Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.
Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal...
Habari!
Naona wahujumu wa watani (Wamatopeni) wanaendelea kuwahujumu hadi mechi za kirafiki.
Leo tena kile kikosi wanachoamini ni kipana yaani hata waliokuwa Sub ukiwaweka uwanjani wanaaminiwa...
Mimi nahis bado serikali yetu haijaweka kipaumbele katika michezo kama inavyoweka kweny masuala mengine, na kama kungekua kuna kipaumbele sana katika michezo Tunisia ilikua ni ya kuifunga 2 kwa 0.
Tunafahamu Dismas Ten ni moja wa maofisa ndani ya klabu ya Yanga. Kimsingi anaitambua mipaka yake nje na ndani ya ofisi
:
Yanga SC ni mshindani wa Simba SC kimasoko. Kila mmoja ana wajibu wa...
Wakuu habari ya Muda huu na poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Nije moja kwa moja kwenye mada. Nahitaji kusaidiwa sample ya katiba ya timu yeyote ya mpira wa miguu .Anayeweza kunisaidia ndugu...
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile...
Ili kutusahaulisha na ile bil 20 iliyoahidiwa bila kuletwa na anayewapa hela ya kula, basi wanaamua tu kutuzuga na dhuluma za usajili kwa kuitegemea TFF ambayo imejaa wana simba.
Hivi baada ya...
Nitoe pongezi kwa wadau wa masumbwi nchini kwa kuendelea kutupa furaha tena sisi wapenda masumbwi nchini. Kwa kipindi fulani unaweza kudhani kua mchezo wa masumbwi kama vile ulikua umesahaulika...
Bondia Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz wa Argentina Next door arena leo
Mataifa sita, mapambano manne, ulingo mmoja
Bondia Jose Carlos Paz ana rekodi ya kupanda ulingoni mara 35, ameshinda...
"Kwa jinsi ninavyocheza kama nikibahatika Kucheza pamoja na Wachezaji kama Chama, Mkude, Morisson, Dilunga, Miquissone, Morisson na Kipa bora Tanzania Manula Kazi yangu itakuwa nzuri na rahisi...
Hakuna ubishi jana tumeionyesha Afrika na Dunia kuwa sisi soka bado saana. Mambo machache niliyoyaona mimi kweny emchezo wa jana na ambayo yamekuwa yakijirudia rudia:
1. Wachezaji hawana kabisa...
Dar es Salaam. Rais wa chama cha ngumi za kulipwa cha WBF Howard Goldberg atawasili nchini Jumatano kwa ajili ya usimamizi wa pambano ubingwa wa mabara super-welterweight kati ya bondia Hassan...
Mwakinyo wewe ni mtu imara sana nimeielewa kazi yako kweli una uchu wa mafanikio nguvu unayo ya kutosha
Wanaotaka kila siku mapambano wa wewe wakuwekee mapesa ya kutosha ndio upambane...
Senzo yupo ndani kwa tuhuma za kuhujumu simba
Inasemekana alipeleka pesa kwa wachezaji wa simba ili wapoteze mechi dhidi ya prison.
Ikibainika ni hivyo itahesabiwa ni upangaji wa matokeo na...
Nimeshangaa kumbe timu yetu ya wanawake under 17 wamechukua ubingwa wa COSAFA na hii habari
Haina hata buzz yoyote..why?
Wasouth Africa wanaipamba Sana timu Yao ya wakubwa imechukua ubingwa...
*
MUKOKO
Mechi 4
goli 1
Assist 0
Dube
Mechi nne
Goli 3
Assist 3
MESHACK WA GWAMBINA
Mechi : 4
Goal : 4
Assist : 2
Mchezaji Bora MUKOKO
Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata...
Form is a temporal class is permanent. Mpira wanaocheza timu ya taifa kipindi hiki ni mzuri sana mapungufu ni kidogo tu tulikuwa tunalaumu washambuliaji kuto kufunga lakin jana tatizo limeonekana...
Habari!
Timu ya Taifa bado hali ni tete na itaendelea kuwa tete kila kuchika.
Huu U-Simba na Yanga unadumaza sana timu ya taifa isisonge mbele na kunajikuta tunarudi nyuma kila siku.
Kocha ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.