Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Baada ya tafakuri ya kina nimegundua nyuzi nyingi zinazoletwa humu kwa lengo la kuwabagaza singo mazazi kama wanawake hatari kua nao katika mahusiano ya mizagamuono, mikunjo na minjunjano...
6 Reactions
30 Replies
307 Views
Uwezo wa kumlisha ugali masaa 24 upo Na kumvesha nguo za bukubuku upo Nitampata wapi wakuridhia hali yangu ya umaskini
6 Reactions
31 Replies
359 Views
  • Closed
Mambo ya Imani magumu sana "Una uhuru wa kumuingilia mkeo kwa staili yoyote, kaifum hiyo ni tafsiri ya kwanza na ni lugha ya kiarabu fasaha sio masuala ya ushia. Tafsiri ya pili aina mahala...
12 Reactions
196 Replies
2K Views
Najiuliza sana ni namna gani makebo makubwa na urefu vilivyokuwa na ushawishi sana kuliko CV yangu.
1 Reactions
4 Replies
129 Views
Nimeamua kubadilika rasmi sitaki tena wake za watu ingawa ni watamu sababu kuu sitaki kua chanzo cha familia kuvunjika ni dhambi sana hasa nikiangalia watoto wanaenda kuishi tofauti na wazazi wao...
15 Reactions
55 Replies
1K Views
Mjini mipango. Chungulia fursa piga promo. Nyomi kama lote. Inayoitwa kitchen party gala ni mpango wa Mshangazi kumwagia ndimu single mothers kwa ujira wa kitenge
28 Reactions
175 Replies
3K Views
Guys hope mko Salama. Kwenye pitapita zangu za utafutaji kuna omba omba mmoja ni mlemavu wa miguu. Yani ni wale mikono ni miguu na miguu imelegea kabisa haina kazi...anatembelea wheelchair kwa...
24 Reactions
237 Replies
3K Views
Kama wanawake wakipewa nafasi ya kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja hakika wangezidisha zaidi. Kuna mke wa mtu aliniambia hajaolewa kwa sababu anampenda mume wake bali kwasababu anajali,tajili au...
1 Reactions
9 Replies
302 Views
siku hizi kila ukiingia mtandaoni unakutana na maudhui yanayowagawa wanaume na wanawake. Huku wanaambiwa wasioe, kule wanaambiwa wasiolewe. Huku wanaume wanatajwa kuwa shida, kule wanawake...
1 Reactions
1 Replies
148 Views
Mzee tumekuwa tukimuheshimu sana lakini katika siku zote leo ameharibu sana cv yake. Mtoto wake wa kiume miaka kama 28 kaenda kumtembelea kwa lengo la kumpa habari njema anataka kuoa Katika...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Utakuta mdada anakupigia simu au anakutumia sms"Nimekumiss" unamjibu njoo,anasema umtumie nauli aje,woiii,upwiru wake nimtumie nauli tena?,tutatuma nauli tunapowahitaji tu kama hatuwahitaji...
6 Reactions
18 Replies
236 Views
Mwanaume tafuta ela ekeza kwenye miradi na biashara.acha upumbavu wakupenda chini utakufa vibaya. jisifu na mafanikio acha ujinga ngono n umaskin
12 Reactions
72 Replies
642 Views
Yani kuna wakati najisikia niringe au nijivune kwa attention ninayopata, lkn kuna wakati naona kama mwisho wa hili hautakua mwema. nimekua nikitongozwa sana tangu nianze kazi, na wengine ni watu...
12 Reactions
47 Replies
985 Views
Hii tabia ya watoto wakike kunyonya mitura ya kiume, ikome mara moja. Hata kama ni ustadi au utundu ila sio sawa aisee, yaani unakuta limamsup linakufosi muende ile style ya 69 kumbe nia yake...
9 Reactions
90 Replies
2K Views
Ugonile, kumeibuka kasumba ya wanaume kutaka kuoa wanawake wanaojimudu kiuchumi/wenye kazi au biashara inayowaingizia kipato. Vipi wanaleta chochote mezani kama mlivotarajia au tuwaache na...
16 Reactions
61 Replies
1K Views
Dada habari, sisi kwenye familia yetu tume pata changamoto kubwa sana kiasi kwamba mama naona kabisa tuna enda kumpoteza Kwa Presha. Iko hivi, tuna mdogo wetu wa kiume ana miaka 25, aliajiriwa...
6 Reactions
11 Replies
263 Views
Kama wewe ni mwanaume na bado unaingia jikoni kupika au kujipikilisha, juwa bado wewe ni mtoto, bado hujakuwa; ukikuwa utaachana na hayo mambo. Unatakiwa uambiwe, kaka/baba/babu/mume/shemeji...
21 Reactions
137 Replies
2K Views
Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
7 Reactions
54 Replies
526 Views
Wakuu, salamu. Ninaomba tujadili mada hii kwa utulivu wa hoja, si kwa mihemko. Lengo langu si kushambulia wanawake wala kutukuza useja( U'bachelor) , bali kuichambua taasisi ya ndoa kama mfumo wa...
16 Reactions
109 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi. Moja kwa moja kwenya mada kiukweli wanawake huwa hawajielewi kabisa yaani upo kwa kitanda na mwenzi wako unaanza stori za mwanaume aliekutoa bikra mlivyo wajinga huwa...
11 Reactions
59 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…