Guys IPO hivi naitaji kushare stori yangu na nyie kwasababu ya mengi kujifunza ndani yake that's true story sio joke nashindwa kuelewa niendelee kumchukia mama au niwachukie wote binamu na mama...
Kuna siku nilienda alipopanga demu wangu.Kwa kifupi alinikaribisha vizuri sana hadi tukajikuta sote tukiwa katika nyakati za furaha sana utani mwingi,story Kwa sana na mipango mingi na tulikula...
Miaka 10 iliyopita nilikuwa na uwezo wa kubeba ndoo mbili kubwa za maji kama nimebeba kamzigo. Leo hii ukinipa ndoo moja hatua tano tu nasimama kupumzika kama mzee wa miaka 60.. nilikuwa nakimbia...
Muda si mrefu kuna jamaa yangu nilikuwa naye hapa kwenye gori langu, ghafla bin vuu kuna kijidada kikali sana hapa jirani kikawa kinapita pita, jamaa kakiimbisha chap kwa haraka, mara paap...
Habarini Wadau,
Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:-
1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata...
Haya mapenzi au uzuzu?
unakuta mwanaume anaosha vyombo mke katulia mwanaume anachambua tembele mke-" katulia kuna jilani yetu hapa anaosha vyombo mpaka kufagia hv mwanaume hana kauli hata wazazi...
Katika pita pita zangu nikakutana na mdada mwenye shepu ninazozitaka, ile kumwangalia tu nikajikuta nakosa pumzi.
Uzalendo ulinishinda, ikabidi nimwambie mdada mmoja nilikuwa naye karibu...
Habarini wana jamvi. ..
Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha...
Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu,
Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili...
May all souls find enlightenment,
Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko...
Kwanini upo single?
Mapenzi yamekushinda?
Hujaona faida yake?
Au upo single kwa sababu maalum?
Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje?
Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi...
Mapenzi ni hisia na si hela; kama unatoa hela juwa ya kuwa unanunua huduma.
Kama mwanaume unayejitambua, jitahidi sana usiingie kwenye huo mfumo wa wadada wanaopenda kuhongwa ili kukupa huduma...
UNASIKIA MAUMIVU MOYONI KIASI CHA KUTAKA KUVUNJA NDOA YAKO..?
Salam..
Maisha ni mafupi sana hapa duniani, epuka kufanya vitu kwa kurudia-rudia.
Jizatiti kabla ya kuingia kwenye ndoa...
Mke analindwa au anajilinda?
STORY YANGU FUPI
Nakumbuka juzi nilipata kazi, ikabidi nikakae kwa rafiki yangu kutokana na umbali wa ninapokaa na nyumbani ili niwahi kufika kazini.
Nikapanga...
Jamani unakuta mkaka kapendeza jeans, raba na anawaka waka sana,
Lakini nimeshangaa ndani kwanza boxer imefubaa, alafu anavua kwa kuficha ficha kwanini msinunue nyingine ni sh ngapi Karume...