Mahakama Kuu imeidhinisha matumizi ya nguvu za Kijeshi kurejesha utulivu kufuatia Siku kadhaa za Maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha ambapo takriban watu 20 wameripotiwa kuuawa
Jaji wa...
A section of the SGR line. The government said on March 22, 2017 that it will be upgraded to an electric railroad once the power supply becomes dependable in about four years. PHOTO | AGGREY...
The church has been the biggest problem in this country. We are not a church or religious country, we are secular.
We do not have a state religion and must reject the urge to merge the two.
Our...
Yani Tanzania hakuna kutoa data isiyomsifu magufuli na hakuna SGR hadi inabidi watumie picha za Kenya.
Miaka kadhaa iliyopita Mbunge wao alitumia PICHA za SGR ya Kenya kuonyesha maendeleo ya...
Wakenya, wenzetu ndugu zetu na majirani zetu.
Yanayoendelea kwenu si ya kufurahisha na hata wanoshabikia hawaelewi mateso yanayowapata baadhi ya wakenya.
Msiivuruge nchi yenu tafadhali...
Ikulu ya Rais wa Kenya William Ruto imwekwa chininya ulinzi mkali na hakuna mtua nayeruhusiwa kusogea karibu na eneo hilo kufuatia maandamano yanayoendelea nchini humo leo tarehe Juni 27, 2024...
Gachagua amevilaumu Vyombo vya Usalama Kwa kushindwa kumpa taarifa sahihi Rais Ruto na hatimaye kusababisha Vifo vya Watoto Wasio na hatia
Gachagua amesema Hata Polisi wamelalamika hawakupewa...
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura...
How Ruto and Uhuru might become ICC fugitives before being captured.
If Walter Baraza is not handed in, William Ruto will be detained at The Hague. What about sacrificing Baraza to buy time...
Rais Ruto amewaambia Watumishi wa Umma wajiandae kisaikolojia kutimiza matakwa ya Wananchi ambayo ni kupunguza Bajeti ya Serikali
Ruto anesema hatua ya kwanza ni kupunguza Matumizi ya Serikali...
Serikali ya Tanzania na Rwanda kupitia mawaziri wanaohusika na ujenzi wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Isaka hadi Kigali ifikapo Oktoba mwaka huu.
Tukio...
Mahakama Kuu yaiamuru serikali kusitisha mara moja zoezi lake la kupeleka wanaeshi mtaani ili kutuliza maandano.
Hili limekuja baada ya Ikulu kutoa taarifa kuwa Rais Ruto amekataa kusaini Muswada...
Huyo ndiye aliyewapa wa kenya katiba bora tofauti na vijitabu vya mataifa mengine. Baada ya kumaliza m.a ya uchumi huko uingereza alirudi kufundisha kabla hajatimukia kwenye siasa ambapo baada ya...
Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais...
Waandamanaji wamesema wanatarajia kurejea mtaani kufanya maandamano leo Juni 27, 2024 ikiwa ni siku moja tangu Rais William Ruto atangaze kuwa hatasaini Muswada wa Fedha ambao ndio uliokuwa chanzo...
Sakata la Gen Z linatufunza mambo mengi yalivyo katika Tawala za Africa mashariki
Spika Dr Tulia aliwahi kusema Rais ndio kila Kitu
Chadema wakapinga Sana na kutolea mfano Spika wa Kenya hawezi...
Ndio maana kila siku ninasemaga Wakenya wanayo safari ndefu sana ya kujitambua kwa sababu wamekubali kuwaweka wazungu kwenye vichwa vyao.
Sasa hivi huko mitandaoni utawasikia Wakenya "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.