RUTO NA RAILA wasaini mkataba wa makubaliano, kufanya kazi pamoja

Strong ladg

JF-Expert Member
Jul 15, 2021
218
574
Rais wa Kenya William Ruto pamoja na mwanasiasa maarufu nchini humo Raila Odinga wamesaini mkataba utakaowaruhusu kufanya kazi kwa ushirikiano katika kushughulikia matatizo mbalimbali yanayowakabili wakenya.
Je unachukuliaje hatua hii ya Rais kusaini mkataba wa makubaliano na kiongozi wa upinzani?
"Ruto, Raila waeleza sababu ya kusaini mkataba wa makubaliano | Mwananchi" https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...abu-ya-kusaini-mkataba-wa-makubaliano-4955492
 
Winer is Raila. Ruto alikataa kufanyakazi na Raila, ameiona changamoyo ya kiutawala. Raila ni Rsisi kivuli, hana jeshi ila ana nguvu ya ummna.
 
Rais wa Kenya William Ruto pamoja na mwanasiasa maarufu nchini humo Raila Odinga wamesaini mkataba utakaowaruhusu kufanya kazi kwa ushirikiano katika kushughulikia matatizo mbalimbali yanayowakabili wakenya.
Je unachukuliaje hatua hii ya Rais kusaini mkataba wa makubaliano na kiongozi wa upinzani?
"Ruto, Raila waeleza sababu ya kusaini mkataba wa makubaliano | Mwananchi" https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...abu-ya-kusaini-mkataba-wa-makubaliano-4955492

MK254, au namna gani?
 
Ruto ni Big Brain,,,,alitaka kumuweka Raila kule AU akachemka, now kamsogeza karibu ili 2027 asimsumbue, anaujua moto wake ,,,, !
 
Winer is Raila. Ruto alikataa kufanyakazi na Raila, ameiona changamoyo ya kiutawala. Raila ni Rsisi kivuli, hana jeshi ila ana nguvu ya ummna.
🤣 Serikali ya mahustler amekubali
 
Back
Top Bottom