Kutumia window 7 siyo tatizo, hata mimi natumia same window and am using both voda/airtel modems.
Labda ungeenda ofisi za voda they could be of assistance.
kwa hakika kama ingekua ni modem ya airtel ungepata ufafanuzi mara moja,unaonaje kesho ukaenda kununua modem ya airtel ambapo pia utapata na ofa ya 3gb bure kabisa na pia utaweza kuitumia modem hiyo kama flash disk...bei ni rahisi tu 60000
Mkuu ofc ya voda ndiyo wameniambia kuwa ni kwa sababu natumia windows 7, nikaamua ku-appeal kwenu wataalam wa IT.
Mkuu ofc ya voda ndiyo wameniambia kuwa ni kwa sababu natumia windows 7, nikaamua ku-appeal kwenu wataalam wa IT.
sio kweli kuwa sababu ni window7,jaribu kuangalia kama hiyo line umeiweka vizuri kama ipo sawa basi nenda ofc nyingine ya vodacom coz hao uliowakuta hapo mwanzo hawajui kitu ni magumashi tu
kwa hakika kama ingekua ni modem ya airtel ungepata ufafanuzi mara moja,unaonaje kesho ukaenda kununua modem ya airtel ambapo pia utapata na ofa ya 3gb bure kabisa na pia utaweza kuitumia modem hiyo kama flash disk...bei ni rahisi tu 60000
kwa hakika kama ingekua ni modem ya airtel ungepata ufafanuzi mara moja,unaonaje kesho ukaenda kununua modem ya airtel ambapo pia utapata na ofa ya 3gb bure kabisa na pia utaweza kuitumia modem hiyo kama flash disk...bei ni rahisi tu 60000