Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi. Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika...
2 Reactions
15 Replies
696 Views
Habarini wanajukwaa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza...
11 Reactions
95 Replies
4K Views
I am using a MacBook A1708 and have been experiencing an issue with its sleep and power functionality: 1. When I close the lid after using the MacBook for a while and reopen it, the screen...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Hizi router zimekuwa mzigo kubeba, nimemiss kutembea na pocket router inayobebeka mfukoni Mwanzoni nilidhani line imefungiwa kusoma kwenye imei moja tu lakini nimetest kwenye router kama yangu ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Shida yake ni moto tu inajiwasha na kujizima. Muonekano wake ni kama hapo pichani.
4 Reactions
9 Replies
488 Views
Habari makuu,hivi karibuni kuna mradi nilikua najaribu kutengeneza na kukwama katika kipengele cha namna clients wanaweza fanya nalipo...
2 Reactions
6 Replies
323 Views
Simulator Games ni michezo inayolenga kutoa uzoefu wa maisha halisi kupitia mazingira ya kidijitali. Michezo hii inahusisha kuiga shughuli mbalimbali za kila siku au za kitaalamu, kama vile...
21 Reactions
25 Replies
2K Views
Unamiliki app? Unafanyaje monetization? Changamoto gani unakutana nazo na unatatuaje?
2 Reactions
6 Replies
441 Views
Wakuu. Sahivi naona kila kampuni la simu either lina models za ku-flip au ku-fold na kama hazipo sokoni basi wapo mbioni kutoa. Ni trend inayofanya vizuri. Sasa hivi hadi makampuni ambayo uwa...
0 Reactions
5 Replies
591 Views
Habri waungwana, Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na...
0 Reactions
6 Replies
484 Views
Step 1: On the remote press menu, then choose 'Advanced options' then choose 'Dish installation' Step 2: the pin code is 9949 Step 3: You will notice a screen that has Network 1, Network 2...
1 Reactions
56 Replies
46K Views
Feni yangu haizunguki,inapata moto na inaunguruma tu Tatizo ni nn?
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Wakuu! Samsung Galaxy A series ni smartphone kutoka Samsung ambazo zipo za aina mbalimbali kuanzia low end (izi ni za bei ndogo na specifications za chini) hadi za mid rangers ambazo zina...
17 Reactions
36 Replies
5K Views
Nimesikia mara nyingi watu wakisema kwamba Smart TV zinatumia umeme mwingi, na kama ni kweli, why zitumie umeme mwingi, naomba kupewa elimu, asanten[emoji120]
5 Reactions
64 Replies
9K Views
Habari za mchana wana jf poleni na majukumu ya hapa na pale mimi nahitaji msaada kwa mtu mwenye uwezo wa kuremove zile color huwa wanaweka hawa ndugu zetu wauza mikeka wanaosema wana fixed game...
1 Reactions
7 Replies
484 Views
Wakuu hii ni mara ya kwanza kukubaliwa na adsense ishu nataka wale wenye uzoefu waniambie malipo yanapokelewa vipi huku tz Naomba mnijuze
6 Reactions
10 Replies
670 Views
Wakuu mi utata wangu wote hapa nimekwama. Nani mtata wa kulock hii simu. Yaan una lock screen mtu akitaka kuitumia aingize password
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Simu yako inapata Sana Joto !!! Ulikua unatumia simu fresh tu ghafla simu imebadilika na kuanza tabia za ajabu inapata joto sio mchezo 😏, ukitumia kidogo ilo joto lake unaweza sema umechemsha...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilikuwa ninacheki Tv ya kununua, nikashangaa Mewe ni Tv cheap sana. Yani Hisense,LG, TCL inch 55' kariakoo wanauza around 1.2M halafu Mewe yenye sifa hizo hizo wanauza laki 8. Sasa nikajaribu...
11 Reactions
49 Replies
7K Views
Hello guys, Leo nimepita pita kwenye YouTube nikajaribu ku-download video kutumia third-party apps bila mafanikio nimekua nikitumia app kama vmate, freemaker nk ila kwa Leo zimenigomea. Kama Kuna...
0 Reactions
4 Replies
549 Views
Back
Top Bottom