Heshima kwenu wadau.
Naandika kama mwakilishi wa vijana graduates tuloamua kuwa na firm ya kuzalisha maji ya kopo nje ya dar.
naomba kuuliza kwenu mahali panapotengenezwa chupa za maji mbali na...
wana ndugu kwa wale entrepreneur kuna youtube nimeona itakuwa helpful...kuna episode ya kwanza mpaka ya sita,niliona katika pita pita yangu youtube kuhusiana na business plans..its very good ep...
hello friends.... plz assist me with business ideas that ranges from 2-5million that wil meet daily peoples demand...and incase of starting up a mini supermarket wat wil be the initial capital...
Habari wandugu,
Naomba kuuliza wana jukwaa hili, Hivi ikitokea ukapewa shillingi za kitanzania milioni 100 ukaambiwa uzifanyie biashara. Je ni biashara gani utafanya?
Habar wana jf. Kwa wale wanaohitaji mayai ya kuku wa kisasa, tuna uwezo wa kutoa tray had 20 kwa siku au 100 kwa wiki. Bei ni tsh 6500. Maongez yapo. Karibun sana.
Wadau,
Nimekua nikipitia jukwaa hili mara kwa mara, na ukweli hili jukwaa limenishawishi sana kua mkulima. Nimeshanunua Ardhi sehemu mbalimbali, iliyobaki ni kuanza tu kilimo.
Sasa basi...
Ndugu zangu watanzania!
Nina wazo la kufungua kampuni lakini sijui pa kuanzia na nimalizie wapi. Najua wapo wenye mawazo makubwa na nafasi ya kunisaidia niweze fikia lengo langu. Nimechoka na...
Habar zenu wandugu.kuna mtu anatafuta fundi wa kushona mkaz wa Dsm awe na jinsia ya kike.kwa aliyetayar ani pm tafadhali.cku za kuja ni jumamosi na jumapili tu na malipo ni 40000/= kwa cku hzo mbili
Habari wakuu,
Nimeandaa eka 2 ajili ya kupanda kitunguu swaumu. Sasa nilipotegemea kupata mbegu imeshindikana.
Basically nahitaji kitunguu swaumu kilichovunwa mwaka jana. Kinakua kimekomaa na...
Wakuu,nimefikiria juu ya wanyama wanaofugwa kwa ajili ya nyama na maziwa. Sijawahi kusikia kuhusu kondoo wa maziwa. Lakini wapo mbuzi wa maziwa na ng'ombe wa maziwa. Maziwa ya kondoo yana shida...
Habari zenu wanajf, ningependa kufahamu mahali ambapo nitaweza kupata shamba kwa kununua ambalo linaweza kumudu kilimo cha matikiti maji au hata mboga za majani,karoti, bilinganya na hoho..Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.