PNU
JF-Expert Member
- Jun 19, 2020
- 377
- 2,807
Kumekuwa na mvutano wa nafsi kati yetu wanaume, wengine kuoa kwa kufuata mkumbo, wengine kuoa kwa kuwa ana kipato kizuri, wengine kuoa kwa kuwa anaona umri unakimbia na mwengine kuoa kwa kuwa amefanikiwa kumpata yule wanaopendana, Je ni nini asa kigezo muhimu kwa mwanaume ili aweze kuchukua maamuzi ya kuoa??