ndugu zangu nipo morogoro naitaji kufungua biashara ya kuuza kitimoto ningeomba wenye uzefu mnisaidie nijue mambo ya msingi yakuzingatia na kama kuna mtu wa morogoro mjin anisaidie jinsi ya kupata...
Wanajamii wenzangu ni maeneo gani (Trading centre) yaliyokaa vizuri kwa Biashara kama kuchaji simu, secretarial services, kuonyesha TV kwa ku tumia solar ambayo yapo nje kidogo ya jiji la Dar na...
Nigependa kujua ni mtanda upi I.e tigo-pesa, airtel-pesa, vodacom-mpesa etc unatao huduma bora kama vile kuunganisha bank account and account yako ya simu kama nilivyoeleza hapo juu
Nawasalimu kwa jina la mwenyezi Mungu, nikitumaini mu_wazima wenye siha njema. Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kufahamu wapi wanapo 'publish' vitabu popote kwa mikoa ya Mwanza, Dar, Arusha na...
Ndugu wanajf mwaka unatamatika.Natamani mwaka ujao niwe mjasria mali.wazo langu nikumiliki kampuni yangu ya uchapishaji wa vitabu.(publishing co.)NAOMBA USHAURI WA HATUA ZA KUFUATA ILI LENGO LANGU...
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora...
jamani kwa mwenye uzoefu na biashara ya tax,tafadhari anisaidie kujua je inalipa?yaaani hesabu ni shangapi,total kwa mwezi na running cost zikoje on average?inaweza kuyafanya maisha yaendee...
Jameni naombeni msaada nina kuku wana miezi 5 na karibu wataanza kutaga, je nawezaje kuwapunguza midomo yao? Kingine jkuhusu viota nimewawekea nimechelewa ama huu ndo muda muafaka wa kuweka viota
Ndugu wadau wa JF naomba mtu yeyote anayejua au mwenye connection na wadau wa biashara ya Vinyago(tofauti tofaut) hasa maeneo ya utalii anisaidie nimeianza hyo biashara ila sijapata soko la kutosha.
Habari!
Nategemea kuanza ufugaji wa ngombe wa maziwa na Kwa kuanzia naanza na mmoja.naomba wale wenye uzoefu wanisaidie. Nahitaji mwenye mimba ya at least miezi mi4.nategemea kufugia dar
Habari wana JF, Hongereni wajasiamali/wakulima
Nisiwachoshe jamani, mimi nilitaka kujua au kupata taarifa juu ya kilimo cha cocoa..
Wapi nchini kwetu kinaweza kulimwa pamoja na tarifa zingine.
habarini wanajamvi. jamani naombeni mwenye kufahamu vizuri biashara hii ipo vipi. binafsi sifahamu imekaa vp ila natamani sn kufanya biashara ya kununua dhahabu kwenye migodi hapa tz na kwenda...
Wapendwa bandugu na bajamaa habari za majukumu...!
Kwa furaha na upendo karibuni sana tusherekee kwa kujipatia kuku bora kabisa wa kienyeji kwa ajili ya kitoweo cha sikuu za x-mass na mwaka mpya...
nimeamua kujiajiri kama hivi:
tunatoa huduma za ICT mfano; computer maintenance,kusupply computer na vifaa vyake vyote,software development,website design and hosting,printing,IT support and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.