naomba mnielekeze jinsi ya kuondoa facebook preload video, yaani inakula mb balaa kwenye setting nimeondoa play automatically ila ata ukizima data video nyingi unaweza kuzi play at least for 12...
Nimepata changamoto App ya Instagram haifunguki.
1.Nimejaribu kuingia kwenye settings na kuclear cache still ni vilevile.
2.Nikatoa App na kuinstall tena bado vilevile.
3.Nikazima simu na...
Apple inawaelekeza watumiaji wa vifaa vyake kusasisha programu zao baada ya kampuni hiyo kugundua udhaifu katika mifumo yake ya uendeshaji ambayo inayoweza kuhatarisha usalama wa kifaa husika...
Habari wakuu, kuna dogo anataka kuanza biashara ya kusajili line zote za simu kwa alama za vidole na kuuza line za simu.
Amesema kuna mtu alimwambia anatakiwa awe na mashine ambayo ipo kama simu...
Niliiingia chaka nikajiunga na maximalipo kwa kununua machine yao na ku deposit 500000.
Muda si mrefu kampuni imefilisika, hawapokei simu na wala sijui namna ya kupata pesa yangu. Wiki iliyopita...
Heshima kwenu wakuu.
Naomba kujua jinsi ya kutengeneza video ya Lyrics kama hii hapa chini unatumia program au app gani wakuu? Natanguliza shukran zangu kwenu.
Entrepreneur na mwanafunzi wa chuo kimoja Dar ninampango wa kununua camera kwa ajili ya kufanyia biashara ya upigaji picha kwa matukio kadhaa sitakua na studio kwa sababu biashara hii ni ndogo...
Natumia smartphone yenye technology ya 15W fast charging, techie hii inasapoti kuchaji simu ijae ndani ya dakika 20, nafikiri inasapoti mpaka chini ya hapo.
Nitajieni wadau, nimechoka kuchaji...
Habarini wadau!
Naomba maujanja kuna data ziko disk ila hiyo disk haiwezi funguka mpaka uifomart kwanza! Nawezaje kuokoa data zangu ziwe salama salmini?
Wadau nisipoteze muda wenu, nauliza nje ya mkoa wa Dar Es Salaam ni mtandao wa kampuni ipi ya intaneti/simu ambao naweza kutumia kuangalia netflix au huduma za streaming kwenye smart tv hasa tulio...
Salaam wakongwe ni laptop gani ambayo ni nzuri kwa coders na programmers na kwa bei nafuu?
Na swali lingine ni kwamba naweza pata kwa range ya ngapi?
Natanguliza shukrani
Wakuu kwema?
Aisee natafuta mtu anayeifahamu laravel vizuri kabisa hasa ORM.
Kuna kazi nataka tushirikiane naye malipo yapo.
NOTE: KAZI TUTAFANYA WOTE KWA KUSHIRIKIANA KWA UKARIBU ZAIDI PIA...
Ndugu habari,
Hivi ni nini kifanyike kwa wale wotee wenye tabia ya ku hack account za watu?
Unakuta mtu ana acount yake kapambana sana kupata follwers wake lakini li mtu linakuna from nowhere...
Habari wakuu
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ..hivi huwa inasababishwa na nn ukiwa unangalia TV wakati mvua inanyesha signal hukata kabisa? Ndiyo kusema ufumbunzi wake haujawahi kupatkana...
Kwa wanaotumia mac book pro pc..
Uki install window seven by (dual boot interface and NOT Boot camp) and thereafter all coresponding drivers get installed (found in original mac os x cd)...
Vijana hivi sasa wanakua katika ulimwengu wa kidigitali ambapo Ujuzi na Uzoefu katika Masuala ya Digitali ni muhimu hususan katika Ajira
Hata hivyo, Mafunzo katika Nchi mbalimbali za Uchumi wa...