Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakuu, Liliwahi kukuta jambo mpaka ukawaza na kuwazua ilikuwaje ukaingia kwenye hayo mahusiano au ndoa? Ilikuwaje? Bado upo huko au ulishabwaga manyanga?😅
5 Reactions
12 Replies
88 Views
Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nina mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana...
21 Reactions
100 Replies
1K Views
Sio kwa sababu wanawake ni watu wabaya, ila kwa sababu wanawake pia ni binadamu. Na asili ya binadamu ni survival, not honesty. Wanawake wameweza ku-survival tangu vizazi vya kale kwa kudanganya...
12 Reactions
42 Replies
376 Views
Harusiwi kunijibu ama kunirudishia akidhubutu mbata na hakuna chenye atafanya sinimelipa mahari ya milioni 3 nimemnua
4 Reactions
30 Replies
177 Views
Nimekuwa nikijiuliza kama kweli mpenzi wangu ananipenda au amenizoea kwa sababu ya msaada ninaompa. Wakati hana pesa, huwa mtu tofauti kabisa. Ananipigia simu, ananijulia hali, anataka tuongee na...
2 Reactions
16 Replies
128 Views
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu.... Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
6 Reactions
30 Replies
742 Views
Tuachane na mapenzi kwanza tusake mapene mapenzi ni baadaye
0 Reactions
4 Replies
57 Views
Katika uhusiano, mwanamke hawezi kujivunia mwanaume kwa sababu tu ya sura yake au uwezo wake wa kifedha. Mara nyingi, fahari ya mwanamke hutokana na namna mwanaume alivyo, kile alichonacho na...
8 Reactions
11 Replies
190 Views
1. Wanakuwa na ugwadu wakati unawatongoza 2. Hawajatongozwa muda mrefu 3. Wanadaiwa kausha damu wanataka baada ya sex waombe hela 5. Wanaogopa kukupoteza Unaombwa mawazo yako huru ndugu mdau
3 Reactions
37 Replies
377 Views
Eti mnasema what a man can do a woman can do it better.huu ni uwongo wanaume ss ni kichwa nyie shingo.
1 Reactions
4 Replies
25 Views
MWANAMKE AKIDAI MTOTO NI WAKO YEYE NDIYE MWENYE WAJIBU WA KUTHIBITISHA NA KUGHARAMIA GHARAMA ZA DNA. IKIBAINIKA NI WAKO, MNAGAWANA GHARAMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwanamke ambaye...
0 Reactions
2 Replies
25 Views
1. Ni wanawake wenye dedication kwenye mapenzi na ndoa 2. Hawapendi kufanya kazi ila wapo vizuri kwa kazi za Kitandani tu 3. Wengi wanaweza kuwa na sura nzuri ila maumbo si sana. 4. Wanajua sana...
10 Reactions
51 Replies
1K Views
Wanaume kamwe hamuwez bila ss tupewe maua yetu jaman
10 Reactions
64 Replies
639 Views
Ndugu zangu wanajf, Hili ni jambo linaloumiza akili yangu sana. Sipo kwenye mahusiano yoyote rasmi ila kuhusu uzinzi kila nikitaka kuita dem gheto najikuta nina dilemma hii kubwa. Je ngono...
18 Reactions
183 Replies
2K Views
Baada ya kutoweka JF kwa miaka 2 nimeamua kuja sasa na Id mpya Mazishi yangu nimeimiss sana JF yetu pendwa.
0 Reactions
1 Replies
10 Views
Kutokana na misemo kadhaaa na kupitia baadhi ya nyuzi humu ndani, kuhusiana na jamii hiyo sijaamini nilichokutana nacho. Nimeoa mwanamke mmoja Mrangi, keupe haswa. Kutokana na wanavyosemwa...
22 Reactions
119 Replies
11K Views
Kwanza ijulikane kuwa kuna aina mbili za wanawake, wanawake wanaojiheshimu, wanaojithamini na kutunza utu wao kwenye jamii (wife materials) na wanawake wengine wote waliobaki. Wanawake wengine...
11 Reactions
56 Replies
12K Views
Kuna kitu kinaniumiza sana kwenye mahusiano yangu, lakini sijui kama mimi ndiye ninayefikiria sana au kweli kuna tatizo. Mpenzi wangu siku hizi hanipi muda kabisa. Nikimpigia simu mara nyingi...
11 Reactions
73 Replies
472 Views
Yaani unakuta mtu anamiaka 42 alafu anamahusiano na mwanamke ana miaka 48 alafu anasema anamiliki mshangazi ....!!!!! Huyo si mzee mwenzie tu... Mshangazi aitwe na vijana wa miaka 18 mpaka 35...
2 Reactions
21 Replies
104 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…