Kwa niliyoshuhudia usiku huu hapa chuo, da! usishindane na mtoto wa kike

Zingzingzing

JF-Expert Member
May 13, 2014
655
604
Nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,ghafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hostel, muda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia ndani, kuchungulia kwa mbali nikaona mtoto akiliwa denda kali kisha gari likigeuza na kuelekea njia ya town morogoro daaa,,,dada zetu hawa wanamgodi nimeamini.
 
nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,gafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hosteli, mda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia ndani, kuchungulia kwa mbali nkaona mtoto akiliwa denda kali kisha gari likigeuza na kuelekea njia ya town morogoro daaa,,,dada zetu hawa wanamgodi nimeamn.
Fata kilichokupeleka shule, unless shule itakushinda coz utaendelea kushuhudia kila aina ya kioja as days go, sasa ukitaka kila utachoona utuletee uzi humu ndan utatuchosha
 
siku moja tunatoka chuo tunaelekea stendi nimeongozana na mdada mkalii,
tunapiga story mbili tatu, ile tunafika stendi tukisubiria daladala ikaja Range Rover Sports nyeusi.....mdada
kachukuliwa nikabaki mzee nimezubaaa
 
nikiwa naelekea kula usiku huu wa sa 1,gafla ikanipita gari aina ya V8 mpya hivi ikielekea njia ya hosteli, mda narudi nikashuhudia yule msichana white mkali akifungua mlango wa V8 na kuingia ndani, kuchungulia kwa mbali nkaona mtoto akiliwa denda kali kisha gari likigeuza na kuelekea njia ya town morogoro daaa,,,dada zetu hawa wanamgodi nimeamn.

Ujinga huu, unatamani ungekuwa wewe? ha ha ha ha ha! Haina maana hiyo, mwishiwake mara nyingi Mbaya tu!
 
Izo changamoto tu zamaisha ila usithani uyo msichana kapata pengine kapatikana najinsi sisi wasichana tunavyopenda mambo makubwa hatajamaa akipiga kavu bila condom wala hatujali V8 iweyake au dereva tu waserikali iyo atajua yeye kasheshe homa za mara kwa mara zinapoibuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom