Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya...
19 Reactions
69 Replies
5K Views
Habarini mimi kadefeghee member wa hi platform ila piaa n introvert kiasii..maishaa ya kukaa kipekeee yamenishindaa. Natafutaa marafiki wa kuweza kushare nao mawazo n kujuana especially siku za...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
1. Kama wewe ni mwanamke. 2. Umri wako ni miaka 18 - 26 3. Una shughuli yoyote halali ya kukuingizia kipato. 4. Una elimu angalau ya kidato cha nne. 5. Unaishi Dar es salaam Basi njoo PM...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana. Mimi ni mume mwenye watoto kadhaa. Nahitaji mwanamke aliye tayari kuwa mke wa pili. Awe na umri kuanzia miaka 30 hadi 40. Naamini humu wapo wanawake wanaohitaji stara...
0 Reactions
6 Replies
992 Views
Naomba nichukue fursa hii kutafuta mwanamke ambaye hakika tutafunga nae ndoa sifa mtoto wakike ni lazima awe 1)MUISLAMU 2)Awe ana shughuli zake binafsi 3)Awe na upendo wa dhati 4) Suala la umri...
4 Reactions
8 Replies
812 Views
Hamjamboni wanajukwaa la Love Connect? Hope mnaendelea vizuri na majukumu yenu.Moja kwa Moja a ha niende kwenye mada husika. Mimi Ni mkenya na ninaishi jijini Nakuru sehemu nakofanyia...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Waungwana natafuta mchumba umri kuanzia miaka 25-29, Elimu kuanzia darasa la saba hata form 4, awe mjasiriamali ama mfanyabiashara ndogondogo ni sawa, kuhusu kabila ni lazima awe mnyiramba, mimi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari Wana JF. Naitwa parson, Nina umri wa miaka 35, pombe na sigara situmii, Kazi mjasiriamali (mdogomdogo) mwenye malengo makubwa. Sifa ya mke nimtakaye. Umri kuanzia 30-36 Kabila -lolote...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
I am 28 yr guy from dsm working as businessman I like public transportation(i dont have a car lol)and wandering around cities. I do believe that ‘love conquers all,’ but that’s because I’m a...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
Hello everyone, I am looking for a wife material, mrembo, anayevutia hasa..its my hope that I will meet you here..kama tukimatch vizuri tutafunga ndoa kubwa mwaka huu huu...maana ndoa yangu...
8 Reactions
93 Replies
7K Views
Hello members?, I'm 28. I'm looking for a partner/ girlfriend. I'm looking to be in an emotionally committed relationship. I'm not looking for “the one” or marriage, but I also am not looking for...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Awe na miaka 28...36 Mkaz wa Dar Christian Urefu asifike fut 6 Mengine tutawasiliana pm. Mimi nna miaka 28 ni diploma holder. Nimejiajiri ni mbena wa Iringa. Naishi Dar Mbezi.
11 Reactions
64 Replies
6K Views
Jambo! Natumaini wote mko salama na Mungu anawapenda sana. Natafuta rafiki mzuri wa kike maybe ndio atakuwa wangu wa milele nina 40 yrs, niko Arusha kwa sasa napambana nina mtoto mmoja ana miaka...
7 Reactions
45 Replies
4K Views
Habar wanajf..., Nahitaji mke wa kuoa ambaye yupo dar.. Sifa zangu ; -Umri 28 -Elimu: degree -Kazi:Self employed Sifa za mke -awe na umri 22-28 -Awe na kazi rasmi -Awe amemaliza kula ujana Karbu...
0 Reactions
6 Replies
938 Views
Mimi ni kijana umri miaka 35, Elimu yangu diploma, ni mjasiriamali mdogo, sina mtoto na sijawahi kuoa, nipo Dar dini ni mkristo. Muonekano wangu ni mrefu kiasi, mwembamba kiasi na mweupe kiasi...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni mume Nina Mke na Watoto. Natafuta MTU wa kuchepuka naye weekend tu. Na siku Moja ya kazi. Awe dini yoyote, taifa lolote, rangi na Umri usizidi miaka 30. Asiwe mlevi wa kupindukia, awe...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu, mimi ni msichana wa kitanzania, nina umri wa miaka 30, dini mkristo (roman Catholic) natafuta rafiki wa kiume wa kuniliwaza, nimeumizwa sana na mpenzi niliyekua naye, najihisi mpweke...
30 Reactions
123 Replies
15K Views
Habari wana JF, Mimi ni mvulana miaka 27 ni mfanyakazi katika taasisi fulani hapa Dar. Mimi naingia kazini kuanzia saa 1.30 asubuhi na kutoka saa 12 jioni hivyo mda mwingi nakua kazini. Naishi...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Long story short: I am 34 yrs of age Tall Living & Working in Dsm Born in Dsm Bachelor degree Never married Christian (Not much devoted) A kind of a lady am looking forward to be my love...
3 Reactions
3 Replies
913 Views
Back
Top Bottom