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Heshima yenu wanaJF, Nina wazo la kufunga kuku, kwa nia ya kujiongezea kipato naomba ushauri wa namna ya kupata mtu au mahali ninapoweza kupata ushauri wa :- kuku gani wa kufuga (wa kisasa au wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina shamba la ukubwa wa hekari 4 katika kijiji cha Vikawe karibu na Mapinga Bagamoyo ambalo nimelisajili kwa hekari mbili mbili (yaani lina hati mbili), ambalo nataka kuanzisha mradi wa ufugaji...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI
0 Reactions
14 Replies
4K Views
wadau habarini. na biashara yangu nataka iendeleza, sasa naitaji mkopo kuweza fikia lengo hilo. nimeajiriwa kwa mkataba, na mshahara wangu si mbayaz. swali lamgu juna bank ambayo unaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa Tanzania sasa ndo tunafumbua macho kuhusu ujasiriamali, baada ya tatizo la ajira kuongezeka kwa kasi ya ajabu. Mtu anamaliza chuo anakaa mtaan miaka bila kupata ajira. Na wengi wameshajiwekea...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
niko chuo kwa sasa iringa, likizo huwa nipo dar mara nyingi na mara kadhaa kilimanjaro. sasa nina kama 1 mil. nataka kufanya biashara yoyote yenye kuendana na mwanachuo kwa maana ya muda, pia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii.. Tafadhali naomba msaada wa habari kwa yeyote anayejua kuhusu upatikanaji na bei ya pamba kwa ajili ya kutungenezea mafuta!
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wana jamvi nisaidieni jamani, niko very serious nataka mkopo nijenge nyumba. ninayosite but haijapimwa ila natamani kweli kujenga kajumba kadogo kazuri. cash on hand sina na sina kitu cha kuweka...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…