Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Mimi ni mtanzania nilieamuwa kujikita kwenye shughuli za maharusi. Tuna wedding dresses wapendwaa..High quality.good price. Nitafuteee for more information. Tupo fb kwa jina la East Africa wedding...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Dear Friend, Deogratius Kilawe here, following up about our next High Performance Leadership conference this June here in Dar Es Salaam, Tanzania and Lagos, Nigeria. I wanted to check-in and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu...
39 Reactions
83 Replies
14K Views
Naomba kujua na kupatiwa namna ya kufungua biashara ya uuzaji mitumba
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Mwenye uzoefu na biashara ya n'gombe anisaidie Nina n'gombe wangu 20 nataka nije kuuza pugu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KILIMO CHA MBOGA MBOGA SOMO LA KWANZA: KILIMO BORA CHA ZAO LA NYANYA. I. MUHTASARI. Nyanya ni mojawapo ya mazao makuu ya kilimo cha mbogamboga ulimwenguni na hushika nafasi ya 2 baada ya...
10 Reactions
25 Replies
55K Views
Wakuu...kwa yeyote anayehitaji kununuwa ufuta..ninaomba anitafute kwa 0713 190 118...ufuta upo lindi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wana JF, Kwa mara nyingine naomba mnijuze soko la Komamanga na Njugu. Mimi ni mkulima kwa sassa nina njugu za kutosha lakini pia natarajia kuwa na kilimo kikubwa cha Komamanga mwakani...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nimeamua kuanza kuuza viazi mviringo na mtaji wa tsh 50 000.ambapo nitaanza na debe tano >kununua tsh7000/debe*5=35000 >usafiri 10 000 >mengineyo 5000. jumla 50 000 >nategemea kuuza 20...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeipata hii kitu kumuhusu huyu founder wa facebook Marck Zuckerberg jinsi alivyoanza facebook na mpaka kuja kuwa multi-billionaire. Fungua hii link na ujisomee mwenyewe. inaweza badili fikra...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Contacts: +255 785 365285 A Home Business Where Real People Make Real Money Ever thought of the simplest and the most definite way to achieve FINANCIAL SUCCESS? If your answer is NO, then you...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu, Nina mtaji wa milioni 20, nataka nifungue fremu ya biashara Dar es Salaam. Ni maeneo gani naweza kupata fremu ya bei nafuu?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dears wajasiliamali naomba kuuliza kuna mtu humu analima kilimo cha greenhouse...faida zake...hasara je? Please n please naomba kueleweshwa vizuriii kabisa na gharama zake za kufunga na kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wangu mimi ni mjasiriamali,natengeneza mashati ya vitenge, bazee, na batic. Kiu yangu kubwa ni kuhakikisha vazi hili la Africa linatamba. Naomba ushauri wenu. Nataka niwe najumlisha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta soko la mafuta ya alizeti
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulingana na kichwa hapo juu.Kwa kifupi nina shamba lenye ukubwa wa ekari sita, shamba hilo limezungukwa na maji ya mto usiokauka kwa vipindi vyote vya mwaka. Eneo hilo hulimwa mbogamboga au...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu! Jamani mimi nina business idea, ambayo tayari nina kila kitu upande wa paperworks na marketing strategies, kwa maana kwamba nina uhakika kampuni itasimama. Shida ni kwamba sina...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wadau Heshima kwenu, Nina kisima chenye urefu wa ft 56 na kina maji mengi tu ya kutosha kwa matumizi yangu na hata kuwa na ziada.Kisima kimechimbwa mwaka 1999 mwishoni (November). Tangu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…