Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,ghafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hostel, muda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia...
43 Reactions
351 Replies
46K Views
Wakuu, Mwaka 2022, alitokea binti mrembo machoni pangu, mrefu, black beauty, mnene kiasi mpole, mstaarabu na mwenye adabu sana Basi bwana kikaingiza mikorogo na gia zangu ili badae awe wife...
15 Reactions
72 Replies
3K Views
Hizi ndoa hapana wakuu! Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa. Mfano:- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na...
59 Reactions
237 Replies
13K Views
INTRODUCTION Eeeh bwana eeeh! Wazima humu na Heri ya pasaka sanaaa. NB: Sina maana yoyote ya kudhihaki kutokana na kichwa cha habari. Anyway baada ya salama twende kwenye mada. SCENARIO Nina...
11 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu Habari ndio hiyo anapenda sana kuja Kwa juu na kuanza kuikatikia,ni tamu hakuna mfanowe. Utamu utamu hutawala chumbani Ijaribuni leo
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Wakuu, Ukweli usemwe umalaya sio dili ndugu zangu,kufanya uzinzi na mke au mume wa mtu ni ujinga na kujitafutia kifo. Kama una tabia hiyo acha mala moja. Mwenzenu yamenikuta,ilitokea nikapendwa...
9 Reactions
46 Replies
3K Views
holoholo sijutii kukutana na wewe. Umewazidi wote huko Pm. Unajua mpaka unajua tena. Cc: Binti Sayuni03
10 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu, Natafuta mke,umri kuanzia miaka 18 hadi 23, mwenye umri huo ani pm tuyajenge tutaelewana Naomba kuwasilisha.
11 Reactions
115 Replies
3K Views
Ndoa itakushinda Iwapo... 1. Ikiwa tendo la ndoa halina maana kwako.. Ipo hivi... Katika ndoa, tendo la ndoa si la hiari - ni la msingi. Ikiwa hutaki kuduu, tafuta usaidizi kutoka kwa...
12 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu, Ambao hamjapata muwapendao poleni sana,najua mnapitia changamoto sana~ukitupia ndoano samaki anaikwepa,mnahangaika wallah. Wakuu,baada ya kuhangaika sana kumtafuta nimpendae basi bwana...
18 Reactions
111 Replies
4K Views
Wakuu Mimi ni kijana wa umri wa kuoa (miaka kati ya 23-30),mwezi wa nane mwaka jana nilienda kuchumbua katika kijiji jirani, Nilienda na mwenyeji wangu,NA zoezi la kuchumbia lilikamilika na...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Wanaume tukipuuzia suala la kuoa mwanamke bikira, wanawake hawawezi kuona umuhimu wa kujitunza kwa sababu wataamini wakishamalizana na hoe phase kwenye maisha yao mwanaume yoyote atawapokea hivyo...
18 Reactions
40 Replies
2K Views
Heri ya sikukuu za mwisho wananchi wa jamhuri ya muungano wa jamiiforums😳😳😳😳😳😳😳😳😳. Povu ruksa.. Je, umewahi kuishi na rafiki au ndugu mcha Mungu hatari… Wale wa maombi , full package? 😅 Asubuhi...
3 Reactions
23 Replies
563 Views
Nilikuja na post Zawadi yangu ya kuzaliwa: Kuwapa wengine tabasamu Jioni ya juzi, tarehe 24 Desemba, nilihitimisha safari yangu ya kuwasaidia familia kadhaa. Ingawa hazikuwa nyingi, familia...
4 Reactions
13 Replies
194 Views
Wakuu tumtakie kheri na amani ndugu T.A.M LISSU mnyampaa ambaye amekataa kuhongwa ili asaliti nafsi yake na watanganyika ili tupate haki. Usku wa kuamkia leo nimeota ndoto nipo kwenye tukio la...
1 Reactions
6 Replies
149 Views
Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri.. Hii inajimuisha tunaosimamisha lege lege, kama utumbo, tunao mwaga ndani ya dk moja , tusio weza kurudia kabao kapili na hata tunao...
21 Reactions
195 Replies
4K Views
Heri ya siku kuu ya krisimasi ndugu zangu. Hope nyote mko salama Life ni gumu kuzidi kupambana kila siku ila tusisahau kuhusu maua mazuri ambayo mwenyezi Mungu katubariki Tanzania na duniani...
2 Reactions
5 Replies
156 Views
Hamjambo wana MMU. Kuna hiki kitu kimenifikirisha. Wewe unayesoma inategemea tafsiri yako huenda ukaona halina maana yoyote lakini huenda kuna mtu anaweza kunipa picha kubwa zaidi ya...
4 Reactions
13 Replies
233 Views
Kutokana na msukumo wa jamii na hali ilivyo mwanaume kukosa mtoto ni huzuni zaidi kuliko ilivyo kwa mwanamke. Karibu kwenye mjadala
4 Reactions
77 Replies
3K Views
Juzi nlikuja na Uzi hapa kuelezea matatizo ya mahusiano yangu na mke wangu Jana kaja home na watoto kwa ajili ya likizo fupi ya sikukuu Kwanza wakati anaanza safari kaanza na gubu na...
39 Reactions
92 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…