Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Utangulizi Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Utumishi tayari imeita vijana kwenye interview post: electrical technician II, kwa wale ambao tayari mnau zoefu na interview hizi mmeshawahi kuzifanya naomba tusaidiane kujuzana namna ya maswali...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
upcountry Kitchen taste iliyopo Kibosho -mweka kilimanjaro inatangaza nafasi za kazi ya kuhudumia vinywaji na chakula ( service). Waombaji wawe jinsia ya kike na wakazi wa Kilimanjaro au walio...
2 Reactions
5 Replies
545 Views
Napatikana kahama Nina bachelor degree, nimwalimu Bora wa kifaransa pia na kingereza. Kama munafahamu shule inayotafuta mwalimu wa kifaransa nipo nambari: 0767429275 Email: habonasalva@gmail.com...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Habarini wakuu kama title hapo juu inavojieleza.... nimepewa mkopo kwa mwaka wa masomo 2024/2025 lakini kuna mambo hayajakaa sawa hivyo sioni kama naweza kusoma this year hivyo basi naombeni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni msaada mfano wa maswali kwenye written interview kwa waliowahi kufanya interview kama data analyst, pia system developer angalau tupate pa kuanzia
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Naombeni msaada, sample ya maswali ya usaili data analyst na system developer
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Ase hii mbona inachanganya sana? Yaani tarehe 27 mwezi huu nafanya wrriten interview za masomo mawili na muda ni huohuo. Kwamba niachane na somo moja? Kwasababu napiga simu zao hazipokelewi.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Anonymous
Habari, Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi...
1 Reactions
37 Replies
16K Views
.
2 Reactions
1 Replies
215 Views
Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI October, 2024) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service...
1 Reactions
3 Replies
735 Views
Naomba kujuzwa mtu aliyeajiriwa kwenye shirika tajwa atalipwa Tshs ngap kwa TNPSS E & TNPSS F Pia naomba kwa anaefaham scale za Ngorongoro kwa mtu mwenye degree ya IT ni kiasi gani? Natanguliza...
0 Reactions
42 Replies
26K Views
Kuna mdau hatumii JF, kachaguliwa kwenda huko Iringa, ila kaniomba nimtangazie group lake kwa waliochaguliwa kwenda huko ili mshirikiane mawili matatu wasomi nyinyi. Jiunge moja kwa moja kupitia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Job type: Full-time Client Activation Identify and activate new clients within the assigned territory. Ensure proper onboarding and registration of clients. Customer Complaints Handling...
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Job type: Full-time Job title: Medical Supplies Officer Department: Medical Supplies Report to: Medical supplies Manager. Date: 24.10.2024. Medical Supplies Officer Job Purpose. Medical...
0 Reactions
1 Replies
402 Views
NAPATIKANA DAR es salaam , gongo la mboto. Kazi ya uendeshaji magari pia pikipiki nipo tayari. Asante
1 Reactions
0 Replies
454 Views
Asante utumishi Nimeludishwa mkoa nilipochagua mwanzoni baada ya kulalamika kuwa wamenipangia Kagera ambapo sikuchagua. Ahsante sana utumishi
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Aliye tayari na hii kazi tafadhali nikuunge mimi narudi nyumbani. Iko hivi, unaamka saa 10 usiku mnapelekwa shambani kila mfanyakazi anatakiwa ahudumie, kwa kuchimba mashimo 270 ya kupanda miti...
24 Reactions
129 Replies
104K Views
Mimi ni fundi wa umeme wa mitambo mbalimbali ya viwandani na majumbani,kama matanuru ya umeme ya kuyeyushia vyuma,kama ya viwanda vya nondo(INDUCTION FURNACES),OVERHEAD CRANES,MAMBO YA UYEYUSHAJI...
3 Reactions
0 Replies
459 Views
Anonymous
Kumekuwepo na changamoto kwa wahitimu kukataliwa kutuma maombi ya ajira kwa kupitia ajira portal. Swali je wahitimu hawa wametelekezwa katika ajira au hawana vigezo, tumaomba ufafanuzi kutoka...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Back
Top Bottom