Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Alipokuwa akihojiwa jana tarehe 30/6 na waandishi wa habari, Rais Ruto alisema japo amekubali kuondoa na kutokusaini Finance bill hiyo lakini anasikitika sana kwani bill hiyo ilikuwa na manufaa...
4 Reactions
11 Replies
815 Views
Wanajamvi, bado natafakari hotuba ya Ruto ambaye ameitoa hivi punde. Ninatizama live hivyo nitaweka hapa text ya hotuba. Hatahivyo ni hotuba ya hovyo sana na anaonekana ku panic. Ameongea kama...
10 Reactions
43 Replies
4K Views
Waandamanaji Kenya wamechoma mahakama ya ya Rufaa. Yaani wameamua kushambulia mihimili yote kuanzia Serikali, Bunge na sasa mahakama Inatisha. Pia soma===> News Alert: - Rais Ruto (kuhusu...
4 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari za usiku huu kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa mnaofuatilia hotuba ya William ruto raisi wa Kenya yaani kiufupi ametonesha vidonda vya gen z anaulizwa maswali mengine anajibu kingine...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Wabunge kutoka Mashariki ya Kenya kwenye Wasomali wengi wamemtaka Naibu Rais Gachagua ajiuzulu Wabunge hao wamesema Gachagua hakupaswa kumshutumu hadharani Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa taifa...
4 Reactions
68 Replies
2K Views
Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya. Neno moja kwa huyu mwamba
33 Reactions
110 Replies
9K Views
Siyo rahisi kuyafikia malengo na mahitaji yenu ya msingi mengi na yote kwa pamoja. Inahitaji muda na nafasi. Inafahamika na Imebainika Africa na duniani nzima, mnatamani mahitaji yenu yote ya...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Mbunge wa Zamani wa Nandi Hills Alfred Keter atekwa mbele ya familia yake. Leo asubuhi. https://m.youtube.com/watch?v=Dwj-ZXjRQY8&pp=ygUdYWxmcmVkIGtldGVyIGFiZHVjdGlvbiBsYXRlc3Q%3D Zakayo hivi...
3 Reactions
7 Replies
464 Views
Rais wa Kenya William Ruto leo jioni ataongea na wanahabri na kurusu maswali kadhaa maarufu kama round table. USSR.
3 Reactions
15 Replies
900 Views
Hivi ndivyo vijana wa Kenya walivyoingia bungeni. Hatari sana!
4 Reactions
8 Replies
753 Views
The number of Kenyan youths killed by police during the anti-finance bill protests continues to rise, as families of missing loved ones find their bodies in morgues. In Mombasa County, one family...
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Wabunge kadhaa waliopigia kura ya Ndio Finance Bill wamerudi Majimboni na kutubu Kwa wapiga kura Wao Wengi Wao wamedai Shetani aliwapitia wakajikuta wamefanya Uamuzi usio sahihi Source: Citizen...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema jumba la kifahari la mbunge aliyekubali ule muswada wa kuwafanya wakenya kuwa watumwa katika ardhi yao, limeunguzwa, mifugo, magari ya gharama yote vimechomwa...
14 Reactions
100 Replies
5K Views
Imedaiwa kuwa Safari ya siku 4 ya Rais William Ruto ambaye amealikwa na Rais Joe Biden, itagharimu takriban Tsh. Bilioni 3.94 kutokana na uamuzi wa Ikulu ya Kenya kukodi Ndege aina ya Boeing...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
1. Huko Kwa jirani pamoja na finance bill kupingwa Kwa maandamano kila kona Wabunge wameipitisha Kwa kishindo. 2. Muswada (finance bill 2024) unapelekwa kwenye Kamati, kisha uende Kwa Mhe. Dr...
9 Reactions
114 Replies
6K Views
Rais William Ruto Jumanne usiku alielezea uvunjaji wa bunge kama kitendo cha uhaini, na akaahidi kuchukua hatua kali dhidi ya waandaaji na wafadhili wa maandamano, ambayo yalikuwa yameingia siku...
4 Reactions
43 Replies
3K Views
Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo. Ila sasa, tukio...
26 Reactions
42 Replies
3K Views
Sasa wale Vijana wa Gen Z wamemwandikia mh Rais Ruto Waraka mrefu sana kuhusu Matatizo yanayoiikabili Nchi yao kwa sasa Mwisho wa Waraka huo Gen Z wamesema Ruto hana Uwezo wala Uhalali wa...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Why Kenyans considered as pure Swahili speakers in East Africa compared to Tanzanins
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Hii sasa ni mbaya jamani Biashara za Mbunge ni za kifamilia Waandamanaji Nchini Kenya wameharibu Mali na Biashara mbalimbali za wabunge waliopigia Kura ya Ndio Finance Bill Aidha Ofisi za...
8 Reactions
90 Replies
5K Views
Back
Top Bottom