Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Rais William Ruto ameutuhumu Utawala wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuwa ulitenga Bajeti maalum kwaajili ya kuwahonga na kuwarubuni Majaji na Mahakimu ili wawe wanatoa maamuzi ya kuipendelea...
0 Reactions
6 Replies
881 Views
Hakika Naipongeza Mahakama za Kenya kwa Uamuzi wake wa kukataa Kubinafsishwa kwa Bandari ya Mombasa kulikotaka kufanywa na Serikali.Uamuzi huo Umeikasirisha sana Serikali ya Kenya Kwanza na...
0 Reactions
9 Replies
461 Views
Binadamu tunatakiwa kujifunza na kukumbuka kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU Kilichomkuta Raila Odinga kiwe fundisho kwa Wanadamu wengine...
18 Reactions
83 Replies
4K Views
Baada ya Rais wa Kenya, William Ruto kushutumu Mahakama katika Kitengo cha Sheria cha Serikali akidai kuna ufisadi na majaribio ya makusudi ya kukwamisha miradi muhimu ya Serikali, Jaji Mkuu...
2 Reactions
7 Replies
950 Views
Viongozi wa Kisiasa Kenya akiwemo Katibu Mkuu wa Jubilee, Jeremiah Ngayu Kioni awanadai Rais William Ruto ana njama ya kupunguza ukali wa kitengo cha Mahakama ili apitishe Sheria zinazokiuka...
1 Reactions
2 Replies
317 Views
NHIF Kenya yapoteza shilingi Billion 20 Kupitia malipo yanayotokana madai hewa ya Wateja wake Wadau hamjamboni nyote? Taarifa ya ufisadi wa kutisha nchini Kenya kupitia mfuko wa Taifa wa Bima...
1 Reactions
3 Replies
249 Views
Baadhi ya waendesha pikipiki (bodaboda) kutoka jijini Malindi wameamua kuchukua hatua ya kisheria dhidi ya serikali ya Kenya Kwanza, wakidai kuwa wamesahaulika katika mipango ya serikali na...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Watu 21 wanashikiliwa baada ya Polisi, Maafisa wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kampeni ya Kupambana na Matumizi Mabaya ya Pombe na Madawa ya Kulevya (NACADA), na Wanahabari kuvamia Baa ya Kettle House na...
1 Reactions
6 Replies
765 Views
Polisi wa kaunti ya Kericho nchini Kenya wako katika uchunguzi wa tukio la mwanaume mmoja kutoka eneo hilo aliyedaiwa kumuua mkewe, kisha kuzunguka na mwili huo baa akinywa pombe. Tovuti ya NTV...
1 Reactions
11 Replies
832 Views
Dr Ruto amewaambia live Majaji kwamba wao ni Wala Rushwa wakubwa na wanaendeshwa na Wanasiasa Rais Ruto ni kama amerudia kauli ya Mwanasiasa Maarufu nchini na Africa Mashariki Rostam Aziz kwamba...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Hali halisi ndivyo ilivyo, wala sijui ni nini kinachoendelea huko ulaya na Marekani lakini watanzania wengi wanakwepana, hata kama wanaishi mji moja ni nadra sana ku mingle, kutembeleana...
8 Reactions
35 Replies
927 Views
Hivi kuna nini bandari ya Dar, je mwarabu aliyepewa kashindwa? Maana meli nyingi zimetamaushwa kwa kusubirishwa Dar hadi zimegeuza na kushushia mizigo Mombasa.... Nakumbuka mwarabu alipewa bandari...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
RAIS KWA MASAA MAWILI ANATETEA SERA ZAKE KAMA KIONGOZI MKUU WA SERIKALI Katika mahojiano mubashara, rais ameamua kuongea na waandishi wa habari wa vyombo tajwa ili kuelezea mikakati anayokusudia...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Wafanyabishara wadogowadogo Kenya, maarufu kama Juakali wameungana na kuingia barabarani kuunga kodi mpya ya kwa ajili ya ujenzi wa nyumba iitwayo housing levy. Tukumbuke kodi ndio msingi wa...
1 Reactions
19 Replies
511 Views
Humu jukwaani, kunapotokea ubishi wenye mwelekeo wa "Kimataifa", utaukuta ni baina ya Mkenya na Mtanzania. Lakini inafahamika kuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ina nchi kadhaa zaidi ya Kenya na...
0 Reactions
70 Replies
2K Views
Uganda has announced the start of construction of the Standard Gauge Railway (SGR) in August, in a decision that revives hope for the extension of Kenya’s Sh327 billion project whose viability was...
2 Reactions
2 Replies
758 Views
Netflix is helping produce three Kenyan movies and will spend Sh33 million to train actors, as part of its investment in local content. The three are in different stages of production while their...
2 Reactions
2 Replies
456 Views
Shilingi inatarajiwa kufunga mwaka wa 2023 katika mbio mbaya zaidi tangu mwaka wa 1993 baada ya mwaka wa machafuko katika soko la kubadilishana fedha za kigeni. Sarafu ya ndani imeshuka zaidi ya...
0 Reactions
1 Replies
290 Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msanii huyo kutoka Kenya imeeleza kuwa Jazeel alifariki kutokana na ajali aliyopata akiwa katika moja ya Hoteli waliyofikia jijini Dar es Salaam. Hata hivyo...
0 Reactions
6 Replies
520 Views
Partnership: Mukawa (Hotels) Holdings Ltd Directors Ms Clare Njeri Githunguri (left) and Ms Lilian Joy Nyagaki Githunguri (right) exchange the hotel management agreements with Swiss-Belhotel...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Back
Top Bottom