Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Daniel Ogama Adongo, mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL) na raia wa Kenya, amehamishwa kutoka Marekani hadi Kenya na mamlaka ya uhamiaji ya nchi hiyo baada ya kukiuka masharti ya...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimeongeza shinikizo la kutaka nafasi ya Naibu Rais katika uchaguzi mkuu wa 2027, huku baadhi ya viongozi wake wakimuunga mkono Waziri wa Ushirika na...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Kiongozi wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, amedai kuwa Rais William Ruto anaendesha mkakati wa kumtenga kisiasa Naibu Rais Kithure Kindiki ndani ya serikali ya...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Serikali kupitia Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imeanzisha mfumo mpya wa Multi-Biometric Identification System (MBIS) ambao sasa unaruhusu waombaji kupata Cheti cha Police Clearance...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
As the Kenyan next general elections approach,Ruto is tipped to win as the opposition is fragmented.
0 Reactions
2 Replies
95 Views
Hali ilizidi kuwa ya mvutano katika eneo la Ruiru, Kaunti ya Kiambu, baada ya wakazi kumkabili MCA wao wakikataa kupokea kuku na nguruwe waliokuwa wakigawiwa kupitia programu ya kaunti. Katika...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Maafisa wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wamewakamata washukiwa watatu, akiwemo raia wa Tanzania, kuhusiana na jaribio la kuwasafirisha wasichana wawili wenye umri wa miaka 13 na...
1 Reactions
2 Replies
140 Views
When President Uhuru Kenyatta appointed Major General Philip Kameru as Director-General of the National Intelligence Service (NIS) in 2014, he followed a well-trodden path of selecting senior...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Rais William Ruto amefanya mabadiliko katika uongozi wa Serikali baada ya kumteua aliyekuwa msemaji wa zamani wa Polisi, Charles Owino, kuwa Msemaji mpya wa Serikali akichukua nafasi ya Isaac...
1 Reactions
5 Replies
197 Views
The British Army Training Unit Kenya (BATUK) has cancelled Exercise Haraka Storm, a major military training exercise scheduled to take place in Laikipia between September and November 2026, after...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema eneo la Mlima Kenya litakuwa na mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa 2027, hata kama yeye mwenyewe atazuiwa kuwania nafasi hiyo...
1 Reactions
2 Replies
119 Views
Wasichana wawili wenye umri wa miaka 13 na 14, ambao walikuwa wameripotiwa kutoweka katika Kaunti ya Meru, wameokolewa katika eneo la Mashuuru, Kaunti ya Kajiado, muda mfupi kabla ya kusafirishwa...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Mali ya kampuni ya Keroche Breweries imeuzwa kwa mnada kufuatia agizo la mahakama kuhusu madai ya mishahara na marupurupu ya wafanyakazi wa zamani yenye thamani ya zaidi ya KSh22 milioni. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Kamanda wa Polisi wa Pwani, Ali Nuno, ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaodaiwa kufadhili makundi ya wahuni (goons), akisema kuwa serikali haitaendelea kutoa ulinzi kwa viongozi watakaobainika...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Hakimu Mwandamizi Mkuu Martin Kinyua pamoja na Afisa Mkuu wa Probation Julius Irungu wamekamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa tuhuma za kuomba na kupokea hongo...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
NAIROBI: Law Society of Kenya (LSK) imeanza kususia shughuli za mahakama nchini, ikisema inalenga kushinikiza uwajibikaji na uwazi ndani ya Idara ya Mahakama. Akizungumza nje ya Mahakama ya Juu...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Ee Mungu, uturehemu na utujaalie tuione dunia yenye haki na amani. Dunia imebadilika, watu wengi wamekuwa na mioyo migumu isiyo na huruma. Kwa wanaofuatilia kesi ya Albert Ojwang nchini Kenya...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Margaret Nduta Macharia remains in prison in Vietnam after her death sentence was commuted to life imprisonment by the Supreme People's Court of Vietnam in July 2025 following legal reforms and...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Moffat Maitha, the former Member of Parliament for Kangundo, was charged before the Kangundo Law Courts with defilement and an alternative count of committing an indecent act with a child under...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu nchini Kenya (KNCHR) imewasilisha pendekezo la sheria mpya inayolenga kuweka mfumo wa kisheria wa kusimamia maandamano, mikutano ya hadhara, kupiga kambi za...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Back
Top Bottom