Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Kenya Airways has nothing to fear about return of Uganda Airlines – envoy SUNDAY DECEMBER 9 2018 Insight. Kenya’s High Commissioner to Uganda, Mr Kiema Kilonzo, during the interview in...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Kenya wamelaani vikali ghasia zilizozuka katika Eneo Bunge la Kilgoris, Kaunti ya Narok, kati ya wananchi na maafisa wa polisi kuhusu mgogoro wa ardhi ya...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi...
0 Reactions
4 Replies
654 Views
Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ngeno, alijikuta katika mvutano na polisi kufuatia tukio la vurugu lililosababisha vifo vya watu watano katika eneo la Angata Barrikoi, Kaunti ya Narok, Kenya...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Kenyan authorities block screening of ‘Blood Parliament’ documentary: BBC By Dennis Musau Published on: April 29, 2025 08:17 (EAT) A Kenyan Police officer fires a tear gas canister towards...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
SERIKALI, kupitia Bodi ya Kudhibiti na Kusimamia Kamari (BCLB), imesitisha matangazo yote ya kamari katika majukwaa yote ya vyombo vya habari nchini kwa kipindi cha siku 30, kufuatia ongezeko la...
6 Reactions
73 Replies
4K Views
Maafisa wa upelelezi katika Kituo cha Polisi cha Kayole, Nairobi wanamshikilia Imamu mkuu kwa tuhuma za kusababisha madhara makubwa kwa watu wawili. Inaripotiwa kuwa Imamu Mohamed Ibrahim Hussein...
1 Reactions
7 Replies
644 Views
Margaret Nduta Macharia (37), raia wa Kenya aliyekamatwa mwaka 2023 nchini Vietnam na dawa za kulevya kilogramu mbili za Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025...
10 Reactions
134 Replies
8K Views
It is very rare to get compliments from Kenyans - President Ruto
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Taasisi ya Gates (zamani ikijulikana kama Bill and Melinda Gates Foundation) imetangaza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Nchi Mwenyeji na Serikali ya Kenya, yaliyokuwa yanawapa kinga za...
0 Reactions
3 Replies
617 Views
Hamna namna ya kupenya soko la Afrika Mashariki na Kati bila baba lao Kenya kutia saini humo. ========= Global electric giant LG Electronics has opened its first East Africa’s laundry shop in...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Jumanne wiki hii, Rais William Ruto wa Kenya aliwasili Beijing na kuanza ziara ya siku tano nchini China. Ziara hii inafanyika baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuanza “vita vya ushuru” dhidi...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Mwanaume aitwaye Titus Wekesa Sifuna alifikishwa katika Mahakama ya Milimani siku ya Jumatatu kwa tuhuma za hotuba ya chuki, ambapo upande wa mashtaka uliwasilisha ombi la kumshikilia kwa siku...
1 Reactions
0 Replies
357 Views
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kuwekwa rumande baada ya kukutwa na takriban gramu 300 za dawa za kulevya aina ya cocaine, kufuatia msako wa pamoja wa vyombo vya usalama...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Wanaume wanne wawili raia wa Ubelgiji, mmoja wa Vietnam na Mkenya mmoja wanashikiliwa nchini Kenya kwa tuhuma za kumiliki na kufanya biashara ya kusafirisha Malkia wa Siafu walio hai. Washtakiwa...
10 Reactions
70 Replies
5K Views
Makamu wa Rais wa zamani Rigathi Gachagua amemuita Rais William Ruto "kamanda halisi" wa Kikosi Maalum cha Sudan (RSF) kutokana na madai ya kufanya biashara za kifisadi na kiongozi wa kikosi...
4 Reactions
8 Replies
996 Views
Vurugu zimezuka katika Tamasha la Kitaifa la maigizo huko Nakuru nchini Kenya, baada ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Butere kukataa kucheza tamthilia yao ya kutatanisha "Echoes...
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Clip Moja kutoka Kenya imetapakaa sana kwenye mitandao ya kijamii Bado sijajua shida ya jamaa ni Nini kilichosababisha Hadi akadandia Ile helicopter 🚁 angani?
0 Reactions
12 Replies
806 Views
Wakuu, Wakati hapa Tanzania wapinzani wakiwa wanalalamikia kukamatwa kwa Tundu Lissu huko nchini Kenya mambo pia yameeendelea kuwa sukari. Hivi karibuni Rigathi Gachagua, aliyekuwa Naibu Rais wa...
0 Reactions
3 Replies
669 Views
Baada ya kufukuzwa kazi Naibu Rais Mstaafu wa Kenya Rigathi Gachagua anapoteza stahiki zifuatazo ambazo alizistahili endapo angejiuzulu. 1. Pensheni ya kila mwezi Ksh. 720,000. 2. Malipo ya...
5 Reactions
58 Replies
3K Views
Back
Top Bottom