Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi...
Mchezaj wa kimataifa wa Yanga mwenye asili ya kiangola amevunja mkataba wake na yanga na kuelekea kwao angola sababu hazijaeleweka ila chini ya kapet ni kuwa maisha ya utopoloni yamemshinda...
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka...
Kiungo Mukoko pasi na Shaka ndiye kiungo mkabaji Bora kwa msimu huu vpl.Ni kiungo anaye cover uwanja kwa eneo kubwa bila kuchoka na kuendesha timu ,no viungo wachache wana calibre hio Kama Ngolo...
Katika mpira wa miguu ambao uwa unasimamiwa na Sheria mbalimbali ambazo zinazotolewa na FIFA, kuna baadhi ya Sheria zimeondolewa.
Ukiwa kama mpenda soka je Sheria gani unaikumbuka Sana ambayo...
1. Nidhamu mbovu ya Wachezaji Watatu Lamine Moro, Metacha Mnata na Michael Sarpong huku wengine wakipigana, kurogana hadharani na hata kutukanana.
2. Tabia mbaya ya Usodoma na Ugomola aliyonayo...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Jumamosi Mei 29, 2021 ambapo Namungo FC wakiwa dimba lao la nyumbani kuwakabili Mabingwa Watetezi Mnyama Mkali...
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ambaye alishinda kwa KO dhidi ya Bondia Antonio Mayala wa #Angola pambano lililofanyika Mei 28, 2021
Mwakinyo amesema kwa mara ya kwanza angeweza kugoma kwa...
Kuna mambo yanashangaza sana kwenye michezo hususani soka letu la Bongo. Jana tarehe 30 Mei, 2021 ndio ilikuwa fainali ya ligi ya daraja la kwanza kati ya Mbeya Kwanza dhidi ya Geita Gold. Pamoja...
Huku tukiendelea kutafakari Nkataba wa Azam tupate inputs mbali mbali ufuatao ni mgawanyo wa fedha kwa epl 2019/20
Bingwa yaani liver pool alipata euro milioni 174 sawa na bilioni 573 za madafu...
Hii ni hatare kwa soka letu
Jana F. Minziro akiwa anampa mkono raisi wa TFF akaukwepa
Mna shida gani jamani?
Je mnaweza ondoa hizi tofauti zenu kuokoa soka la Tanzania
Hili jambo limesikitisha...
Nimerejea tena kuitazama post yangu ya tarehe 2 June mwaka huu. Niliipa kichwa cha habari, "PEP GUADIOLA NI KOCHA WA KAWAIDAA MNOOO".
nilitoa mtazamo wangu kuhusu hyu kocha uchwara anae...
Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno.
Tupia utabiri wako hapa.
Utabiri wangu.
Chelsea 0 vs Man City 3
Either Players to...
Rais wa TFF Walace Karia akikataa kumpa mkono Coach Fred Ferix Minziro baada ya kutangazwa kuwa kocha Bora wa ligi Daraja la kwanza baada ya timu yake kuwa Mabingwa wa fainal ya ligi daraja kwanza...
Nijambo la kuvunja moyo kuona kiongozi mkubwa sana wa ngazi za juu wa soka anayafanya haya.
Rais wa TFF WALLACE Karia amefanya ubaguzi wa kisiasa za simba na yanga tena wa kijinga.
Tazameni...
Chelsea hii ya kuwaanzisha Reece James na Azipilicueta waanze pamoja (no creativity)? Chelsea hii ya kutuaminisha kuwa Timo Werner ni mchezaji mzuri wakati ligi inaonekana imemshinda? Chelsea hii...
GEITA GOLD MABINGWA WA LIGI SOKA DARAJA LA KWANZA...
Klabu ya Geita Gold ya mkoani Geita imefanikiwa kuutwaa ubingwa wa ligi soka daraja la kwanza Tanzania bara baada ya kuichapa Mbeya Kwanza bao...
Hizi ndo timu ambazo zimebeba UEFA CL toka mashindano yalipoanzishwa mwaka 1955 ambapo wakati huo mashindano haya yakijulikana kama European Cup mpaka mwaka 1992 yakabadilishwa jina na kuitwa UEFA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.