HABARI YAKO.
Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini.
Kwa...
Baada ya miaka 40 hatimaye kampuni ya Microsoft imesema Goodbye to bluescreen of death โ ๏ธ, Microsoft imesema imeweza kutambulisha kipengele kipya kinaitwa Black screen of death.
Kwaiyo kuanzia...
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini?
Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
Wadau wa technology.
Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa.
Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za...
Leo nakuambia njia salama za kuwezesha kuhamisha message zilizopo kwenye simu moja kwenda nyingine bila ku forward!!.
Inawezekana umenunua simu mpya na unataka kuhamisha message zako Toka simu...
Salaam Members.
Nipo mbali na home kwa sasa nikijaribu kutafuta grease ya maisha, sasa mimi hua siyo mtu wa kuingiliana na watu au kupiga story sana isipokuwa kupeana salamu inapobidi kwa...
Hbr wadau,
Kwa anaefahamu namna ya kutumia luku ya jirani kuweka umeme naomba anijuze. Hizi luku mpya portable za TANESCO zinaruhusu hiyo kitu, kwa anaefahamu anisaidie
Ahsante
Kazi gani unayo (Software issues) unahitaji msaada? Nikusaidie.
blog issues
website issues
softwares issues (Windows 10,11)
social media management
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es...
Mimi nimekulia kwenye simu zile za kukoroga kama unapiga hendeli
Hizi simu za smart sizijui sana.
Simu yangu haliishi lisaa inaniambia kuna junk files nizifute
Nikiangalia unakuta junk zinakuwa...
Unahitaji nini usaidiwe kwenye IT industry? Software, website,blog, ads, email na n.k
Karibu usaidiwe unachotaka kwenye IT kama maswali utajibiwa
Mawasiliano:0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
There are many ways to create videos for YouTube. The favorites ones include using a Flip camera or recording a PowerPoint presentation using Camtasia screen capture software. But there are many...
USINUNUE LAPTOP MPYA KABLA HUJASOMA HII MAKALA MWONGOZO WA 2025 KWA KINA
Kununua laptop si tu suala la bei au jina kubwa. Ni uwekezaji. Na kama ilivyo kwa uwekezaji wowote โ unahitaji maarifa...
Katika dunia ya leo ya kidigitali, social proof ni kila kitu. Watu wanataka kuonekana wanafuatiliwa, na biashara nyingi zinahitaji followers ili kuwashawishi wateja wao. Hii ndiyo sababu kuu...
Kila mfanyabiashara ana ndoto ya kuona mauzo yakifumuka hadi target aliyowekaโโโiwe ni kuuza bidhaa 100 kwa wiki au kufikisha milioni 10 kwa mwezi. Lakini ukweli ni kwamba wengi hushindwa sio kwa...
Windows App Nitro PDF Pro 2025 - 20,000 Tsh.
Programu ya kuedit, kutengeneza na kazi zingine za PDF faili.
Napatikana: Dar es salaam, Mbezi.
Mawasiliano: 0756704145
Matumizi ya akili mnemba yaani artificial intelligence (AI) yakiendelea kukua kwa kasi binafsi nadhani ni wakati sahihi mtandao wa jamii forum kuwa na AI yake kama ilivyo kwa grok ya X(zamani...
Wakuu habari,
Naomba msaada wa maarifa kutoka kwa yeyote anayeifahamu huduma ya benki au mobile money inayoruhusu kuweka akiba ya muda maalum (fixed-term saving) kwa mfumo ufuatao:
Nijiwekee...