Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sijui ndio nimeachwa au sijui bado nipo kwenye penzi, hata sielewi, maana hizi dalili za mpenzi wangu naona kama mguu mmoja ndani mguu mmoja nje. Hivi mtu akikuacha anakwambia au anakaa kimya tu?
7 Reactions
57 Replies
2K Views
Mimi mpaka hapa nimechanganyikiwa, yaani Akili yangu Iko "ovez" Dr. Mariposa
6 Reactions
23 Replies
223 Views
Wakuu, Liliwahi kukuta jambo mpaka ukawaza na kuwazua ilikuwaje ukaingia kwenye hayo mahusiano au ndoa? Ilikuwaje? Bado upo huko au ulishabwaga manyanga?😅
7 Reactions
13 Replies
151 Views
MASWALI MUHIMU UNAYOTAKIWA KUMUULIZA SINGLE MOTHER KABLA HUJAFANYA MAAMUZI MAGUMU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Post hii usije ichukua kama nimekuambia Kaoe single mother. Nope! Mimi kama...
8 Reactions
23 Replies
306 Views
Umeshawahi kujiuliza kwa nini mapenzi ya kwanza husalia akilini kwa miaka mingi? Na kwa nini ni vigumu kwa watu wengi kuwasahau wapenzi wao wa kwanza? Pamoja na kwamba maisha yanaendelea na mtu...
6 Reactions
42 Replies
441 Views
Habari za muda wakuu, Leo nimefikisha anivessary ya miezi nane ya worst heartbreak, hadi nikapakumbuka JF:D Nakumbuka kuna siku nilianzisha uzi hapa yaliyonikuta baada ya kudumu na mtu kwenye...
2 Reactions
7 Replies
87 Views
Wadada wenye makebo makubwa, wamepanda bei, wamepanda mashetani ya visirani na viburi, mnahangaika nao sana kwa ajili tu ya minyama yao. Mdada mwembamba hata ukimwambia sina pesa anakuambia wiki...
1 Reactions
6 Replies
114 Views
Hii nilichelewa kuigundua aisee, baadhi ya wanawake wengi wanapenda wanaume machachali ambao wanatamaa ya tendo mda wote, na wanapenda ile siku ya kwanza tu unayokutana naye ukamuomba tendo na...
6 Reactions
54 Replies
756 Views
Congole kwenu mmebadilisha upepo wa awal wa kuzalishwa nyumban kwa sasa mnafosi muishi wote na wanaume japo weng bila ndoa kikubwa ukae na mumeo uzalie humo humo hii inaitwa sogea tuish Saf...
3 Reactions
3 Replies
133 Views
Msanii wa bongo fleva Ben Pol ameanika mambo matatu kwenye account yake ya Instagram ambayo ukiyaona hauna budi uachane na hayo mahusiano 1. Kila unapompanga unaetaka kuwa nae kwenye mahusiano...
26 Reactions
149 Replies
2K Views
Wakuu! Hii ni asili, Wanaume wengi tunakosa ujanja pale tunapokutana na Wanawake wenye nidhamu na utii, hata kama wameolewa. Ni noma sana! Nimekutana na wakati mgumu kidogo, nimewaza sana...
16 Reactions
58 Replies
854 Views
"Nilifanya agano na macho yangu, basi nawezaje kumwangalia msichana?" Ayubu 31:1. Wakati na meditate hili fungu, Ayubu anamaanisha nini? Tusiwaangalie wasichana? Wakati yeye mwenyewe binti zake...
13 Reactions
167 Replies
902 Views
Habari ya wakati huu Wakuu, Naomba Niongee na Wanaume, Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia.. ‎ ‎1. Feminist ‎ ‎Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha ‎...
10 Reactions
69 Replies
2K Views
If a woman is supporting you, support her .If she loves you, love her . No man who sits and gets gift or support from a woman will fold his arms and not treat her right . My fight is against...
14 Reactions
36 Replies
1K Views
Never, ever, under any circumstances say these things to a woman. Number one. I will never leave you or I can't live without you. If you want to experience a nightmare, then say that to her...
8 Reactions
26 Replies
468 Views
Kuna kosa ambalo vijana wengi huwa tunalifanya tunapoanza mahusiano. Tunakutana na msichana leo, kesho tayari tunaanza kuishi kama mume na mke kiakili. Kila muda ni simu hasa nyakati za...
6 Reactions
12 Replies
137 Views
Ebu semeni jaman maana ss wanawake tunapenda kupelekewa moto!
7 Reactions
66 Replies
763 Views
Uzao wa kwetu unaishia kwangu tu. Watoto kwangu hawana faida.nasitaki kuwa na mchumba lazima nife na usela wangu.
4 Reactions
23 Replies
313 Views
Habari, jana nilisema nitesti kama nimeanza kupona tatizo langu (nguvu za kiume) , ila cha ajabu mashine ilikua ndogo sana imelegea na baada ya kuzama ndani nilidumu kama sekunde 10 pekee...
22 Reactions
97 Replies
1K Views
Mimi sina kabisa ratiba ya kwenda kanisani. Nikienda kanisani basi kuna event yenye umuhimu wa kuwepo mfano kipaimara, kumunio ya kwanza, ubatizo wa mtoto wa ndugu wa karibu au ndoa ya ndugu au...
58 Reactions
307 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…