App inapatikana google play store kwa jina la Ufugaji au ipakue kupitia kiunganishi hiki
https://play.google.com/store/apps/details?id=ifugaji.app.tanzania.kilimo
Au nenda moja kwa moja kwenye...
Tujiandae kupanda kwa bei ya mahindi..mavuno mwaka huu yamesuasua. Zambia production zimeshuka by 34 %. Tanzania bado sijaona taarifa zao. Mahindi sasa yapo mikononi kwa wafanya...
Nitoe short story tu katika muendelezo wa kuelimisha jamii juu ya kilimo hai(organic farming).
Mimi Kwangu nimepanda mboga mboga katika mifuko hivyo mara nyingi huwa sinunui mboga sokoni, sasa...
Kuna hawa wanajiita MKIKITA naona nao wana project kama za Namaingo we unatoa fees wanakuchukulia mkopo wanakulimia wanakata gharama za ulimaji na mkopo we eti unapewa faida tu.
Nikitazama naona...
Horticultural Farming for Improved Production Economy (HoFIPE) is a project that desires to address youth employment through the agricultural sector in Tanzania. The project intends to involve...
Nimenunua epson printer L800 na hapa mjini studio zinasafisha picha kwa tsh 200 picha ya size 4 kwa 6, je mimi nikisafisha kwa 200 nitapata faida? Msaada wadau
Wana jf Habari za majukumu,niko Serengeti mkoa wa Mara na jishughulisha na kilimo ila kwa sasa nahitaji kufanya kisasa kidogo nahitaji kujenga green house ya mita 15 kwa 25 kwa ajiri ya nyanya au...
Kwa wastani hatua ya mtu mzima ina urefu wa futi 2.5. sawa na 75cm au 0.75m. Sasa ukipimiwa upana wa hatua 70 na urefu wa hatua 70 utakuwa na eneo lenye urefu wa 70x0.75 = 52.5m. Upana pia utakuwa...
Naitwa benjamin l. Mbilo
Nimtaalamu wa masuara ya kilimo na mifugo(general in agriculture) kwasasa nnapatikana iringa mji mdogo wa ilula. Kwasasa najishuhurisha na utoaji elimu na ushauli juu ya...
Nina wazo la kuilima vitunguu maji, nipo kanda ya ziwa (ng'wanza), nina wazo la kulima vitunguu maeneo ya Magu karibu na mto simiyu, changamoto ninayoiona ni usitawi wa zoa hili katika eneo hili...
Wakuu nataka kujiingiza kwenye kilimo maeneo ya Kibiti. Kuna mwenye mawasiliano ya bwana shamba wilaya ya KIBITI ili niweze kupata ushauri kwake juu ya mazao ya kulima, aina za mbegu na muda wa...
Habar wanajamvini.....kwa miaka kadhaa wakulima wa zao la mahindi hasa mikoa ya nynda za juu ksini na magharib tumekua wazalishaaji wakuu wa zao hili kwa muda sasa ni zao pengine naweza sema...
Dawa za kusafishia, kungarisha na kupendezesha vioo
MAHITAJI
-sabuni ya maji
-vinegar
maji
JINSI YA KUTENGENEZA
Tia maji lita 10 kwenye plastic,sabuni ya maji lita 1,vinegar lita 1 kisha koroga...
Tar 12/10/2018 mmoja kati ya viongozi wa benki ya maendeleo ya kilimo (Tanzania Agricultural Development Bank) alikuja kuongea na wanachama cha ushirika Madibira. Ushirika unawanachama 3147 ambao...
Nimelima matikiti maji kwa mara ya pili sasa, changamoto yangu juu ya utiaji wa mbolea ya viwandani katika miche.
mana inakufa sana nikishatia mbolea.
Natumia kizibo cha take away kama kipimio...