Habari wadau humu ndani.
Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko.
Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo.
Naomba...
Kuna video ina trend, twitter inamuonesha ofisa mmoja wa serikali akiwa na waandishi wa habari kwenye ofisi ya kampuni inayomilikiwa na mama wa kizungu mmoja wakijibizana kwa madai kuwa kampuni...
Wadau, naomba msaada wa kupata elimu zaidi juu ya utengenezaji wa funza kama chakula cha kuku. na pia naomba kufahamu kama hawa funza kwa hapa Tanzania wanauzwa, basi naomba kufahamu ni wapi...
Wakuu hili swala la Kujitengenezea mwenyewe Chakula Cha Kuku si swala la Kitoto hata Kidogo, Ni kazi Moja ngumu kabisa, kuliko hata Kufuga kwenyewe, na that is why watu wengi wanaona ni Bora...
Naitwa goya mnanda ni mkulima wa mpunga nafanya shughul zangu mkoa wa morogoro kilombelo ni mkukima wa kat katika shughul zangu kule shamba nakutana na changamoto mbalimbali aswa matumiz ya dawa...
Wakuu habari..
Natumaini mu wazima
Lengo la uzi wangu ni kutaka kujua kiundani kuhusu kilimo cha karangaa....
1.Mkoa mzuri unaofaa kwa kilimo hicho
2.mahitaji kwa ajili ya kilimo
3.Total cost...
Habari zamchana wana bodi, samahani wakuu kwa wale wataalam wa ufugaji wa kuku nahitaji msaada wenu.
Nimeanza kufuga sasa nina mwezi wa tatu. Nafuga kuku chotara wa mayai, nimekumbana na hiki...
Habar ndugu Zangu natumaini mnaendelea vizur na poleni na majukumu ya siku nzima ningependa kujua soko la muhogo mkavu ninazo kama Tani 15 na bei yake kwa kilo tafadhari asanteni sana
Wadau nimekutana na makampuni wnahamisaisha watu kulima pilipili kichaa zinaitwa African bird eye. Wanasema ekari moja unaweza kuzalisha 160 Kgs/kavu/ wiki ambayo ni sawa na 640 kgs kavu kwa eka...
Habari wanajamvi wenzangu, naleta Uzi huu , ili kuweza kupata ushauri ama kama kuna MTU tunaweza kujoin tukafanya biashara ya kilimo, tukalima kilimo cha muda mfupi mm Nina milioni 1 wakuu...
Naomba mnijuzee wapi kuna mvua ya kutosha na ardhi nzuri yenye rutuba hususani kwa kilimo cha alizetii pia bei za mashamba na gharama nyingine katika hio mikoa
Pia upatikanaji na gharama za...
NINA TREKTA
MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI
KANIUNGANISHA NA WANUNUZI WA UHAKIKA NITAKAPOVUNA MAZAO
KANIPA NA 8 MILLION KWA KUANZIA
SWALI LANGU NI MOJA,MKOA GANI NAWEZA ANZA KILIMO?
Tajwa hapo juu ni Aina ya tunda ila lina majina mengi mno. Kwa kiswahili sijui.
Haya matunda yapo ya Wildau ya Msituni au ya Kienyejina piayapo Chotara.
Nchi ya Kolombia ndo mzalishaji mkuu wa...
Jaman wadau mm ni kijana nimeamua kujiajiri ktk biashara ya kuuza mafuta ya ubuyu na asali,
kwa yeyote anayejua soko la hii kitu lilipo msaada tafadhari!
Hali ya ajira na maisha ni ngumu jamani...
Habari za wakati huu ndugu, nipo apa kwaajili ya kuomba kazi yeyote inayohusiana na masuala ya Kilimo na mifugo, napatikana Arusha.niko tayari kufanya ata kwakujitolea ili nisipoteze elimu yangu...
Habari wakubwa.,
Ninahitaji kujua kuhusu incubator, efficiency yake katika utotoaji na aina zake kwa wafugaji wadogo dogo .
Incubator za mayai kuanzia 48 - 200 and above.
Kwa wale ambao wanazo...