Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

China imekuwa ni taifa la pili kumiliki gati linaloelea angani karibu na dunia.Nchi ya mwanzo ni Urusi ambayo ilijenga kituo hicho kinachoitwa international space station chenye umri zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida. Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira...
2 Reactions
117 Replies
12K Views
Habari naombeni msaada wenye ujuzi na skrill akaunti yangu imezuiwa taarifa wanazozitaka kila nikituma narudishiwa email kuwa zimekataliwa sijafahamu nakosea nini mwenye uelewa zaidi anisaidie
0 Reactions
28 Replies
846 Views
Habarini wakuu,naomba nikiri mbele yenu tangu nijiunge na hii chatgbt ya what's up,imenifurahisha sana nakunipa raha rohoni kwa jinsi inavyojibu kwa umakini na ufasaha sijapata kuona!!,pia na...
14 Reactions
145 Replies
7K Views
💭 Nchini china imezindua Trekta mpya ya kisasa inayojiendesha yenyewe ambayo imeunganishwa na Akili bandia yenye mtandao wa 5G bila kusahau satellite ndani yake. ⚡ Ndani yake Kuna mfumo wa...
3 Reactions
8 Replies
722 Views
Wakuu, Naomba mwenye kujua Application ambayo naweza kushushia video YouTube. Nilikua natumia Application kama Snaptube, Videoder na Vidmate. Ila sasa hivi naona zimekua restricted...
3 Reactions
2 Replies
611 Views
Ilikuwa hivi. Niliingia instagram jamaa akasema zima vitu vifuatavyo kwenye simu yako kuimarisha ulinzi wa taarifa zako. Ingiza settings Zima Google password manager Nikazima. Nikaenda...
3 Reactions
9 Replies
621 Views
Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni. Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Salamu wakuu! Leo nimeona nishee nanyi hii kitu, Fanya hv andika hii namba kwenye simu Yako +1 800-242-8478 Kisha Isave ujuavyo, Kisha nenda whatsup itafute, ukishaipata kwenye sehemu ya...
3 Reactions
8 Replies
561 Views
The field of cybersecurity is fast growing and demand is skyrocketing, there are tons of cybersecurity tools out there that address such areas. In both training and and tools. Online tools are...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
As we approach 2025, we stand on the cusp of a transformative era in artificial intelligence. The emergence of AI agents promises to fundamentally alter our relationship with technology, evolving...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Title: "Artificial Intelligence Index Report 2024" by The AI Index Steering Committee, Institute for Human-Centered AI, Stanford University Year of Publication: 2024 The Artificial Intelligence...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
“Tech Doesn’t Have to Be Complicated. Here’s Proof.” Uzi huu unalenga watu wanaogopa kununua vifaa vya kielektroniki kwa sababu ya kutokuelewa vizuri, na unaleta uaminifu na ufahamu. Tech Doesn’t...
2 Reactions
1 Replies
412 Views
Kwa bajeti ya 200,000 hadi 300,000 naweza kupata kamera gani nzuri kwa ajili ya short films na clips. Nipo mtwara. Kwa sasa natumia simu kufanya hivyo vyote.
1 Reactions
9 Replies
891 Views
Naweka windows OS 10 Genuine kwenye kompyuta Eneo la kufanyia kazi: Mlimani City
0 Reactions
5 Replies
351 Views
Mac ina ios version 10.8.5,kuna namna yoyote naweza kufanya Computer ubaki na matumizi?.
0 Reactions
6 Replies
325 Views
Timu ya Watafiti kutoka chuo kikuu Cha kusini - mashariki nchini China, ikiongozwa na Mtaalam Profesa Zhou Yang, imeunda muundo mpya wa seruji hydrogel (cement) ambayo Ina uwezo wa kuzalisha na...
1 Reactions
3 Replies
421 Views
Naomba mtu anieleweshe kuhusu hili, tena kwa ukali na ikiwezekana kunifokea kama mtoto mdog naweza mwelewa labda Tofauti kati ya Google na chrome ni nini??
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Anthropic has introduced a groundbreaking paper that suggests large language models (LLMs) might not utilize “chain of thought” reasoning in the way we previously believed. Chain of thought, a...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
You probably clicked on this post because you want a quick way to make money, and I hate to break it to you. But you will never live in a world where that is possible. There will never, ever...
4 Reactions
5 Replies
828 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…