Sasa si ungefanya kufungua uzi wako badala ya kudandia huu wa Shombe la Kisomali?!🙄Naomba mnisaidie pia jinsi ya kuedit au kubadili avatar natamani sana niweke picha kwenye avatar yangu na kumfata mtu private kupitia private message naomba msaada pia ndugu zangu
Andika @ hii halafu andika jina la huyo member bila kuacha nafasi.
Shombe la Kisomali
Haijakubali.Hebu nijaribu mkuu.
@NAHUJA
Hao ni wazee wakudandia gari kwa mbele hata KWETU WAPO...!!!Sasa si ungefanya kufungua uzi wako badala ya kudandia huu wa Shombe la Kisomali?!🙄
Hureeeeeeeeeeeeeeeee. Somo limeeleweka. umefanya vizuri. hongera sana.
Abeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee