Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wana jamii forums kama kuna mtu mtaalam wa mbolea ya mpunga anisaidie .plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, Baada ya kufuga kuku wa kienyeji sasa nataka kuhamia kwenye kuku wa mayai ila nimeandaa bajeti ifuatavyo kwa ajili ya mradi huu. Nina mpango wa kuanza kufuga...
2 Reactions
15 Replies
11K Views
Katika jambo lolote unalotaka kulifanya, ni muhimu kuweka katika mpangilio unaoeleweka. Yaani ujue mwanzo na mwisho ili unapotoka hatua moja ujue unaenda mbele au nyuma. Hivyo hivyo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kuelezwa ni kijiji gani wanalima mahindi katika mkoa wa Pwani. Asante sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika wanyama upande wa ng'ombe kuna siku tulichinja ng'ombe na baada ya kumchuna ngozi tulimpasua na kumkatakata kugawa nyama, lakini la kushangaza kwenye nyama yake mle ndani ya steki maeneo ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wanaforum. Naombeni msaada nimefuga vifaranga wa kuku wa kienyeji 75 yapata wiki ya pili sasa.Ninawatunza kisasa ndani ya chumba maalumu nikiwapa huduma zote za kuku wa kisasa. Sasa...
1 Reactions
46 Replies
18K Views
Jf salimini. Napenda kuuliza kipi bora kununua kiwanja kwa milioni moja au kununua ng'ombe wa milioni moja?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeikuta leo Muungwana blog
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari wadau. Kama kuna mwenye kufahamu inapopatikana skimu ya umwagiliaji huko Bahi ambako kunalimwa mpunga anijuze tafadhali. Natanguliza shukran.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hivi nikitaka kufuga kuku 1000 wa kizungu na 1000 wakienyej katika jij la dar es salam,, tabata segerea..... Nahitaji. Mtaji kama kias gan ikiwa ni kwa ajili ya kununua kuku ña ķujenga bañďa peķ. Ake
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar Wadau Natarajia kuanza kilimo cha greenhouse naomba kwa wazoefu mniambie mbegu bora zaidi ya kutumia Tylka f1 Nikomate f1 Anna F1 Na nyingine nisizozitaja. Natumai majibu mazuri kutoka kwenu
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wakuu!!! Nina kuku wana umri wa miezi mitatu, ni kuku wa kienyeji kwa muda kama wa wiki moja iliyopita nilianza kuona dalili za kuvimba macho kwa kuku Kufikia leo ndio wamezidi kuvimba...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari zenu humu jamvini,nina mtaji wa shilingi laki Saba ,pia Nina eneo la Eka tatu jirani Na mto wami Morogoro .Baada ya mfumuko wa bei ya mpunga nimehamasika kulima mpunga Aina ya Saro Eka...
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Ni kwa bahati mbaya nilipojaza kifusi ndani ya garden yangu kumekuwa na ndagu nyingi sana. Hizi ndagu inaonekana zililetwa na hicho kifusi.Nimejaribu kuzign'oa lakini bado zipo na zimenikatisha...
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Kwa yoyote aliepo Dar es Salaam na anamiliki shamba sehemu yoyote ile ya Dar na shamba limemshinda kwenye usimamizi Liwe shamba la mifugo Au shamba la mazao yoyote yale Kijana wenu naomba ajira...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari ya majukumu ya kutwa wadau wa kilimo na ufugaji. samahani nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. nina kuku 30 wa miezi 5 na 6. naombeni kujuzwa kuhusu namna ya kuwapimia chakula. je kuku 30...
1 Reactions
14 Replies
15K Views
Habari wana jamii natafuta patna ambae yupo sirious tufanyenae kilimo cha matikiti kwa msimu huu wa masika project ianze mwezi wa 12 /1/2019 itaisha mwezi wanne. Tutalima hekari 6 patna awe na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za wakati huu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ninasumbuliwa sana na wanyama waharibifu hususan ngedere shambani kwangu. Nimetumia mbinu mbalimbali mfano kuwatega mitego, kuwafukuza kwa...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Wakuu naomba kuuliza, hivi hawa kuku wa nyama au broilers hawanaga rangi nyingine zaidi ya weupe kama wa kienyeji? Maana kila nimuonaye ni mweupe au ndo wadhungu ndo wameshindwa kubuni rangi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow wadau wote wa business forum! Naamini watu wengi wapenda mafanikio huwa wanajifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa. Ukitaka kufanikiwa ni vizuri kujichanganya na waliofanikiwa na sio wale...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…