Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nimeona wengi wakitafuta wapenzi na mimi upweke umenichosha.Mwanamke yoyote anaehitaji mume nipo hapa.Umri wangu 29.Sijali umri,dini wala elimu.Kazi yangu ni mbeba mizigo,natumia mkokoteni.Kama...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
hey bdo sijampata jaman mpenzi ambaye namuitaji... ht sijui nifanyaje.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kiukweli natafuta msichana mrembo umri kuanzia miaka 18-22. Msichana huyu si kwa ajili ya Mapenzi!! Hapana ni kwa ajili ya kunipa kampani siku ya tarehe 14 the valentine day. Kama wewe ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
thamani ya mapenzi ya kweli 1)mpenzi wa kweli anakupend kweli 2)yupo tayari kusikiliza baya na zuri 3)mtakuwa wote kwenye shida na raha 4)atakueshimu na atakunyenyekea 5)atakupenda kwa moyo wake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
An cute lady who is interested to hang out with me this Friday all on me, just funny and that's it. Am in Dar am just lonely and fill like to meet with a new strange girl friend to enjoy this...
0 Reactions
77 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF Nimekua nikipita JF kama Guest kwa muda sasa,nimefarijika na jinsi watu wanavyosaidiana kwa mawazo na ushauri. Mi ni kijana wa kiume( below 30), elimu yangu ni chuo. Natafuta...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
natafuta mchumba, mwanamke asiyezidi miaka 35.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
mimi naitwa olekina kutoka mombasa kenya, natafuta mrembo kati ya miaka 24/ 27,kisha awe msomi na mwenye kumuogopa mungu,awe mrembo ,mpole,kama yuko,nipigie simu kwa 0725341178/0716148794,hakuna...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naitaj wakunitoa mawazo jaman naitaj true love! Nimechoka kuwa upweke naitaj mwanaume mstarabu anayejitambua, mengne 2tajua mbele age 28-35 welcm.
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Sifa zangu. Ninasoma University of Dar es salaam (COET) Nina miaka 22 Urefu (197cm) na sio mnene. Mchapakazi na mwenye bidii na misimamo ya kawaida(inayovumilika) Dini yangu ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sasa hivi baadhi ya madada wa bongo wameanza kuiga tabia za wanigeria. Wanajifanya wapo nje ya nchi na wanataka wachumba kutoka bongo. wengi wao ni vibaka. kaeni chonjo. ni hayo tu. sitake kesho...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Mimi natafuta mschana awe mrefu. Mnene. Maji ya kunde alafu asiwe mnywaji iwe ni kiasi tu kwa aliye Sirius tuwasiliane kupitia hapa hapa kwa mawasiliano zaidi na mengine tutaongea tukikutan.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Awe mrembo,awe anajshglsha pia awe na penz la dhat na awe anaish Mwanza mjn,umr miaka 21 mpaka 23
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 natafuta mke mcha mungu awe maji ya kunde,msafi awe anajua mambo flan kitandan na awe tayar kulamba pipi.ANGALIZO wa Tanga wana kipaumbele.karibun sana wapendwa..
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jamvi hili Najitambulisha kwenu kwa mara ya kwanza kabisa kutembelea upande huu jana mimi ni kijana 24 aged naenda 25 April kabila langu baba Mbukoba(Haya) na mama...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Ni mwanamke wa miaka 32. Dini yangu mkristo(RC), nina mtoto 1 elimu ya Chuo ni mwajiriwa/mjasiliamali natafuta mchumba (aliye serious) mwenye upendo wa dhati umri kati ya 35-40 awe ambaye hajawai...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
[emoji41]
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Am male, with university education level, self employed i need a gal to be my wife with the following x'stics, age between 20-26, education more than form four, any color, good behavior with with...
0 Reactions
5 Replies
938 Views
mdada mwenye umri usiozidi miaka 28, mkristo wa kweli asiyevaa suruali, pedo au sketi iliyojuu ya magoti. Mwenye tabia nzuri, elimu mwisho diploma na mcheshi. kwa aliye tayari ni PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa,Mimi ni msichana wa kikristo mwenye miaka 28,naishi dar,nafanyakazi serikalini,natafuta mchumba,awe mlokole,awe na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea,awe ana kazi yoyote...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom