Ee bwana I like them nice, smart, soft and smooth. Yummy!!!
I like them chocolate to dark in complexion but bald. Oh yeah. Bald and smooth. Not prickly.Yaani I dont wanna be distracted by hair...
Hii imetokea sasa hivi,jirani yangu amekuja kunigongea na kuniomba ushauri wa kitu ambacho nimestaajabu sana,,,
Kwa kifupi mke wa jirani na rafiki yangu amemfumania mfanyakazi wa ndani akiwa...
Kiukweli wale wadada wa saluni za kiume ambao ukimaliza kushevu wanaacha kukupetipeti kwa mikono yao laini mi huwa wananidatisha sana. Kuna mmoja wa pale Sinza Mugabe ndo usiseme yani, yali yule...
Kuna rafiki yangu alifiwa na mumewe ghafla alipata ajali ya gari, walikua wameoana ndio wana kama mwaka mmoja alimuacha mkewe na mtoto mchanga wa mwezi 1 tuu.
Swali langu liko hapa mumewe naye...
NATAKA KUPIMA
Ayayayaya .
We niache niende..niende niende .
Usiniulize kwanini sababu utanizingua, ukitaka jiunge na mimi mara ya mwisho ni lini we ulipima
Mi mwanzo sikuamini nikajuaga siezi...
Ni kero ambayo iko kwa asilimia kubwa kwa wanawake wenye wapenzi/wachumba/waume ambapo mwanamke anaomba umtumie vocha kwenye simu lakini ukishamtumia akiwa na tatizo saa hiyo hiyo anakubip ili...
Kweli huu ni ubinadamu kweli. Kuna mdada alifiwa na wazazi wake wote, akiwa na miaka 8 tu. Alipofikisha miaka 14 alikutana na mwanaume ambaye ni mfanyabiashala ya matunda. Kaka wa watu alijinyima...
Ninavyofahamu mimi wakati wa kufungishwa ndoa wanandoa wanaambiwa ndoa yao ni mpaka kifo kitakapowatenganisha, sasa kwa nini mmoja wao anapofariki anayebaki anaendelea kuvaa pete hiyo kwa muda...
SALAMU ZAKO
Salam zako ww ambao hujawahi kutoka na mpenzi wako,eti ooh am busy..subiri usaidiwe sasa
Salam zako ww gal siku nzima hujui hali ya mpenzi wako ukiulizwa ohh guy ndo anatakiwa...
Wana mmu kwa nionavyo mie wote wanaotoka nje ya ndoa zao walikurupuka kuoa/kuolewa na hawajui maana ya ndoa ni nn walifunga ndo kwa sifa tu ndo mana yanatokea hayo.
MSICHANA UNAITWA KWA BOY UNAENDA KAMA KONDOO SHAURH YAKO UTAGEGEDWA KWA LAZIMA,ukiwa na boy ndani ya geto VYOVYOTE ITAKAVYOKUWA LAZIMA UKATWE KIDIZAINI FULANI.
kuna watu na viatu,kuwajua ndo...
KUNA WANAUME MNAJITAFUTIA MATATZO WENYEWE,
Mnadate mademu wasio size yenu...Huwezi kuwa na Kitambi ukavaa Skin Jeans.Utachekesha... Mlinzi wa KK security hawezi kumiliki Vogue,atapata wapi...
.....Siku hizi Matumizi ya simu yamekuwa ni ya uwazi na ya kurahisisha maswala mbalimbali kimaisha na si vibaya kununua simu kwa ajili ya watoto nyumbani kwa mawasiliano ya haraka..... ni...
kama mpo amabao mmeshawahi kufanya hivyo mnijuze ilikuaje huko mlivyoenda na mwanaume kama yupo aliempokea msichana wa namna hiyo afunguke pia nini kilitokea.
kuna mjamaa tumekutana kwenye...
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata...
maisha ya wanaume ni ya ajabu sana.wanaume wana tabia mbalimbali but kuna vitu vitatu ambavyo kila mwanaume lazma ataangukia hapo. Kuna kitu kinaitwa ADDICTION. Kwa tafsiri isiyo rasmi addiction...
Nimeona niilekebisha maada yangulabda nitaeleweka kwa nini watu wengi walioko kwenye ndoa wamewaoa au kuolewa na watu ambao hawakuwa chaguo lao mfano ulimpenda mwanamke au mwanaume huyu kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.