Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Hapo vip! Wanaume weupe tunaweka mbegu tu,alafu tunaendelea na kutafuta pesa na kubadisha dunia kuwa sehemu nzuri,ndio maana tumeleta technology,magari,umeme,computer,ndege n.k hapa hamna mwanaume...
8 Reactions
40 Replies
548 Views
Mwamba kaanza upya. Atakua sawa insha'Allah
12 Reactions
78 Replies
4K Views
Wakuu, naomba tupeane experience, Ipi sababu iliyokufanya uolewe/uoe? 1. Je ni kwasababu ulichoka kuishi maisha ya upweke? 2. Je ni kwasababu ulishindwa kuzuia hisia? 3. Je ni kwasababu ulipata...
3 Reactions
1 Replies
130 Views
Miaka 12 ya mapenzi, visa na mikasa nikiwa na Renata Sehemu ya kwanza Wadau kwa kuwa ni mwisho wa mwaka na nimeanza likizo nikaona bora niweke bandiko langu hapa jukwaani kuhusu mahusiano yangu...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu Kumekuwa msemo huu maarufu wa Wahenga unaosema kwamba kila mwanaume aliyefanikiwa mara nyingi amekuwa na msaada, moyo, au ushawishi wa mwanamke nyuma yake. hata sijawahikujua una maana gani...
15 Reactions
98 Replies
2K Views
  • Redirect
KWA WANANDOA PEKEE | NA WANAOTARAJIA WATOTO Ukiachana na Zile Sarakasi | Mibinjuko ya 6 kwa 6 na Vilio vya Mahaba kutoka kwa Ma Mtu Kikubwa Zaidi KinachoFanya Mwanamke Apate Ujauzito au Mimba ni...
0 Reactions
Replies
Views
🔥MAMBO🔟 YANAYOPUUZWA NA WANAUME WENGI YA KUIMARISHA NGUVU KITANDANI💪 Huu ni utangulizi tu wa mada zinazofuata, nitaendelea kutoa ufafanuzi wa kina zaidi kwa mada moja moja katika masomo yaliyo...
0 Reactions
1 Replies
602 Views
Unakuta kasichana kadogo kweli hakana bikra! Kameshaugawa utamu mpaka unajiuliza why? Kusema labda kamejiingiza kwenye mapenzi kwa vile nyumbani ni maskini hapana,nyumbani wana kila kitu. Akifika...
8 Reactions
57 Replies
625 Views
Vijana wa sasa sijajua au ndio kizazi chenu cha wakati. Ila sisi wakubwa wenu mnavyo jionesha kuwa mnashindwa kutafutana mtaani mpaka kwenda kwenye media yani niliona kijana mmoja kuna kipindi...
3 Reactions
12 Replies
364 Views
Achana na wa mtandaoni, simu za sasa zna camera za kisas zinamscrab mtu anakua pisikali Tafuta wa mtaani ni salama kwa afya yako ya mwil na akiliiiii
1 Reactions
7 Replies
210 Views
Cha ku suprise nimeenda kukutana na ugali ndondo
1 Reactions
4 Replies
160 Views
Kumekuwepo kama mashindano ya nani mwenye likes na asiye na likes,watu wanaomba ushauri wachangiaji wanaandika coments ambazo watapata likes nyingi bila kujali wanaandika nini. Suluhisho ni moja...
10 Reactions
26 Replies
263 Views
Mimi naanza na hii Kuna siku nilimsikia jamaa anaongea na demu wake anamwambia "Baby kwanini hujaniambia kuwa mamako ndio amekuzaa" nikawapa wiki mbili
20 Reactions
146 Replies
2K Views
Yaani kuna demu najuana naye Sasa nimetaka namba ya rafiki yake aisee dakika siguri tu nimeunganishiwa na mpaka Sasa mtoto anaelekea kibra sikujia kama Kuna kitonga namna hii
3 Reactions
28 Replies
643 Views
Habari wana jf? Hivi karibuni kumekuwa na utitiri WA DAWA za kuongeza nguvu za kiume HASA kwenye hizi "SANITARIUM CLINICKS", mpaka nachanganyikiwa kujua DAWA ipi inasaidia na DAWA Gani ni feki...
7 Reactions
15 Replies
436 Views
  • Closed
Iko hivi; Kuna binti nilikua nammezea mate kinoma. Kuna mahala huwa nakunywa chai sasa huwa anapenda kuja kununua vitafunwa hapo, so nikawa namuonaona pale. Wiki mbili zilizopita nilimuomba namba...
23 Reactions
199 Replies
8K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa...
8 Reactions
44 Replies
977 Views
Habari wana JF, Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia. Katika maisha yangu niliamini...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakuu, naombeni ,msaada wa ushauri, Hivi ni sahihi kubadili dini kisa mahusiano? nimekua nikipitia wakati mgumu wa kufanya maaumuzi binafsi ya kubadili dini na kufuata imani ya mwenza wangu...
4 Reactions
12 Replies
491 Views
Kiukweli inaumiza sana,unaitwa mpiga kelele wakati haujafanya hivyo nikiwa form3 niliandikwa nimepiga kelele nikapelekwa kwa mwl,nilijitetea sana hakuelewa,nikataka kupigana nae akanipa...
4 Reactions
18 Replies
223 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…