Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari zenu watanzania wenzangu naitwa FAIDHAnimemaliza chuo kikuu cha Dar es salaam katika kozi ya afisa mwajiri Mawasiliano 0624-137476 E-mail:faidhak6@gmail.com
3 Reactions
6 Replies
7K Views
1/10/2024 VACANCY ANNOUCEMENT WAJA HOSPITAL; is a private hospital located in Bombambili area 5km from Geita town along Mwanza road. The hospital was established in 2014 with registration number...
4 Reactions
53 Replies
41K Views
Natafuta wadada na wakaka wachapa kazi kwa ajiri ya kuuza juice mabibo sokoni.... Awe karibu na eneo ili asitumie nauli kubwa. Mawasiliano: 0686263327 , 0678747553 Note: wawe wachapakazi na...
2 Reactions
3 Replies
684 Views
Habari humu ndani. Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na wanaojua maswali yanayoulizwa kwenye interview za AJIRA MSF. Shirika hili kwa pale Liwale linajishughulisha na mradi wa Afya ya Mama na...
2 Reactions
0 Replies
590 Views
Dear Jamii Forum Community, I hope this message finds you well. I am writing to share my story and seek support or guidance in my job search. A few years ago, I had to put my education on hold...
8 Reactions
11 Replies
975 Views
WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi NIANZE NA MIMI Huu mwezi wa pili tangia...
3 Reactions
62 Replies
52K Views
Habari zenu kwa mara nyingine tena ndugu zangu wa JamiiForums wote mko salama salimini. Naitwa bina nina Miakai: 29 Elimu: 7 Jinsia: Mwanaume Natafuta kazi ya kusimamia shamba, kiwanja au...
4 Reactions
8 Replies
9K Views
Msaada wa muongozo interview kada ya Assintant Aircraft Mashaller
1 Reactions
0 Replies
489 Views
Habari wana JF, Naomba kujua kama kuna mtu alieomba nafasi za DSS Nmb akatumiwa email kwa ajili ya Aptitude test. Na pia kama kuna mtu alishawai kufanya aptitude test za nmb atusaidie muongozo.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu. Je serikali inafahusika ina maelezo...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Wimbi la vijana siku hizi kukosa ajira ni kubwa sana Kuna kijana yupo hapa nyumbani ni anahitaji kibarua chochote amemaliza chuo juzi kati kada ya ugavi na ununuzi ngazi ya diploma yupo tayari...
2 Reactions
0 Replies
229 Views
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti. Aidha...
9 Reactions
68 Replies
14K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu wapendwa katika Bwana!? Najua mko katika mahangaiko. Natafuta kazi zozote katika ukanda wangu huu wa Kanda ya ziwa, Nina ujuzi aina mbalimbali kama kazi za nje...
4 Reactions
7 Replies
16K Views
Kwa wahititimu wote wa ualimu waliopewa mkopo asilimia 100 nashauri wangepewa nafasi ya kwanza pindi ajira zinapotangazwa kwani hii itaisadia serikali Kwa kiasi kikubwa kuanza kurejesha pesa zao...
1 Reactions
5 Replies
473 Views
Habari wadau, Kwanza nianze kwa kutafakari kwanini shule za serikali haziongozi kwenye matokeo, kubali kataa sababu ni hizi. 1. Miundombinu na vifaa vya kufundishia. 2. Ufuatiliaji wa wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Habari Kutoka kibaha Mpaka Bukoba nauli Laki Moja, kwenda kurudi Laki Mbili. Kula na Kulala tufanye elfu 60. Sikuchagua Kagera lakini wamenichagua kusudi ili nisiende. Nitatoa Wapi Laki tatu...
21 Reactions
185 Replies
9K Views
Kwema wazee, natafta kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa awe na sifa zifuatazo Chini ya Umri wa miaka 25 Awe mzoefu wa biashara ya juice ya miwa hasa eneo la Kariakoo na Mbagala Awe...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello wadau, Mimi ni mdada nimehitimu Sociology nina uzoefu wa kutosha kwenye kazi za Social Work kwa zaidi ya miaka kumi. Kwa yeyote mwenye connection ya kazi Mwanza anisaidie. Asante
4 Reactions
2 Replies
531 Views
Kazi masaa 8 kwa siku, malipo 25,000/- kwa siku ZINGATIA *Uwe smart katika kazi *Unaezingatia vipimo katika kukata na kuunda sababu vifaa tuvyounda hata mm 1 ikikosewa inaweza kipelekea hasara...
5 Reactions
4 Replies
638 Views
Nipo kibaha,mwanaume 27YRS Naombeni connection ya kazi yoyote niweze kuishi mjini wakuu,sijabobea kwenye kazi yoyote inayohusu vyeti 100% ila nina soft skills (driving,basic computer skills etc)...
5 Reactions
10 Replies
701 Views
Back
Top Bottom