Zimebaki siku chache sana kuelekea uchaguzi mkuu wa wabunge na rais nchini Burundi, ambapo ni tarehe 5 juni 2025.
Mpaka sasa, kila kona ya nchi, kutokana na hali ya usalama, na hofu kutokana na...
Asema mtoto wake, mwenye umri wa miaka mitatu. mpaka sasa ana tatizo la viungo vya mwili, ikiwemo mifupa kutokomaa.
Toka anaanza kula, amekuwa akitumia mpira. Kwa maelezo yake, ni kwamba...
Mu gihugu gituranyi cya Tanzania, Banki imwe yitwa CRDB iravugwaho kugaragaza amakuru ya konti y’umukuru wa Polisi, IGP Wambura.
Ese ni banki koko, ni abayinjiriye, iwacu byagenda bite!?
Mwamba akabiliwa na shitaka la kumnyanyasa mkewe kijinsia, kwa kilichotasiliwa kama mumpiga na kumuumiza mkewe kisa kunyimwa haki yake ya ndoa.
Baada ya kukaa ndani kwa muda wa wiki mbili sasa...
Bado tu mamia na mamia ya malori yanaendelea kusomba vitu kutoka Goma.
Inaonekana SADC,hasa Afrika kusini walijiandaa vya kutosha,bahati mbaya ndo hivo, safari ya fedheha ndo kama hii.
Shelia za...
Kampuni ya usafilishaji wa anga ya Rwandair, yapata nchi mpya 12 ambazo itakuwa inafanya safari zake.
Ni baada ya kutangaza kufuta baadhi ya safari,kutokana na kufungiwa anga na jamhuri ya...
Bwana huyu pichani, kakumbana na vibaka waliomjeruhi na mpaka sasa yupo mahututi hospitalini.
Miji mingi nchini Rwanda, imekuwa ikikumbwa na wingi wa vijana wasio na kazi, na hutegemea maisha yao...
Inapoelekea, watu wa mashariki mwa DRC, huenda wakawa na mgogoro wa muda mrefu na wao. Ni baada ya kundi la badhi yao kulalamikia kuwa, kosa lilianza miaka ya 1980 na kuendelea, vijana wao...
Kalikuwa na raha yake jamani! Hasa kawe keupe! Japo michupi ya kipindi hicho haikuwa na mvuto! Wadada walikuwa bado hawajaanza kujichubua, ngozi oji, kipaja mvuto huooooooo. Leo hii ni broila tu!
Kama kichwa cha habari kilivyo, ukweli ndo huo.
Tofauti na nchi jirani(kasoro Burundi,ambayo na yenyewe inapumulia mashine), Rwanda, maisha ni magumu,asikwambie mtu.
Hali hii,imepelekea watu hasa...
Baada ya uongozi kuwafukuza wanaojitafutia rizki kwa kuuza vitu mbali mbali na mitaji midogo, isiyozidi dola 10,
uongozi wao ulidai umewatengea maeneo ya biashara, kuzuia uwepo wao barabarani. Cha...
Imetimia miaka nane, kwenye kata anayoinongoza, hakuna mtoto wa kike aliebeba mimba bila ndoa.
Aliweka utaratibu usio wakawaida kuweza kuhamia katika eneo analoongoza.
Ana fomu ya kila raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.