kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,421
Wakuu habari..
Natumaini mu wazima
Lengo la uzi wangu ni kutaka kujua kiundani kuhusu kilimo cha karangaa....
1.Mkoa mzuri unaofaa kwa kilimo hicho
2.mahitaji kwa ajili ya kilimo
3.Total cost per hecter
4.Market
5.Bora kununua kabla ya kumenywa au kulima in terms of cost
Niko serious sana so naomba aliye na maelezo anipe mubashara!!!!
Alaamsik
Natumaini mu wazima
Lengo la uzi wangu ni kutaka kujua kiundani kuhusu kilimo cha karangaa....
1.Mkoa mzuri unaofaa kwa kilimo hicho
2.mahitaji kwa ajili ya kilimo
3.Total cost per hecter
4.Market
5.Bora kununua kabla ya kumenywa au kulima in terms of cost
Niko serious sana so naomba aliye na maelezo anipe mubashara!!!!
Alaamsik