proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,562
- 4,899
Habari wakuu!!!
Nina kuku wana umri wa miezi mitatu, ni kuku wa kienyeji kwa muda kama wa wiki moja iliyopita nilianza kuona dalili za kuvimba macho kwa kuku
Kufikia leo ndio wamezidi kuvimba kiasi kwamba wengine macho yameziba kabisa,
Naomba msaada wa dawa kama kuna anaefahamu na pia ni ugonjwa gai huu kwa mwenye uelewa
Pia nina vifaranga vya wiki tatu navyo vinasinzia na machoni vinatoa vitu kama machozi hivi
Picha nimeambatanisha chini
Nina kuku wana umri wa miezi mitatu, ni kuku wa kienyeji kwa muda kama wa wiki moja iliyopita nilianza kuona dalili za kuvimba macho kwa kuku
Kufikia leo ndio wamezidi kuvimba kiasi kwamba wengine macho yameziba kabisa,
Naomba msaada wa dawa kama kuna anaefahamu na pia ni ugonjwa gai huu kwa mwenye uelewa
Pia nina vifaranga vya wiki tatu navyo vinasinzia na machoni vinatoa vitu kama machozi hivi
Picha nimeambatanisha chini