Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Heshima mbele wakuu. _Nimekuwa najishughulisha na biashara huku shinyanga kwa muda sasa ila kwa hapa nilipofikia matumaini yametoweka na naona giza mbele. kipindi cha nyuma nilifanikiwa kununua...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Watanzani wengi kwanza tukubali hatuna elimu ya GMO zaidi ya story za vijiwe vya kahawa na Tangawizi huko ndio tunalishana matango poli, Pia kwa uelewa wetu mfinyu tunazania GMO ni mazao yasio...
3 Reactions
7 Replies
735 Views
Habari Wadau, naombeni msaada kwa hapa mwanza ninaweza tumia vipi huu mtaj mdogo niliokua nao,angalau nikabiliane na ugumu wa maisha, kwa kuzingatia bado ninasoma sheria hapa SAUT, naombeni mawazo...
0 Reactions
53 Replies
18K Views
Tafadhali naomba msaada wa maelezo ya kutambua endapo chanjo niliyo nunua bado ina ubora au imepoteza ubora kwa kuharibika au kuchakachuliwa. Kwa mujibu wa maelezo ya wagunduzi chuo Cha SUA...
6 Reactions
10 Replies
839 Views
🔥🔥Chukua kitunguu swaumu kimoja kizima ...twanga na changanya na maji lita 1....hivyo kama maji ni lita 10 utatumia vitunguu 10...kisha wacha itulizane kwa masaa 6...kisha chuja,weka kwenye bomba...
3 Reactions
3 Replies
565 Views
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona...
3 Reactions
9 Replies
798 Views
Majina ya Samaki , Maelezo na Picha (SAMAKIPEDIA) Blobfish Blobfish ni samaki anayetajwa kwamba ni kiumbe mwenye sura mbaya na muonekano usio vutia kuliko kiumbe chochote. Blobfish Ni samaki...
13 Reactions
77 Replies
63K Views
UTANGULIZI Habari zenu wanajamvi, kwanza napenda kudeclare interest mimi ni mfugaji mchanga wa Bata, na nilifikia uamuzi wa kufuga bata baada ya maradhi kuwapiga kuku wangu na wakafa wote...
68 Reactions
212 Replies
116K Views
Wadau, Naomba kujua siku zipi ni siku za mnada wa mifugo kwa mkata-handeni, natafuta san ambuzi wa kutosha. Natanguliza shukurani kubwa!
2 Reactions
14 Replies
1K Views
1. Maganda ya ndizi yenye potasiamu nyingi, zika moja kwa moja chini au kwenye safu ya miraba kwa ajii ya mbolea ya asili ya kioevu. 2. Nafaka/mabaki/ maganda ya kahawa zilizotumika zinafaa...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Limeni mazao ya muda mfupi,mwaka wa njaa huu nimepita jana hakuna mvua, mvua zitakata mwezi mei ni mwaka wa wakulima waliovuna kuinuliwa, asanteni
1 Reactions
4 Replies
363 Views
Wadau naomba msaada titanium anayefahamu mnada wa mifugo morogoro kesho Jumatano, Alhamisi na Ijumaa unakuwa wapi?
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Serikali ya China imetoa kibali Kwa wanasagansi wake kuanza uzalishaji wa mazao yanayotumiwa Kwa Wingi na watu Kwa teknolonia ya GMO. Mazao Makuu yaliyolengwa ni Soybeans,Mahindi (Yellow &Sweet...
0 Reactions
4 Replies
677 Views
In Tanzania, there are many myths and misconceptions surrounding the consumption of exotic poultry, particularly broilers, which limit their consumption in various regions. These beliefs are often...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
HABARI WANA JAMII FORUM Naomba maelekezo juu ya biashara ya mbao 1,upatikanaji 2,usafirishaji 3,jinsi ya UENDESHAJI wa biashara 4, mtaji wa chini kiasi gani 5,namna ya kutafuta soko
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Nahitaji mchai chai mbichi (Lemon grass) Nahitaji kilo 500 max ila hata ukiwa na kilo 50 nachukua Kama mzigo unao karibu Whatsapp 0688301635
2 Reactions
6 Replies
631 Views
Jamani naombeni msaada nimepanda majani ya ukoka nyumbani kwangu ili niwe na bustani nzuri inayovutia na ukijani mzuri majani niliyopanda ni yale madogo madogo ambayo hayaendi juu yanakua kama...
2 Reactions
11 Replies
8K Views
SIO MBAYA wajenxi kukumbushana wapendwa Najua mpaka tunajenga tunahangaika sana sana kuweza kujenga Hizi changamoto utazikuta wakati WA ujenzi Ukiwa unaenda kununua mbao hasa pale buguruni...
2 Reactions
3 Replies
457 Views
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Naomba kama kuna mtu anauelewa juu ya kilimo cha matunda machungwa kwa mikoa ya Tanga, Kibaha na morogoro (hata sehemu moja). Anisaidie kunijuza juu ya...
3 Reactions
26 Replies
13K Views
Back
Top Bottom