Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

On JF:

Wizara ya afya nchini Uganda imesitisha matumizi ya vitamin C katika kutibu virusi vya Covid-19 kutokana na matumizi mabaya ya wagonjwa. Vitamni C ndiyo moja ya dawa zilizokuwa zinatumiwa kWa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi hili bara lina laana gani? Mimi nilidhani Uganda kupata mafuta ndo neema kwa waganda kumbe yanasafirishwa ghafi hadi Ulaya ambapo huko yanaenda kusafishwa kuproccesiwa halaf wanayapaki...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Umoja wa Madaktari nchini Uganda (UMA) wamepinga suala la kulazimisha watumishi wa Afya na raia kupatiwa chanjo ya COVID19 kilazima. Wametahadharisha kuwa yatakapotokea matokeo yoyote serikali...
0 Reactions
4 Replies
44K Views
Marekani imesema inawawekea vikwazo vya viza watu wanaoaminika kuhusika au kushirikia katika kudhoofisha mchakato wa demokrasia nchini Uganda, ikiwemo wakati wa uchaguzi wa Januari na kipindi cha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vya usafiri dhidi ya maafisa wakuu wa serikali ya Uganda ambao wanaaminika kuhusika na njama ya kuhujumu mfumo wa demokrasia nchini Uganda, wakati wa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
The African Development Bank (www.AfDB.org) and the Government of Uganda on Tuesday signed a $229.5 million financing agreement for the first phase of the Kampala-Jinja Expressway Project, which...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Our. Ugandan Neighbor's Prepare Yourself for worst. Your Oil Can Turn Out To Be The Biggest Curse Instead Of Blessings. Beware Of The French and their multinational company by the name TOTAL...
0 Reactions
2 Replies
852 Views
11 April 2021 Entebbe, Uganda H.E Suluhu Samia Hassan, the President of the United Republic of Tanzania made her maiden official visit to Uganda. Suluhu arrived in Uganda this morning for a...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa mara nyingine tena Rais Yoweri Museveni ameishutumu kampuni kubwa ya teknolojia ya mawasiliano Facebook kwa kuwa na upendeleo dhidi ya chama tawala cha Uganda na wafuasi wake. Matandao huo wa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Wabunge wa Uganda wameeleza kupinga zuio dhidi ya uuzaji nje wa mahindi lililowekwa na nchi jirani ya Kenya kwa sababu za “kiusalama”. Spika wa bunge la Uganda Rebecca Kadaga amemwagiza Waziri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais wa Uganda' Yoweri Museveni amesema bado anaangalia ni chanjo ipi atakayochomwa, siku chache baada serikali yake kuanza kutoa chanjo ya Oxford-AstraZeneca kwa wananchi. Tayari marais wengine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu mabibi na mabwana wa hapa jukwaa la Uganda, Napenda kujua gharama ya kununua TVS Bajaj kwa Uganda ni kiasi gani ?
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Kijana wa miaka 32 Anatoli_Kiiza anaiomba kwa mara nyengine serikali yao ya Uganda kujaribu kombora lake alilotengeneza kienyeji. Taarifa inasema Kiiza alikamatwa karibu mara saba kwa ajili ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Uganda imeahirisha uzinduzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ili kuomboleza kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania hayati John Pombe Magufuli, ambaye alitoa mchango...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amempongeza Samia Suluhu Hassan kwa kuwa Rais mpya wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Dkt John Pombe Magufuli...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekituhumu chama cha siasa cha NUP kwa kuhusika na vitendo vya udaganyifu wa wizi wa kura katika zoezi la uchauzi mkuu uliofanyika tarehe 14...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
National Unity Platform (NUP) president Mr Robert Kyagulanyi alias Bobi Wine has been arrested as he led a peaceful demonstration demanding the release of hundreds of his supporters who are...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Vyombo vya usalama nchini Uganda vimethibitisha kuwakamata zaidi ya wafuasi 40 wa chama cha upinzani NUP kwa kushiriki maandamano ya amani yaliyotangazwa na kiongozi wao Robert Kyagulanyi siku ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi wine amewatolea mwito raia nchini Uganda kuandamana kwa amani na bila ya silaha kumpinga rais Yoweri Museveni aliyetawala taifa hilo kwa karibu miongo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom