Mwaka huu nimeamua kuspend valentine yang at ma lovely home country,nshachoka na maisha ya abroad,tatizo ntakuwa lonely sana any gal around come on tuspend together,if u ar ready plz reply or pm 4...
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 natafuta mchumba anayejielewa nini anafanya ili awe mke wangu wa baadaye....awe na sifa zifuatazo.
awe na miaka kati ya 20-24
awe mkristo
elimu kuanzia...
Natafuta Mwanamke, Binti au Msichana, mwenye umri kuanzia miaka 17-25 ambae tukiendana tunaweza ishi pamoja huko mbeleni.
Mambo mengine tutayazungumza via PM kwa atakae kua tayali.
Habari zenu wanaJF,
Mie nimekuwa katika kutafuta mwenzi wa maisha muda mrefu,na kuna wakati nilikata tamaa baada ya kuwa kila ninayempa proposal yangu anadai yuko na mtu wake.
Sasa,wiki...
Nina miaka 31, elimu ya chuo, muajiliwa, sinywi pombe, sivuti sigara. natafuta binti aliyetayari kuanza maisha ya ndoa awe mkristo, elimu ya chuo, umri kuanzia 25 - 28, mwenye vision ya maisha...
Am a man, aged 32yrs, elimu ya chuo kikuu, na ni mwajiriwa.
Nahtaj msichana ambae yuko serious, anaehtaj kuanza familia; umri kwanzia miaka 22-30, elimu kuanzia kidato cha nne.
Sichagui dini, cha...
Natafuta mke mwenye vigezo vifuatavyo:
1) Awe na sura ya kuvutia (namba 8) na rangi ya ngozi asili
2) Elimu kuanzia Masters na kundelea
3) Awe tayari ameamua na kuelewa maana ya kuwa mke
4)...
HAWE NA SIFA ZIFUATAZO:
1. Awe anapenda mziki na movie not africa magic
2. Awe anapenda kutoka out night siku moja moja
3. Awe sio mweusi, sio mnene na sio mwembaba sana (matiti madogo na ---- la...
Wapendwa,
Nilitoa tangazo langu hapa la kutafuta mke mwema. Ukweli nilipata watu wengi walio positive mainded ila shida ikawa ni Dini.
Mimi ni muislam hivyo nahisi nikipata msichana wa kiislam...
Kiukweli natafuta msichana mrembo umri kuanzia miaka 18-22.
Msichana huyu si kwa ajili ya Mapenzi!! Hapana ni kwa ajili ya kunipa kampani siku ya tarehe 14 the valentine day.
Kama wewe ni...
thamani ya mapenzi ya kweli
1)mpenzi wa kweli anakupend kweli
2)yupo tayari kusikiliza baya na zuri
3)mtakuwa wote kwenye shida na raha
4)atakueshimu na atakunyenyekea
5)atakupenda kwa moyo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.