S/No. | Ng'ombe | Kiwanja |
1. | Maziwa yanakulipa (Ndama na mbolea) | Unalipa kodi, ushuru na tozo n.k |
2. | Wanaongezeka kila mwaka 100% | Kinaongezeka thamani chini ya10% kwa mwaka |
3. | Mtaji usiohitaji uwekezaji mkubwa | Mtaji unohitaji hadi 10times kuuendeleza |
4. | Rafiki wa mazingira & Afya yako | Adui wa mazingira na Afya yako hasa ukipitiwa na bomoa bomoa ndiposa presha, sukari hadi Kansa waweza ipata bila kutegemea |
5. | Haihitaji udalali na utapeli | Huku ndiko walikojaa majizi na matapeli yaliyoidhinishwa |
6. | Unaweza jimwambafy kwa kutengeneza ajira | Unakuwa bogus kwa kudhani kuwa ardhi ni Mali yako kumbe wewe ni wakala tu mwenye Mali ardhi nchi hii ni serikali |
We jamaa tunafanana mawazo hiviChukua shamba mkuranga au msata la Bei Kama ekari moja kwa laki mbili hivi,chenchi itakayobaki week mbuzi ,mbegu ya mapacha,kwa kipindi kifupi tu utakua nao wengi,punguza Kisha nunua ng'ombe,ushauri tu
Haha basi utakua una akili nyingi Sana mkuuWe jamaa tunafanana mawazo hivi
Hii ni kitu naifuatilia kwa sasa maeneo ya Jaribu mpakaniHaha basi utakua una akili nyingi Sana mkuu
Mpakani mkoa gani?Hii ni kitu naifuatilia kwa sasa maeneo ya Jaribu mpakani
Jaribu Mpakani ipo Mkoa wa Pwani, mbele ya Mkuranga na kabla ya kibitiMpakani mkoa gani?
Sawa mkuu,all the best,kwenye nia pana njiaJaribu Mpakani ipo Mkoa wa Pwani, mbele ya Mkuranga na kabla ya kibiti
Asante!Sawa mkuu,all the best,kwenye nia pana njia
Ushauri mzuri saana ILA kuna mimasai inaamini MBUZI wote duniani ni wao.Plz uwe makini ulinzi wa mbuzi unatakiwa uwe mkali kuliko ulinzi wa Ngombe.Hawa wamasai wanarudisha watu nyuma saana juzi kati wamevuna mbuzi 80 wa jama yangu, amebaki anaulizia njia ya kwenda sumbawanga kila sikuChukua shamba mkuranga au msata la Bei Kama ekari moja kwa laki mbili hivi,chenchi itakayobaki week mbuzi ,mbegu ya mapacha,kwa kipindi kifupi tu utakua nao wengi,punguza Kisha nunua ng'ombe,ushauri tu
Hahaha wamang'ati hao ,hatari sanaUshauri mzuri saana ILA kuna mimasai inaamini MBUZI wote duniani ni wao.Plz uwe makini ulinzi wa mbuzi unatakiwa uwe mkali kuliko ulinzi wa Ngombe.Hawa wamasai wanarudisha watu nyuma saana juzi kati wamevuna mbuzi 80 wa jama yangu, amebaki anaulizia njia ya kwenda sumbawanga kila siku
Jamaa wanaweza swaga kuanzia chalinze mpaka rukwa pori kwa pori kwa miguu hahaDaah! kwamba jamaa wanaswaga kama wao hahaha