Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Njooni tujifunze kwa bakhresa! 1.ANZA MAPEMA, Acha kukawia (Show up early) Fanya kile unachodhani unaweza kufanya, fanya mapema iwezekanavyo, acha kukawia. Usisubiri hadi muda wa kila kitu kuwa...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
GARI inauzwaaaa....! Toyota Starlety...Engine c.c 1331, year of manufacture 1997. seating capacity 4 passangers....price TSH 4,200,000/- pekee +255713780010 pia kuna bei ya maelewano pita hapa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima zenu nyingi sana wakuu Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu aliyeniongoza mpaka nikajiunga JF hasahasa hili jukwaa letu tukufu maana nimejifunza mengi japo mengi yamenipita sababu wadau...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Ndugu wana jamvi Jf nimeshindwa kujizuia nikaona nitoe ya moyini. Mosi- Nawashukuru sana tena sana Wote Wana JF mnaotumia muda wenu na pesa kutuelimisha waTz juu ya mafanikio. Be blessed a lot...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naomba kujuzwa NMB wanakata makato ya asilimia ngapi ukichukua mkopo, mfano mkopo wa miaka 2,3,4,5 na mambo yapi yanazingatiwa naombeni msaada jamani
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Salaam; Naomba msaada kwa anyejua mahali yanakopatikana yale maboksi ya kufungashia keki, kama kuna mawasiliano yao au kuelekezwa walipo nitashukuru sana. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu marabaada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari mwaka 2012 nilijiunga jamii forum nakuwa mnazi ma jukwaa hili, nilijiingiza katika ujasiliamali kwa kusaidia watu mbali kupata mifugo bila mimi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau... ningependa kujua nitapataje mashine ya kutengeneza pellet ya chakula cha mifugo[samaki/kuku]. kuanzia ndogo ya 50kg per hr mpaka 1ton per hr. Iwe ndani ya nchi au kokote duniani [used au...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Nauza asali kwa ujazo tofauti tofauti kuanzia 20kg 10kg 5 kg 1kg na 500mg tatizo ni soko ndio linanisumbua mwenye talifa ya soko au anao itaji naomba uni saidie
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jaman wakuu mwenye kujua hii biashara tufahamiishane na mtaji upi mzuri wa kuanzia!? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau Mwezi huu katika kutembelea mradi wangu wa kilimo cha alizeti huko Rukwa nimeamua kuvuna na kukamua mafuta mwenyewe kuliko kuuza alizeti, kutokana na bei ya mafuta kuwa ya kuridhisha...
1 Reactions
10 Replies
9K Views
Kama ilivo ainishwa kwenye kichwa cha habari hapo juu.. Nahitaji vifaranga vya bata mzinga, na bata bukini. Kwa mwenye navyo tunaweza kufanya biashara. nipo dar es salaam. 0718355635
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wapendwa wajasiriamali habari zenyu! Nimeamua kufuga kuku na nimetamani kufuga machotara wa malawi na kuchi, tafadhlini naomba msaada wa kupata vifaranga bora kwaajili ya ujasiriamali nipo dar...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau habari!nimekuja kwenu kuomba ushauri,baada ya kuzunguka sana na vyeti vyangu kusaka ajira bila mafanikio,nimeamua kwa dhati kabisa kuwekeza kwenye kilimo,nimekuja hapa kuwaomba ushauri kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam wakuu, kwa kifupi bila kupoteza muda naomba kuuliza means mtu anazotumia kujilipa kile akipatacho cha ziada (profit) kwenye biashara, au ni njia ipi bora wakuu? kwa mfano kama nikifungua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msungu engineer works dodoma mjini maili mbili wapendendwa wajasiriamali jipatieni mashine za kuangulia vifaranga kwa bei nafuu kama ifuatavyo ya mayai 200- laki nane na nusu (850,000/=) ya mayai...
0 Reactions
15 Replies
13K Views
'Looking for a Bee-Keeping Partner.' I own a fifty acre Apiary, located at Mihuga Village, Bagamoyo District, Coast Region. I am looking for Mwekezaji wishing to Invest into bee-keeping as...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Get your Home Based Job Guranteed Today and earn upto 9000$ Weekly - InternetDuty.com Sent from BlackBerry 9900
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu woooote! Jamani naomba kuuliza. Hivi naweza kuwa na cheque ya abroad eg. USA ukawithdraw pesa ktk benk za hapa home.
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Habari za jioni Wadau! Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Back
Top Bottom