Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari za jioni wakulima wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza ninahitaji mbegu za Azolla kwa chakula cha Kuku na mm napatikana Korogwe, Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wana jamvi? Samahani naomba kujuzwa gharama ya kuku wa kienyeji mkoani Singida nahitaji wa kufuga anayekaribia kutaga ni shilling ngapi kwa kila kuku mmoja? Na nimaeneo gani/ kijiji gani...
1 Reactions
14 Replies
15K Views
Natumai mko poa Mtakumbuka uzi wangu huu Mvomero: Upatikananaji wa Ardhi na Mazao yanayostawi - JamiiForums Wengi mlinishauri niende pale Halmashauri ya Mvomero. Nilifanya hivyo ila cha ajabu...
4 Reactions
34 Replies
8K Views
Wakuu habari zenu naamini wengi wetu tutakuwa ni wazima na wale wagonjwa tuzidi kuwaombea ili warejee katika hali yao ya kawaida Katika pitapita zangu nmekutana na post moja ikionyesha mchanganuo...
23 Reactions
55 Replies
30K Views
Habarini zenu wapendwa Naomba kupewa msaada na maelezo katika baadhi ya mambo nitakayo yaainisha hapo chini. Kwanza kabisa mimi ni kijana mtafutaji kama wengi wetu tulivyo nilipoenda kijijini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi na wataalamu wa kilimo Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimekuwa na utaratibu wa kuzunguka shamban kwangu mara kwa mara ,,,Leo nimegundua kuna wadudu wa aina mbili ambao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sasa hivi Dar imevamiwa na maparachichi fulani hivi ambayo sio kama yale tulozoea ya Kilimanjaro, Arusha, Bukoba na Mbeya lakini sasa hivi yameingia maparachichi ya tofauti kabisa Haya...
4 Reactions
57 Replies
8K Views
Nafuga kuku, sasa nimegundua kuna kenge anakula mayai ya kuku wangu. Naombeni maujanja ya kumkomesha. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
45 Replies
18K Views
Wakuu tafadhali mwenye uzoefu na masuala ya ufugaji nguruwe wanakaribia miezi 5 lakini bado kasi sio nzuri ya ukuaji kwa waliowaona utahisi wa miezi 3 na nusu tatizo nini. NB naishi maeneo yenywe...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama Bashe mwenye wizara yako upo humu utaniwia radhi kwani hawa wamasai wamezidi dharau. Leo nimemkuta masai anachunga ndani ya shamba huku akipawabembeleza ng'ombe wake kwa miruzi wale shambani...
14 Reactions
95 Replies
14K Views
Nahitaji kuanzisha duka la pembejeo za kilimo elimu yangu ni diploma ya social work Naomba kuuliza je? Eti ni kweli ni lazima nipitie mafunzo mafupi ili kufungua duka la pembejeo za kilimo, Na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Viazi lishe ni aina ya viazi vitamu vyenye mwonekano wa rangi ya njano kwa ndani vikimenywa. Viazi lishe ni biashara mpya katika kilimo biashara ambacho hakijamulikwa vyema na wakulima wetu. Hii...
19 Reactions
111 Replies
52K Views
Tunauza iliki, karafuu na pilipili manga tupo Muheza tanga pia tuna Vanilla safi na bora ipo Bukoba 0786360818 na 0714729550
0 Reactions
5 Replies
1K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU KILIMO HIKI: Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo: 1) Mbegu bora zinapatikana wapi? 2) Zinachukua muda gani kukomaa? 3)...
4 Reactions
152 Replies
136K Views
Maharage ni miongoni mwa nafaka zinazotumika sana Tanzania, tafsri yake soko lake lipo, kuna aina nyingi za maaharage, lakini maharage maarufu na yenye soko ni maharage ya njano, ni mikoa gani na...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Tanganyika ilikuwa eneo la kilimo katika utawala wa Uingereza. Walitangaza uwekezaji katika kilimo na waliopenda kuwekeza iliwapasa kuonyonyesha uwezo wao wa kuiendeleza ardhi kabla ya kupatiwa...
1 Reactions
1 Replies
918 Views
Jifunze Urban Gardening, tumia eneo dogo, rasilimali zinazopatikana kwenye mazingira unayoishi kujipatia mbogamboga, matunda na tiba zisizokuwa na kemikali za viwandani. Tumia mbolea za asili...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Mdau wa kilimo na ufugaji, sisi MDI, tumejitoa kufuatilia tafiti mbalimbali na kuzifanyia kazi, Kisha kuwafundisha wengine. Haya ndo Mambo tunayoshughulika nayo kwa Sasa 1. Kilimo bila udongo...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
MWONGOZO BORA WA KUKU WA MAYAI Utangulizi Kuku wa mayai wanafaida kubwa iwapo utawalea na kuwatunza vizuri. Kwa kawaida kuku anaekaribia kutaga (pullets) wanatakiwa kuwa na mifupa na misuli...
7 Reactions
43 Replies
19K Views
Mwenye kufahamu tiba ya hii kitu asaidie wadau. Huu ni ugonjwa ambao husumbua sana kwenye migomba na baadhi ya miti.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…