Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nilihitaji nifute ID ya Internet Money(ambayo natumia) , ila sijaweza. Au kama naweza kupata usaidizi jinsi ya kubadilisha ID
1 Reactions
5 Replies
284 Views
CHATGPT Bingwa wa AI !!!! ๐Ÿ’ญ Je Unapenda kubadilisha Picha yako kuwa kwenye muundo wa Katuni ?? Wengi wanakuambia nitatumia sijui adobe Photoshop? Cartoon maker ?? Hapana ๐Ÿ‘Ž๐Ÿพ, unaweza...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza, China imeandaa mechi ya soka inayochezwa na roboti wa umbo la binadamu (humanoid robots) wanaojiendesha kikamilifu kwa kutumia akili bandia (AI), bila msaada wa binadamu wakati...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Habarini wadau naomba support yenu kufollow our insta Account ๐Ÿ™๐Ÿพ hapo kwenye picha AU Bonyeza link hii kuingia https://www.instagram.com/7spares?igsh=bWx5dDB5c3BqazU5 Nashukuru kwa Mda wenu...
1 Reactions
2 Replies
220 Views
๐Ÿ’ป Nilianza na simu yangu. Sio laptop. Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube. Nilitengeneza web pages ndogo ndogo...
5 Reactions
12 Replies
814 Views
Wapenzi wa Movie Kuna movie ya zamani Sana Tom Cruise kijana mdogo inaitwa The Color of money,. Story,Kuna mzee ujana wake alikua fundi Sana wa kucheza Pool table alikua maarufu na ndoto yake aje...
30 Reactions
61 Replies
4K Views
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network. Na ubaya...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Welcome all to PayPal withdrawal help. Inbox me asap.
2 Reactions
5 Replies
457 Views
Kila mtu ana maarifa kwa asili yake na kwa maisha yake mwenyewe , ila siyo kila mtu atakuthamini kutokana na maarifa uliyo nayo, mtu/watu wa/ajuaye kuhusu uzito,upana na undani wa maarifa yako...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Najua watu wengi tumeutizama mzigo wa squid game unaelewa jinsi ulivyo wa kibabe au Kuna MTU wa kupinga [emoji6]!! Sasa Netflix wamekuja kivinge kabisa ile series Yao ya ๐’๐ช๐ฎ๐ข๐ ๐†๐š๐ฆ๐ž wameamua...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
1/ Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kiteknolojia, tunahitaji kujadili kwa kina: Ni chuo gani nchini Tanzania kinachofanya vizuri zaidi katika kufundisha IT kwa vitendo na kuzalisha vijana...
2 Reactions
83 Replies
4K Views
HABARI WADAU, Kichwa kinajieleza, nimejaribu kutafiti nikabaini Google inc ambao ndio wamiliki wa Android wameblock whatsapp na Youtube kwenye Android 7 kushuka chini, japokuwa whatsapp wenyewe...
1 Reactions
8 Replies
786 Views
Siku hizi kwenye mabenki, mashirika, apps, kusajili line, n.k. wanahitaji kupiga picha ya vidole kwa kamera badala ya kugandamiza kidole kwenye kifaa cha biometric. Hili linaibua wasiwasi mkubwa...
0 Reactions
8 Replies
631 Views
Kichwa cha thread cha husika,natafuta site isiyo ya kulipia,itakayokuwa inaniwezesha kubadili still picture kuwa AI Video.Natanguliza shukrani
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati nime create social media chat app link hapo chini kujaribu https://six-app-3789b.web.app Mods msifute uzi wangu huu
2 Reactions
6 Replies
384 Views
Laptop Yako Inaweza Kuibiwa Bila Kuguswa โ€“ Ukweli wa Remote Access Unaofichwa na Wataalamu" By ITS MALEKOGJ Je, umewahi kujiuliza kama kuna mtu anaweza kutumia laptop yako bila wewe kujua? Je...
3 Reactions
1 Replies
429 Views
Hello wanajukwaa natumai ni wazima wa afya! Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya...
41 Reactions
7K Replies
817K Views
Nataka kuingia ESS portal ila Kila nikilog in Kuna Ujumbe ukakuja kuwa check your internet connection hali ya kuwa nipo online na GB za kutosha.. Unahidi itakuwa ni noni tatizo mdau..,?
0 Reactions
3 Replies
172 Views
Wakuu msaada ,simu aina ya samsung s21 imetoa mistari kwenye kioo
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ