Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

ndugu zangu nipo morogoro naitaji kufungua biashara ya kuuza kitimoto ningeomba wenye uzefu mnisaidie nijue mambo ya msingi yakuzingatia na kama kuna mtu wa morogoro mjin anisaidie jinsi ya kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii wenzangu ni maeneo gani (Trading centre) yaliyokaa vizuri kwa Biashara kama kuchaji simu, secretarial services, kuonyesha TV kwa ku tumia solar ambayo yapo nje kidogo ya jiji la Dar na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nigependa kujua ni mtanda upi I.e tigo-pesa, airtel-pesa, vodacom-mpesa etc unatao huduma bora kama vile kuunganisha bank account and account yako ya simu kama nilivyoeleza hapo juu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa jina la mwenyezi Mungu, nikitumaini mu_wazima wenye siha njema. Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kufahamu wapi wanapo 'publish' vitabu popote kwa mikoa ya Mwanza, Dar, Arusha na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jaman wanajamvi ninamtaji wa shil..milioni 2 je naweza kufanya biashara gani nzuri yenye faida kwa sengerema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajf mwaka unatamatika.Natamani mwaka ujao niwe mjasria mali.wazo langu nikumiliki kampuni yangu ya uchapishaji wa vitabu.(publishing co.)NAOMBA USHAURI WA HATUA ZA KUFUATA ILI LENGO LANGU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani kwa mwenye uzoefu na biashara ya tax,tafadhari anisaidie kujua je inalipa?yaaani hesabu ni shangapi,total kwa mwezi na running cost zikoje on average?inaweza kuyafanya maisha yaendee...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu naomba tupendekeze majina matatu ambayo ambayo badaye tutawashindanisha na kupata mjasirimamali wa mwaka 2013 wa jamii forum
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu ,naomba ushauri kilimo cha Magimbi kabla sijajitosa.Nina shamba maeneo ya Mkuranga. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Habari wadau biashara gani itaweza kuniingizia 10,000 kwa siku na yenye mtaji mdogo.Asante wana jamvi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jameni naombeni msaada nina kuku wana miezi 5 na karibu wataanza kutaga, je nawezaje kuwapunguza midomo yao? Kingine jkuhusu viota nimewawekea nimechelewa ama huu ndo muda muafaka wa kuweka viota
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa JF naomba mtu yeyote anayejua au mwenye connection na wadau wa biashara ya Vinyago(tofauti tofaut) hasa maeneo ya utalii anisaidie nimeianza hyo biashara ila sijapata soko la kutosha.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari! Nategemea kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa na Kwa kuanzia naanza na mmoja.naomba wale wenye uzoefu wanisaidie. Nahitaji mwenye mimba ya at least miezi mi4.nategemea kufugia dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba kuuliza je ni wakati gani mzuri wa kuintroduce viota vya kutaga kwenye nyumba ya kuku? nina kuku wamefikia mwiezi5 sasa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Majogoo wekundu chotara wana umri wa miezi mitano wanauzwa, wasiliana nami 0715714234
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF, Hongereni wajasiamali/wakulima Nisiwachoshe jamani, mimi nilitaka kujua au kupata taarifa juu ya kilimo cha cocoa.. Wapi nchini kwetu kinaweza kulimwa pamoja na tarifa zingine.
0 Reactions
7 Replies
9K Views
habarini wanajamvi. jamani naombeni mwenye kufahamu vizuri biashara hii ipo vipi. binafsi sifahamu imekaa vp ila natamani sn kufanya biashara ya kununua dhahabu kwenye migodi hapa tz na kwenda...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wapendwa bandugu na bajamaa habari za majukumu...! Kwa furaha na upendo karibuni sana tusherekee kwa kujipatia kuku bora kabisa wa kienyeji kwa ajili ya kitoweo cha sikuu za x-mass na mwaka mpya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nimeamua kujiajiri kama hivi: tunatoa huduma za ICT mfano; computer maintenance,kusupply computer na vifaa vyake vyote,software development,website design and hosting,printing,IT support and...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom