Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

nahitaji mafuta aina ya mawese (palm oil) na na mafuta ya pamba magwanji na bei gani kwa pipa nijuze kwa haraka sana .
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hii inalipa au? Kuna mtu kaniambia anao mzigo nimtafutie masoko ya nje ya nchi lakini mimi sijui cha kufanya kwani naskia ma Chinese ndio wanunuzi wakubwa lakini hapa bongo nako naambiwa kuwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari ndg wana JF. Napenda kuwajulisha kuwa sasa hauna haja ya kuangaika kutafuta huduma ya usafiri unapokuwa na shughuli yako ya Harusi, Msiba au Any tripe Tour. Tuna magari aina zote ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu Wajasiriamali! Leo nimekuja na wazo la kutengeneza muongozo wa mkulima(user guide). Wazo hili limekuja baada ya mimi banafsi kunufaika na maelezo (nondo) yanayotolewa humu kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wadau wa ukurasa huu mi ni kijana ambaye nimeamua kujiajiri na kwa sasa nipo kwenye mchakato wa kutafuta soko la mafuta ya ubuyu haswa haswa kwa wale wanao chukua kwa jumla. kupitia ukurasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kama kuna anaye hitaji hizi Mashine basi tuwasiliane, ni Made in China ila zina Ubora mzuri sana katika kutotoresha Mayai na unaweza totoresha mayai ya Kuku, Kanga, Bata, na Hata Ndege...
3 Reactions
16 Replies
6K Views
Tarh 29/10/2012 niliweka post yenye kichwa "Asanteni jamiiforums,hatimaye nimeanzisha mradi wangu lakini bado changamoto zipo". Leo napenda kuwashukuru wote kwa mawazo yenu pia kuwarejeshea...
15 Reactions
35 Replies
4K Views
HABARI WANA JF. Nimeamua kuanza ujasiriamali wa kulima pilipili na nyanya chungu huku morogoro. kwa kwenye taarifa kuhusu soko la hizo product anijuze.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau naombeni msaada kwa wale watu wanaojua kampuni zinazosafirisha vifurushi toka USA kuja Tanzania mbali ya USPS,FEDEX na DHL anisaidie kujua ikiwezekana na mawasiliano yao!asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana, Kuna mjasiriamali kilimo ambaye anataka kuanza biashara ya mazao mbali mbali yanayostawi kwa muda mfupi kutumia kilimo cha umwagiliaji, mkoani Morogoro. Anaomba ushauri wenu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina mpango wa kusupply maziwa fresh toka kibaha kuja maeneo hapa dar. Ni watu gani ni wa kuwaona wataonunua kwa bei nzuri. Coz, ntakuwa nikinunua kwa 1200/- kwa lita, nina kuna uwezo wa kupata...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamani wap naweza pata mkopo wa laki3kwa intrest nzuri na marejesho kila wiki
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF habarin! polen na majukumu, kwa kifupi mimi nina wazo la kujiajiri kwenye kilimo cha mboga mboga kwa umwagiliaji maeneo jirani na DSM, kwa yeyote nahitaji ushauri ni yapi maeneo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nunua trey10 za mayai chemsha zungusha mjin maeneo karib au ndan ya stand, trey10 ni sawa na mayai mia3 uza sh mia3 kila moja Faida 300x300 toa elf50 =elf40 ukiweza pata vijana na kuza tray10...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyote mnajua kwamba ule muarobaini tulioahidiwa na TANESCO kwamba mgao wa umeme ungekwisha, SASA HAUPO TENA. Kinachotakiwa ni kuiweka TANESCO kando na kusonga mbele. Nina mawazo thabiti kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wazoefu wa m.pesa naombeni ushauli...nataka kujihusisha na biashara ya m-pesa ...je ina lipa? Kama inalipa ni kwa kiasi gan?principal gan zinatakiwa ili ilipe zaid na zaid? Na changamoto...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ni mjasiriamali niliuza korosho kwa mfumo wa stakabadhi ghalani tangu tr.15 September, mpaka leo nasikia hawajaanza kulipa' please kwa mwenye kujua naomba anifahamishe'
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari!nakuja tena jukwaani kuomba kupata ushauri juu ya biashara ya chaki(chalk),nilibahatika kupata kimasheni cha kutengenezea chaki kama zawadi toka kwa wadau fulani wa nchi ya...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Incubators ni Kifaa kinacho tumika kuangulia mayai, na hufanya kazi ambayo kuku hufanya, Ila tofauti na Kuku ambaye hutumia bilogocal katika kuatamia Mayai, Incubators mara Ntingi huhitaji akili...
2 Reactions
1 Replies
5K Views
wakuu wana Board poleni kwa majukumu mazito mlionayo.Hoja yangu ni kutaka kujua ufanisi wa mashine ya selcom na hudama zake zote ukilinganishi na ile ya Maxcom,mimi ni mtumiaji wa mashine ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…