Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari, Naomba msaada wa maarifa kutoka kwa yeyote anayeifahamu huduma ya benki au mobile money inayoruhusu kuweka akiba ya muda maalum (fixed-term saving) kwa mfumo ufuatao: Nijiwekee...
0 Reactions
3 Replies
481 Views
Programu gani unahitaji ya windows OS? Adobe Master Collection 2025 - 30,000 Tsh Microsoft Office Pro Plus 2019 - 20,000 Tsh Activator ya Windows + Office - 20,000 Tsh Nitro PDF Pro 2025 -...
0 Reactions
4 Replies
364 Views
Web 3 ni neno linalotumika kuelezea hatua ya tatu ya maendeleo ya mtandao ambayo inatarajiwa kubadilisha jinsi tunavyotumia intaneti. Ili kuelewa Web 3, hebu tuchukue hatua nyuma kidogo na...
1 Reactions
0 Replies
375 Views
Jaman watanzania nahamasisha muamko katika teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology ) kwa sababu kuna baadh ya nchi za Afrika zimepiga hatua katika hii teknolojia na zinaitumia...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Je umewahi kusikia teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology)??
0 Reactions
2 Replies
284 Views
Teknolojia na Uboreshaji wa Huduma za Afya: Telemedicine na AI Katika dunia ya leo, teknolojia imekuwa na athari kubwa katika sekta ya afya, na mabadiliko haya yameongeza upatikanaji wa huduma za...
2 Reactions
2 Replies
642 Views
Windows 11 OS Genuine Installation - 20,000 Tsh Napatikana: Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145 Kama unahitaji programu za Adobe, Office, Activator za windows OS zipo
1 Reactions
4 Replies
400 Views
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye...
7 Reactions
36 Replies
1K Views
Naombeni ushauri!Nataka kutumia umeme kupikia!Je kifaa hicho kinafaa kwa jiko la umeme?Nina mafundi wawili hapa wanabishana balaa!Ningependa kupata ushauri kutoka kwenu!!
2 Reactions
15 Replies
615 Views
nahitaji kwenda kununua usb type c cable ya kuchaji simu, naombeni ushauri wenu
1 Reactions
13 Replies
698 Views
Tanzania imepiga hatua kubwa sana kwenye digital payments. Kuna makampuni mengi sasa yanatoa huduma za malipo ya kidigitali, API integration, na hata disbursement kwa makampuni na wajasiriamali...
0 Reactions
2 Replies
392 Views
Habari ndugu Wana JF ,nilinunua simu yangu ya pixel 5A na Jana ikafa machine kwaiyoo nataka kuwauzia kioo ch Google pixel 5A kwa sh 230,000
4 Reactions
25 Replies
1K Views
HABARI WAKUU NAOMBA MSAADA WA KUFUNGUA TWITTER KILA NIKIFUNGUA INALETA NI VERIFYING ILA NIKIJALIBU HAIKUBALI SHIDA NINI WAKUU HAPO?
0 Reactions
1 Replies
352 Views
UVUJAJI MKUBWA WA NYWILA ZAIDI YA BILIONI 16: CHUKUA HATUA SASA KABLA HUJADUKULIWA Na MalekoGJ Juni 2025 Katika tukio linalotajwa kuwa mojawapo ya uvujaji mkubwa kabisa wa taarifa katika historia...
1 Reactions
4 Replies
499 Views
Je, Laptop Inaweza Kutumiwa Hata Ikiwa Imezimwa? Fahamu Ukweli wa Kushtua Kuhusu Intel AMT na Jinsi ya Kujilinda Jibu rahisi ni ndyo ?? Sounds like sci-fi? Itโ€™s not. Itโ€™s real, itโ€™s dangerous...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Windows OS + MS Office Activator - 20,000 Tsh, jipatie activator ya Windows OS 7, 8, 10, 11. Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Adobe Master Collection 2025 -...
1 Reactions
4 Replies
471 Views
Microsoft Office 2019 Pro Plus kwa ajili ya windows OS kwa bei ya 20,000 Tsh, unapewa leseni ya milele hakuna malipo ya mwaka. Napatikana: Mkoa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kama...
2 Reactions
2 Replies
354 Views
Adobe Master Collection 2025- 30,000 Tsh Napatikana: mkoa wa Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145
2 Reactions
8 Replies
391 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ