Strong ladg
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 218
- 574
Rais wa Kenya William Ruto pamoja na mwanasiasa maarufu nchini humo Raila Odinga wamesaini mkataba utakaowaruhusu kufanya kazi kwa ushirikiano katika kushughulikia matatizo mbalimbali yanayowakabili wakenya.
Je unachukuliaje hatua hii ya Rais kusaini mkataba wa makubaliano na kiongozi wa upinzani?
"Ruto, Raila waeleza sababu ya kusaini mkataba wa makubaliano | Mwananchi" https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...abu-ya-kusaini-mkataba-wa-makubaliano-4955492
Je unachukuliaje hatua hii ya Rais kusaini mkataba wa makubaliano na kiongozi wa upinzani?
"Ruto, Raila waeleza sababu ya kusaini mkataba wa makubaliano | Mwananchi" https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...abu-ya-kusaini-mkataba-wa-makubaliano-4955492