Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

MacBook Vs Windows Laptop – Ni ipi Chaguo Bora kwa Matumizi Yako Katika ulimwengu wa teknolojia, maamuzi ya ununuzi wa laptop ni muhimu sana. Kwa upande mmoja, kuna MacBook zenye utamaduni wa...
3 Reactions
6 Replies
875 Views
naomba msaada sehemu au mahali gani naweza kwenda kubadirisha cover ya Laptop kwa DSM ,Nina changamoto laptop HP imedondoka .
1 Reactions
4 Replies
577 Views
Habari za muda huu wakuu wa JF! Najua hapa JF kuna vichwa vyenye akili kali na ujuzi wa kila aina, lakini leo nimekuja na swali moja nyeti je, kuna mtu humu anayeweza kuhack WiFi? Sio kwamba ni...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari Wakuu, Nimeshawishika sana kuichukua Google pixel 8 pro mpya kutokana na features zake, na Shughuli zangu nnazozifanya naona itanifaa sana, Nahofia kitu kimoja, mwaka jana nlinunua Google...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Website 10 Bora za Kujifunza Digital Skills Mwaka 2025 Katika dunia ya leo, kujifunza ujuzi wa kidigitali si chaguo tena; ni hitaji. Kama unataka kujiendeleza kitaaluma au kuanza safari ya...
1 Reactions
2 Replies
943 Views
MIPANGILIO (SETTINGS)6 HATARISHI UNAYOPASWA KUZIMA KWENYE SIMU YAKO MARA MOJA! Simu yako inaweza kuwa inakufuatilia, inakusikiliza, na hata inakusanya taarifa zako bila wewe kujua! Ili kulinda...
9 Reactions
2 Replies
941 Views
Wakuu, nahitaji letter head. Alie tayari kunitengenezea aje tafadhali
1 Reactions
4 Replies
289 Views
Nina SMART UPS C (APC) Hii ni kama back up ya umeme kama unatumia umeme ukakata kama ukiconnect hii desktop haizimi ni mpya kabisa Tatizo sijajua kuiunganisha ili desktop ichukue moto. Mwenye...
1 Reactions
5 Replies
409 Views
Mwaka 2022 Xiaomi walizindua tablet ambayo inakwenda kwa jina rahisi tu "Redmi Pad" ... yaani Xiaomi Redmi Pad. Ambayo bei yake ni kama shilingi laki nne hivi za kitanzania. Tablet hii inakioo cha...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama...
30 Reactions
5K Replies
396K Views
Wakuu salamu za usiku. Naombe munijuze kuhusu tablet za atoch ambazo naona zimeenea sana. Hasa spidi katika matumizi na uimara pia. Asante
0 Reactions
3 Replies
799 Views
Pia kwa ambae anatumia faili la KANE MASTER anielekeze namna ya kuilipia, najaribu kulipia kupitia Airtel nakwama. Nitangulize shukurani
1 Reactions
27 Replies
996 Views
Natumia simu flan Samsung sasa bana nina tabia ya ku install app mbalimbali. Kurekodi sauti, nk Sasa kuna app moja sijui ni ya Samsung ama nimeiwekaa bana nika ipa permit iwe on.. Simu imenitesa...
2 Reactions
7 Replies
633 Views
Habari wanajamii, naomba kufahamu ni app ipi unaweza kudownload videos na zikahifadhiwa moja kwa moja kwenye sd card.
1 Reactions
11 Replies
849 Views
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini. Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G...
12 Reactions
132 Replies
30K Views
Samahani wadao, naomba kuuliza Nilinunua mifi ya Airtel, sasa kuna kazi nataka kuitumia haiitaji data sana, ile lain iliopo ndani nikaitoa nikaunga bundle la kawaidia GB 1 ila ikakataa kuzitumia...
0 Reactions
1 Replies
377 Views
Issue ya virus kwenye windows inaweza sababisha ukapoteza document muhimu Sana hasa unapokuwa umezihifahi kwenye flash disk yako halafu ukaenda kuprint kwenye hizi stationeries ambazo wengi wao...
0 Reactions
10 Replies
714 Views
Wakuu naomba msaada wa software ya Nitro pro Na APK ya WPS premium Ahsante
0 Reactions
2 Replies
341 Views
Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote; Hamna hela Hamna viewer Hamna comment Hamna faida yeyote Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker. Naambulia kulipia...
22 Reactions
114 Replies
6K Views
Katika dunia ambako wanadamu na mashine waliishi pamoja, mawasiliano yalikuwa changamoto. Watu walizungumza lugha nyingi, huku kompyuta zikielewa tu namba. Hali hii ilileta mgawanyiko mkubwa, na...
1 Reactions
7 Replies
540 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…