Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kwa wakazi wa Dsm naomba mnifahahamishe nitapata wapi laini ya tigo pesa ya uwakala
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Helo peoplez! Poleni na shughuli za kila siku. Naomba msaada wa majina ya vitabu vizuri vyenye kuhamasisha kuhusiana na ujasiriamali ambavyo naweza kupata online. Mfano kama: Rich Dad Poor Dad...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
kwa yeyote anaehitaji
6 Reactions
11 Replies
4K Views
Wadau mnao fahamu please, naomba kujua kama umeanzisha blog yako na unaitumia kwa mambo yako, je unaweza kuiendesha kibiashara pia, YAANI richa ya mambo yako je unawezaje kuitumia kujipatia japo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina taka mtu aneweza kunifahamishi jinsi majib ya maswali ninayokuwa nime jibiwa niweze kuwa nina yapata ibox kwa urahisi!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Wanajf! natumaini nyote mu wazima mkiendelea vyema kulijenga taifa letu. nauliza soko la madini ya ruby kwa dar na kama unafahamu bei kwa point na mambo mengineyo, tafadhali naomba nijulishe...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
N'gombe maziwa wa kisasa 5 wanauzwa. Bei Tsh700,00/= mpaka Tsh.950,000/= Kwa anayehitaji tuwasiliane. Kilimo kwanza!
0 Reactions
13 Replies
18K Views
NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI JIJINI ARUSHA. RAFIKIeLIMU FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya VISION FOR YOUTH ya Jijini Arusha, wanakuletea SEMINA YA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamvi natumai mu wazima wa afya, Naombeni msaada wenu nategemea kupata pesa kama ml.10. Je? mnanishauri nifanye biashara gani hapa Dar au around mkoa wa Pwani? Natanguliza shukrani zenu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu sana. Napenda kabla ya yote niappreciate michango yenu hasa katika forum hii, imekuwa ikinisaidia sana. Sasa turudi kwenye uzi huo hapo juu: Naomba mwenye ushauri juu ya jambo...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Hawa nimiongoni mwa wafanyabiashara wanaokutana na mazingira magumu sana pindi wakiwa kwenye ofisi zao. Natumaini wengi wetu tumeshakutana au kuona jinsi gani hawa jamaa wanavyofanya hizo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu ndugu!! Nina mjomba wangu anastaafu mwaka huu! Na pensheni yake itasoma kama Mil 50,hivyo wadau Naomba mchangunuo wenu Wa biashara gani afanye!!!
0 Reactions
31 Replies
5K Views
kwa wanaohitaji kuku wa kienyeji na mayai yake kwa wingi yanapatikana nipo kanda ya ziwa.tuwasiliane nikuletee mpaka ulipo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nina eneo la robo tatu eka Morogoro maeneo ya Nanenane karibu na shule ya sekondary Tubuyu. Ni eneo lililopimwa na documents zake ninazo. Kwa sasa nimelizungushia ukuta lote na kuweka geti...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
niko kwenye semina ya ujasiliamali Tumain university Iringa na watu wa ILO asikudanganye mtu hawa jamaa wako fiti kwenye mambo ya enterprenuership nitazd kuwapa yaliyojili
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu katika jamii forum, mimi ni kijana wa kitanzania, nategemea kuhitimu mafunzo ya uhandisi katika fani ya uchenjuaji madini( mineral processing Engineering) mwezi wa sita mwaka huu. kutokana...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habarini wote muliopata hamasa kusoma nilichoandika. Mimi niko na biasha fulani ambayo kwa sasa ipo vizur kwa kiasi. ila nataka kuanzisha line nyingine ya biashara ila swala lamtaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WADAU NAOMBENI USHARI KWENYE SWALA LA UJASIRIAMALI,NINA MTAJI WA KAMA MILLIONI 7 NAOMBENI USHARI NAWEZA KUFANYA BIASHARA GANI? SINA UZOEFU KABISA KUHUSU BIASHARA.NATAKA KUACHA KAZI NIJIKITE KWENYE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali waungwana... Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu dawa ya visiki shambani...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Waungwana Ninataka kuanzisha biashara ya kuuza Personal Computers (Windows) mpya, kwenye miji hii: 1. Mbeya 2. Iringa 3. Kigoma 4. Mwanza 5. Tabora 6. Mtwara Ningependa kujua, kwa wenye kuishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…