1. Sitachoka kuwafundisha ninyi vijana. Maana wengi wenu hamkuishi na Wazee nazungumzia wazee waliozaliwa kabla ya mwaka 1940. Hao ndio Wababu.
2. Mtibeli nilibahatika kuishi na Wazee...
Usiwaamini wanaofanya dharau kuwa jambo la kawaida
Wanapokupotezea — wanadai wako busy.
Wanapokukosea— “human nature.”
Lakini wewe ukifanya hata nusu ya hayo ghafla umebadilika,
Umeanza kiburi...
Wanaume wa dasalama nani kawaroga inakuje unalipa litita cha 50k kwenda kumsikiliza mwanaume ambae alinyimwa papuch kwa wiki mbili mpaka aliponunua simu ndo siku hiyo akaonjeshwa papuch?
Mengine...
Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka...
Bongo kuna tatizo gani? Kwanini mwanaume au mwanamke akionekana barabarani na mpenzi wake wakiwa pamoja huwa idadi kubwa ya watu inawashangaa sana?
Kwani mapenzi Bongo ni dhambi, aibu au dhahabu...
Wadau naomba ushauri wenu.
Nimekutana na mwanamke ambaye kiukweli yuko vizuri kifedha kuliko mimi. Tatizo linalonichanganya ni kwamba ana tabia ya kujiangalia yeye tu na wakati mwingine anaonesha...
Nani atakubali mimi niwe dada yake ??
Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu.
Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu.
Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
🔥
Kuna kauli imeibua mjadala mzito:
Mtu hakupatiwa mapenzi kwa wiki mbili hadi aliponunua iPhone! 😳
Swali ni hili👇
Je, mapenzi ndani ya ndoa yanapaswa kuwa na masharti?
👉 Je, ni sawa kusema...
Na sijui kwanini Wanawake wengi wenye haya Mashauzi ya kujifanya Wao ni wa Thamani kubwa
Hivi huyu Dada ni wa Thamani hiyo kweli hata ukimuangalia tu hapa katika hii Picha Mjongeo? Angalia...
Mi ni Mwanaume mwenye umri wa kati wa 4th floor.
Katika kupambana na maisha miaka ya nyuma, niliishi mkoa mmoja kanda ya ziwa. Kutokana na mihangaiko, nikajikuta nimempa mimba binti mmoja ambaye...
Habari?
Kama kichwa kilivyo, mimi ninafanya kazi ya kuajiriwa ,na mke wangu ni mfanyabiashara tuna watoto watano, wawili bado wadogo chini ya miaka mitano. Wengine wapo miaka 12, wapili 9 na...
Mambo ya kushangaza kabisa, mbele ya mchungaji mwanamke ni mpole, mnyenyekevu, anafunga mdomo wake, akisikiliza zaidi kuliko kusema. Hata akisema maneno ni machache tu....Ameen...amina...
Njoo...
Unaishi peke yako. Huna rafiki wa karibu, sasa ikatokea umepata Changamoto ya kiafya kama kuugua Ghafla usiku au kuumia bahati mbaya
Mnawezaje kupata usaidizi wa dharura?
Au ndio ile ku adapt...
Katika maisha 85% ya matatizo ambayo unaweza kupitia yanatokana na uhusiano wako na watu wengine waliokuzunguka ndiyo maana kila mtu akianza kusimulia kufeli kwake, kuharibikiwa kwake atakuwa na...
Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me.
One of my ex is a single mother. She has one lovely boy...