Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello wana JF, nina shida kidogo na simu yangu BB Curve 8520, ninatumia browser ambayo ipo kwenye simu yangu inafanya kazi vizuri tu... lakini siwezi ku log in kwenye jamii forums inakuwa inakataa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kuna blog nimefungua , iko fresh, jana ktk kucheza cheza kwny web zingine nikakuta 100% Free Hit Counters for Your Website. 100's of Styles to fit your Site. Keep track of your sites page hits...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu? Naomba mwenye kufahamu site yenye material mazuri zaidi ya J2ME, Java Swing Package, Android technology and Ruby on Rails.. Material hayo: Yawe ya aina yoyote video, audio...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Africa ready for new Internet address regime Scrolling through functions of a smart phone. Photo/REUTERS By MICHAEL OUMA Posted Monday, March 14 2011 at 00:00 THE EAST AFRICAN The...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Wakuu naomba kwa yeyote aliyewahi kutumia professional antivirus software na free antivirus software (mfano avast) kwa nyakati tofauti, je kuna utofauti mkubwa sana kati ya hizo mbili kwenye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu.Mi na2mia dell d620 yenye windows 7prof.niliyonunua kupitia humo ndani.Lap hiyo ina tatizo upande wa administrator desktop icons zote zimekuwa overshadowed by window...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ninahitaji TV aina ya Sony Bravia LED TV 32" new model ambayo unaweza watch events mbili kwa wakati mmoja make ya Malyasia kwa NRB ni Ks.32,000.00 eqt to Tsh.600,000.00, nikifatilia bei za Dar ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waungwana salam! Mimi ni kijana mwenye elimu ya darasa la saba nipo Dar. Napenda TEKNOHAMA (Teknolojia ya habari na mawasiliano) kiasi nimeweza kujifundisha kutumia kompyuta si haba! kwa msaada wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii forum. Nina tatizo la sauti katika dell Inspiron 6000 hili limekuja baada ya kuachana na Window XP na kuanza kutumia Window 7. Nimejaribu kadri ya uwezo wangu imeshindikana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau natumia startimes tv ya flat, sasa kwa upande wa kulia juu, kwa siku hizi kunajitokeza kisanduku cha barua ambacho kuna ujumbe nimetumiwa natakiwa kuusoma, nimejaribu kukifungua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Biashara ya matangazo kwa njia ya mtandao imetoka mbali na mara nyingi imebadilika kutokana na watu kuja na njia bora zaidi za kutangaza , vifaa vya kuangalilia kurasa za mitandao kama simu za...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakubwa habari za kazi, wakubwa internet inamaliza mkwanja wngu,hakuna njia ambayo mtu unaweza kupata line ambazo zimechakachuliwa jamani? Mimi natumia ya airtel na natumia simu yangu kama...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Jamani naombeni anti virus kwnye simu yangu ambayo ni nokia 6300.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanandugu nimesikia kuna hii kitu inaitwa spyware for mobile phones i.e. is software that you install on a cell phone that will give you access to that cell phones data including reading text...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf Ningependa kufahamishwa nikozi gani nzuri ya computer ambayo ni rahisi kupata ajira
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Sam Exclusive utajua ni mtiririko wa post zinazohusu teknolojia hapa bongo. Sakata la Mvulana wa Apple na baba wa Microsoft, anyway ni somekind of comedy. Video hii hapa Microsoft man VS Apple...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii! Wajameni mie ninatatizo moja kuhusu simu yangu aina ya Nokia N91 4GB, Yenyewe wakati wakuiflash fundi ikamshinda akadai katika IMEI number digit ya mwisho inaweka alama ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi Tigo walinitumia message ya jinsi ya kujiunga na package ya intaneti ya STANDARD WEEk kupitia simu yangu yenye uwezo wa kujiunga na mtandao wao wa 3G kwa shilingi 4500 kwa wiki. Unatakiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo, nimelazimika kuacha kutumia gari langu binafsi kwasasa natumia daladala tuu. Nasikia kwamba gari usipoitumia mda mrefu injini huaribika sijabahatika kupata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Naomba kwa yeyote anayejua anisaidie jinsi ya kufichua mafaili yaliyo fichwa katika flash, nina flash yangu ambayo baadhi ya mafaili hasa ya miziki hayaonekani kwenye computer lakini huonekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…