Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Paul Kagame
0 Reactions
2 Replies
155 Views
“The Trump administration kept looking at a combination of three matters that needed to be addressed. The political, the security, and the economic while in some other people's minds it was just...
0 Reactions
1 Replies
293 Views
Mwanamke akifua nguo za mmewe au mpenzi wake, akikuta hela, anakausha,kama hakijatokea kitu. Acha akute Condom sasa! Anacharuka kama si yeye. Kwenu wanawake, Si na kwenye hela basi iwe inakuwa...
0 Reactions
1 Replies
127 Views
Washington, DC – 27 June 2025 Secretary of State Marco Rubio, Minister Thérèse Kayikwamba Wagner of DRC, Chairperson of the African Union Commission, Mahmoud Ali Youssouf, Minister of State...
0 Reactions
1 Replies
317 Views
Najua wapo watakaouguswa na kuchagua wao wa muda furani . Mi sidai chochote, ila ukipenda tu, changia mfuko japo mmoja saruji, maana mwisho wa siku ni kama unavyoona hapa chini:
0 Reactions
1 Replies
176 Views
Siku ya leo, wanajeshi 576 wa SADC,waliokuwa wamebaki nchini DRC, mission ya SAMIDRC, wameondoka na kuelekea Tanzania, ambapo watapandia ndege kurudishwa makwao. Zimebaki tu silaha nzito, ambazo...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Nyumba zipatazo 1,400(Elfu moja mia nne), zimeanza kuvunjwa, kwa amri ya uongozi wa jiiji la Kigali. Nyumba hizi zinazovunjwa, inasemekana zilijengwa pasipo kufuata taratibu. Cha kushanhaza...
0 Reactions
4 Replies
259 Views
Baada ya ripoti kutoka ngazi za chini hadi ngazi za wilaya nchini Rwanda, kuonyesha kila kitu kipo sawa, kwa sasa vyombo vya habari vinaendelea kufichua mengi. Pichani, ni watoto wa chekechea...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Pichanini tangazo kutoka account ya wizara ulinzi ya Rwanda, ikikanusha taarifa zilizosambazwa, zikionyesha wizara hiyo imeweka wazi hali ya sasa ya rais wa Rwanda.
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Wizara ya afya nchini Rwanda, inasisitiza wanaume na wao kujitokeza kupata huduma za uzazi wa mpango. Ambapo njia inayopendelewa kwa wanaume hao, ni ya kuziba mirija ya mbegu za kiume. Hii...
2 Reactions
1 Replies
230 Views
Ni badhi ya wanachuo waliohitimu December 2024. Walisema, baada ya MOUNT KENYA kubadilishiwa jina na kuitwa MOUNT KIGALI UNIVERSITY, kuna wanachuo walijikuta transcript zao zikionyesha miaka...
0 Reactions
1 Replies
179 Views
Katibu katika Wizara ya Afya nchini Rwanda, Dk. Yvan Butera, alitangaza kwamba mtu mmoja kati ya watano nchini Rwanda amepata tatizo la afya ya akili. Matatizo yaliyoenea zaidi kati ya haya ni...
0 Reactions
1 Replies
184 Views
Siku Baada ya Kifo: Siku ya 3: Kucha huanza kudondoka. Siku ya 4: Nywele huanza kuoza. Siku ya 5: Ubongo huyeyuka kwa kasi. Siku ya 6: Tumbo huchuruzika kutoka mdomoni na sehemu za siri. Siku ya...
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Nchini Rwanda, watumiaji wa maji walioshindwa kulipa Bill zao, kuanzia sasa kuwekwa katika mfumo wa CRB. Mfumo huu, huwazuia watu kupata huduma mbali mbali, maana kila inapoingizwa namba yako ya...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Alisimulia akasema: Nilikuwa nimeoa, na mke wangu alikuwa mfupi wa kimo na mwenye mwili dhaifu ukinilinganisha na mimi… Mimi nilikuwa na urefu mkubwa na misuli mingi… Mwenyezi Mungu alinitunuku...
1 Reactions
1 Replies
237 Views
Hayo ni maneno ya General Maphwanya, mkuu wa jeshi la Afrika kusini. Aliesema vita vya DRC huenda vikapanuka na kuwa vya ukanda, aliona mbali. Je, atafanikiwa kweli? Taarifa zenyewe husema hii...
0 Reactions
2 Replies
234 Views
Kwa kichapo inachoendelea kupata Israel, ni wazi biashara na mataifa mbali mbali hazina priority. Inavoonekana, Israel haikutegemea itafumuliwa kwa kiasi tunachokiona. Watu wasio na makazi,miundo...
0 Reactions
1 Replies
132 Views
Back
Top Bottom