Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari anahitajika dereva wa bajaji (used ) ya mkataba. Dodoma mjini mkataba ni mwaka mmoja. Vigezo - Awe na leseni -Mdhamini mmoja Kwa yeyote aliye tayari anicheck whatsapp 0743315931...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi wa Kada ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma, kwa zaidi ya miaka sita sasa nikiwa kazini, nimekuwa nikikumbana na changamoto kubwa zinazofanya watumishi...
1 Reactions
4 Replies
203 Views
Anonymous (fdc6)
Habarii WanaJamiiForums. Changamoto na ni kero yangu kwenda kwa Wizara na Tume ya Ajira (Ajira Portal). Mimi ni kijana wa Kitanzania nimehitimu elimu yangu ya Form Four Mwaka 2018, pamoja na...
0 Reactions
5 Replies
292 Views
Enzi za kutafuta kazi serikalini kwa kuzunguka na bahasha za kaki mkononi kutoka ofisi moja hadi nyingine zilionekana kufika ukingoni pale serikali kupitia Sekretarieti ya Ajira ilipoanzisha mfumo...
3 Reactions
15 Replies
367 Views
Anonymous
Nilikuwa napenda kuwasilisha changamoto yangu kubwa ni upande wa chuo ambacho nimesoma "Chuo cha Taifa cha Utalii/ National College of Tourism- NCT), tumekuwa na changamoto kubwa ya upataji wa...
0 Reactions
2 Replies
233 Views
Anonymous
Watumishi wa Ajira Mpya Kada ya Afya hadi leo hatujalipwa pesa zetu za kujikimu Halmashauri ya Wilaya ya Kahama na hakuna response yoyote hadi sasa tangu Januari 2026 na mwaka wa fedha unakaribia...
1 Reactions
1 Replies
94 Views
Anonymous
Sisi Ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya Kwimba Mkoa wa Mwanza tuna karibia miezi sita sasa tangu tuajiriwe lakini kila tukiulizia kuhusu fedha za kujikimu hatupewi jibu lolote, tuliajiriwa...
0 Reactions
1 Replies
156 Views
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro hawalipi fedha za kujikimu, mtumishi anafika hadi mwaka kazini lakini hajawahi kupata kulipwa. Siku za nyuma walishatuambia tuandike barua za...
1 Reactions
4 Replies
122 Views
Anonymous
1. Watumishi wapya wa 2024, wa Wizara ya Afya Kitengo cha Porthealth Services hawajathibitishwa kazini hadi leo na wanakaribia miaka miwili kazini, hali ambayo inawanyima haki yao ya kupata mkopo...
1 Reactions
3 Replies
119 Views
Anonymous
Kwa muda sasa hatupatiwi call allowance,, Extra duty allowance hali inayopelekea kukosa morali ya kazi. Mara ya mwisho kulipwa ilikuwa mwezi wa 10/2025 nayo hayo malipo yalikuwa ya extra duty na...
0 Reactions
4 Replies
236 Views
Tarehe 30, vijana walioomba nafasi za 'admission officer' wanakwenda kukutana na mtihani wa mchujo ili kuweza kuwapata wachache watakopita hatua ya pili. Nafasi hizi zina waombaji zaidi ya 3,000...
0 Reactions
4 Replies
215 Views
Anonymous
Mimi ni Mkazi wa Mwanza, nimesoma Course ya Mortuary Attendant. Course yetu huwa hutolewa kwa Certificate, hadi sasa tumefika wafanyakazi 200 wa fani hiyo lakini cha kushangaza Serikali imejenga...
0 Reactions
19 Replies
375 Views
Vibanda vya biashara. Tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao na bodi. Vibanda ni imara na haviharibiki kwa maji( finishing tunatumia stika hivyo huzuia maji kuingia kwny bodi au mbao pia...
2 Reactions
0 Replies
104 Views
A reputable hospitality company based in Dar es Salaam is urgently seeking to recruit qualified and experienced Accountants to join our team. Location: Dar es Salaam Positions Available: 2 Key...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Habari ? Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu na michakato ya Kuhama kupitia Uhamisho_ Mfano Mtu anaeomba kuhama kutoka halmashauri 'z' kwenda taasisi za elimu ya juu mfano Udom, Udsm,Mwalimu...
1 Reactions
15 Replies
630 Views
Anonymous
Mimi ni Ajira Mpya Wilaya ya Ulanga/Mahenge Morogoro, mpaka Sasa hatujalipwa pesa ya kujikimu na kila tukijaribu kuuliza viongozi wa halimashauri hawatoi majibu yeyote ni lini tutalipwa fedha...
2 Reactions
6 Replies
156 Views
Anonymous
Mimi ni Afisa Mtendaji niliyeajiriwa mwaka 2024 katika Wilaya ya Hai, Idara ya Utawala. Tangu nianze kazi hadi leo, sijawahi kupatiwa fedha ya kujikimu kama inavyotakiwa. Kinachoniumiza zaidi ni...
1 Reactions
3 Replies
103 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi katika Wilaya ya Hai, nikiwa nafanya kazi kama Afisa Mtendaji tangu nilipoajiriwa mwaka 2024. Tangu nianze kazi hadi leo, sijawahi kupatiwa fedha ya kujikimu, jambo ambalo...
1 Reactions
2 Replies
86 Views
Anonymous
Mamlaka husika zinazingatia sheria gani katika kupandisha madaraja ya watumishi specifically (waalimu)? kwani kuna walioajiriwa July 2022 na kuthibitishwa July 2023. Baadhi ya wilaya...
1 Reactions
4 Replies
201 Views
Back
Top Bottom