Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Kwa mjibu wa ujumbe huu, waalimu wanalazimishwa kufungua account kwenye SACCOS ya Mwalimu. Wao, hutumia Banks nyingine za kibiashara, kutokana na faida wanazozipata, ikiwemo mikopo ya kuweza...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
1. Mi nakumbuka kipindi shule imelima mahindi, baada ya kuiva, tukawa tunaingia katikati, tunaiba tunaenda kuchoma. Siku moja mida kama ya saa tano usiku, walinzi wakawakamata jama wa4...
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Ikiwa Burundi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu, siku zisizofikia hata wiki, ndo orodha ya wagombea, chama chao na makabila yanawekwa wazi. Ikumbukwe, vyama vya upinzani, vilikataliwa kwa kinachoitwa...
0 Reactions
2 Replies
281 Views
Maswali: -Je, linazama lote hili? -Je, baada ya hapo, linaombwa hela na lenyewe?
0 Reactions
1 Replies
209 Views
Zimebaki siku chache sana kuelekea uchaguzi mkuu wa wabunge na rais nchini Burundi, ambapo ni tarehe 5 juni 2025. Mpaka sasa, kila kona ya nchi, kutokana na hali ya usalama, na hofu kutokana na...
0 Reactions
3 Replies
415 Views
Asema mtoto wake, mwenye umri wa miaka mitatu. mpaka sasa ana tatizo la viungo vya mwili, ikiwemo mifupa kutokomaa. Toka anaanza kula, amekuwa akitumia mpira. Kwa maelezo yake, ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
195 Views
Mu gihugu gituranyi cya Tanzania, Banki imwe yitwa CRDB iravugwaho kugaragaza amakuru ya konti y’umukuru wa Polisi, IGP Wambura. Ese ni banki koko, ni abayinjiriye, iwacu byagenda bite!?
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Mwamba akabiliwa na shitaka la kumnyanyasa mkewe kijinsia, kwa kilichotasiliwa kama mumpiga na kumuumiza mkewe kisa kunyimwa haki yake ya ndoa. Baada ya kukaa ndani kwa muda wa wiki mbili sasa...
0 Reactions
1 Replies
175 Views
Bado tu mamia na mamia ya malori yanaendelea kusomba vitu kutoka Goma. Inaonekana SADC,hasa Afrika kusini walijiandaa vya kutosha,bahati mbaya ndo hivo, safari ya fedheha ndo kama hii. Shelia za...
0 Reactions
1 Replies
205 Views
WALE WAHARIFU AMBAO MLISHIRIKI KWENYE KESI ZA MUAJI KAMA HIZI NA LEO HII TUMESHINDWA KUFANIKIWA KWA LAANA YA KIUMBE HIKI EBU WEKA COMMENT APO!
0 Reactions
1 Replies
201 Views
Kampuni ya usafilishaji wa anga ya Rwandair, yapata nchi mpya 12 ambazo itakuwa inafanya safari zake. Ni baada ya kutangaza kufuta baadhi ya safari,kutokana na kufungiwa anga na jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Baba zenu, wake na mademu zenu, waume watarajiwa, kuna wakati wazima wanapanda popote. Kifuatacho, na nyie watu wazima
0 Reactions
2 Replies
183 Views
Bwana huyu pichani, kakumbana na vibaka waliomjeruhi na mpaka sasa yupo mahututi hospitalini. Miji mingi nchini Rwanda, imekuwa ikikumbwa na wingi wa vijana wasio na kazi, na hutegemea maisha yao...
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Changamkieni fursa vijana wenye nguvu, kazi hiyo hapo
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Inapoelekea, watu wa mashariki mwa DRC, huenda wakawa na mgogoro wa muda mrefu na wao. Ni baada ya kundi la badhi yao kulalamikia kuwa, kosa lilianza miaka ya 1980 na kuendelea, vijana wao...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Kalikuwa na raha yake jamani! Hasa kawe keupe! Japo michupi ya kipindi hicho haikuwa na mvuto! Wadada walikuwa bado hawajaanza kujichubua, ngozi oji, kipaja mvuto huooooooo. Leo hii ni broila tu!
0 Reactions
1 Replies
219 Views
Mgonjwa wenu sasa anapelekwa wodini, hatolala ICU. Ila sasa, amechachamaa kwamba halali bila changudoa.
0 Reactions
1 Replies
164 Views
Umujyi wa Kigaliurataka ikibazo gikomeye cy’Ubucucike bw’Abaturage baturuka mu byaro by’iwabo baje gushaka imibereho! Gusa iyo urebye neza Abayobozi nibo bari baraje mbere Abaturage baza...
1 Reactions
2 Replies
215 Views
Kama kichwa cha habari kilivyo, ukweli ndo huo. Tofauti na nchi jirani(kasoro Burundi,ambayo na yenyewe inapumulia mashine), Rwanda, maisha ni magumu,asikwambie mtu. Hali hii,imepelekea watu hasa...
1 Reactions
4 Replies
385 Views
Back
Top Bottom